Lissu The GreatestKatika historia ya Tanzania mwaka huu tunaenda kuona uchaguzi wa aina yake na uenda Mh Lissu akawa Rais wa Sita wa Tanzania kuna viashilia kadha
1.Alishinda urais wa TLS huku serikali ikiwa imetumia nguvu kubwa sana kumzuia
2.Amefinguliwa kesi nyingi sana kuliko MTU yoyote Tanzania
3.Ameshinda ubunge huku rais wa Awamu ya NNE akisema ni bora slaa ashinde kuliko Lissu kushinda lkn jamaa alitoboa
4.Ameshinda mauti awamu ya kwanza nani ataweza kuondoa uhai wake?
Huyu MTU sio wa kawaida kuna kusudi la Mungu katika huyu jamaaa
Kwa vichekesho, vituko na vimbwenga kama hivi, Tuma neno Ufipa kwenda 2020.
Mbeba maono ya watanzania na rais wa awamu ya 6Lissu The Greatest
Serious Lisu asichezee nchi innyimwe misaada or whatever tuko wazalendo watetea nchi wajukuu wa Nyerere aliyemtukana Lisu bungeni .Kila ukiwaza Magufuli atapambanaje na Lisu kwenye kampeni, unaona bora ujitoe muhanga. Na vile umelewa pombe mbovu, hapa ndio unaanika hofu na chuki yako wazi hadharani.
Serious Lisu asichezee nchi innyimwe misaada or whatever tuko wazalendo watetea nchi wajukuu wa Nyerere aliyemtukana Lisu bungeni .
Lisu be prepared ukitua Tanzania mimi Ni mmojawapo sijali come what may may msalit I was nchi wewe shingo yako halali yangu
Mwenye masikio na asikie Bwana Ananena na Kanisa.Katika historia ya Tanzania mwaka huu tunaenda kuona uchaguzi wa aina yake na uenda Mh Lissu akawa Rais wa Sita wa Tanzania kuna viashilia kadha
1.Alishinda urais wa TLS huku serikali ikiwa imetumia nguvu kubwa sana kumzuia
2.Amefinguliwa kesi nyingi sana kuliko MTU yoyote Tanzania
3.Ameshinda ubunge huku rais wa Awamu ya NNE akisema ni bora slaa ashinde kuliko Lissu kushinda lkn jamaa alitoboa
4.Ameshinda mauti awamu ya kwanza nani ataweza kuondoa uhai wake?
Huyu MTU sio wa kawaida kuna kusudi la Mungu katika huyu jamaaa
Hehehee we dogo wa Tandale acha kujimwambafy. Unajipa umuhimu usiokuwa naoSerious Lisu asichezee nchi innyimwe misaada or whatever tuko wazalendo watetea nchi wajukuu wa Nyerere aliyemtukana Lisu bungeni .
Lisu be prepared ukitua Tanzania mimi Ni mmojawapo sijali come what may may msalit I was nchi wewe shingo yako halali yangu
Bangi nyingine za kuanza kuvuta mkiwa wakubwa sijui inakuwaje?Niliwahi sema na leo narudia: Lissu kwa watanzania,ni kama alivyokuwa Mussa kwa wana wa Israeli.