Uchaguzi 2020 Lissu anaweza kuleta uchaguzi mgumu kuwahi tokea

Misaada ya nini huku mkiwananga
 
Siasa ni upepo na sio hesabu,waunga juhudi walipiga hesabu ya kurudi kunufaika kusaza Kodi zetu walidanganywa eti upinzani utakufa wakaamini wakawahi siti za mbele wakaliwa vichwa, wengine wanaomba msamaha warudi walipotoka.
 

Gambia wasiojulikana wote walishakamatwa wapo ndani wanajibu maovu yao pale walipomuona Jameh ni mungu wao sababu alikuwa akiwashibisha matumbo yao,majuzi jumba la Yahya Jameih limetaifishwa USA.
So wasiojulikana na wote waliodhulumu haki za watu wajiandae.
Wengine wanakufa kwa Presha sababu mioyo yao imelemewa,imeshindwa kubeba mazito waliyofanyia wenzao ili kushibisha matumbo yao.
Unamuuwa mwenzako sababu ya tumbo utapata vipi amani.
 

Watu kama hao ndo wanafanya Maxence Melo ashinde mahakamani kwa kesi za kijinga. Wampe Ban kabisa huyo jamaa
 
Wewe umepagawa na pepo la kifo hakika ukijaribu ujinga huo jumatatu ndio utakuwa mwisho wako
 
Kama ingekuwa ile JF niliyoijua wewe ungeisha pata ban zamani kwa kauli zako hizi,ila itoshe tu kusema wewe hujitambui,na bahati mbaya sana wewe sio mnufaika na mfumo ni mbwa anaebweka tu asie na madhara yoyote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…