Uchaguzi 2020 Lissu anaweza kuleta uchaguzi mgumu kuwahi tokea

Tatizo vile vidole vyenu viwili sio vya kuviamini ..kimoja kina Uwa lakini
 
Kwani kutukana nikosa lá jinai. Trump kwakila leo anatukanwa na hajamfunga au kumuua mtu isiwe huyo laana tu Allah.
 
Nyerere aliondoka na wewe utaondoka na kila kilichopo juu ya mgongo WA ardhi kitaondoka.
Wacha kujimwambaf unauchungu gani na nchi uliyoipigania mpka upange mauwaji? Ushajua mwisho wako wee kenge?

Utakufa kabla ya huyo lissu unaempangia kifo.
 
Endelea kusema bangi wakati wenzako lumumba kina Yehodaya wanamuhofia hadi wanaweka vitisho vya kumuua
Hizo hofu za wengine wala kazitusumbui. JPM asubuhi, mchana, jioni usiku wa manane nk. Chaguo letu wengi ni moja ie the majority. Ninyi wapiga Konyagi bado muende mkauze togwa.
 
Hizo hofu za wengine wala kazitusumbui. JPM asubuhi, mchana, jioni usiku wa manane nk. Chaguo letu wengi ni moja ie the majority. Ninyi wapiga Konyagi bado muende mkauze togwa.
Endeleeni na maneno yenu ya shombo ila neno moja kwenu. Jiandaeni kumkabidhi ikulu Tundu Antipas Lissu hapo October 2020
 
Endeleeni na maneno yenu ya shombo ila neno moja kwenu. Jiandaeni kumkabidhi ikulu Tundu Antipas Lissu hapo October 2020
khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee. Tanzania haiwezi kuwa na rais kiwete na shoga ambaye anatumiwa na mabeberu.
 
Mungu humtumia amtakaye, kama Lisu kaletwa na Mungu ili aongoze taifa letu hakuna mtu wa kuzuia hii, anayewaza kumuua Lisu ataanza kufa yeye Lisu ataishi kama alivyopangiwa na Mungu miaka ya kuishi.

Lumumba nchi hii sio mali yenu bali ni mali ya Mungu, mtanyooka tu October 28, 2020.
 
Hata ukimtisha,atakuja tu.
 
Polisi wala TCRA hawatafanya lolote, ila angetishiwa mtu fulani, Melo angeshaitwa kusaidia uchunguzi wa Polisi.
 
Mkuu achana na shoga huyo
 
Ww tishia nguchiro wenzako bwege ww
 

CCM haijakutuma haya.
Mwenyekiti hajakutuma haya.
Rais hajakutuma haya.
Haya,umejituma mwenyewe.
Makinika!
 
Inawezekana una baraka za watu fulani ndio maana unakuwa na kiburi hiki, ila ujue tu maandishi haya ipo siku yanaweza kuja kukuweka matatani.

Kumbuka hata Ruge na Sethi hawakutarajia kuwa kuna siku wataishi maisha wanayoishi leo hii huko Mahabusu.
 
Hata mimi jana nimeota nimekuwa rais wa nchi hii yetu sijui kama itakuwa kweli. Lakini ninavyoona siasa za nchi hii mradi alishindwa Mhe Lowassa sioni tena mpinzani mpaka baada ya miaka 50 tena labda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…