Uchaguzi 2020 Lissu anazidi kuumbuka, kila hoja anayoanzisha inaonekana haina mashiko kwa Watanzania

Huna unachokijua zaidi ya kukariri zidumu fikra zisizo sahihi za mwenyekiti wa mtukufu wa CCM
Minyoo haya maeneo mimi nayajua kama wewe unavyojua kunywa Konyagi. Najua nini naandika. Unasajili watetezi wa Chadema hawajui hata kuandika,shame on you.
 
Unauliza jibu? Kwanza unakurupuka ulikuwa umelala baada ya kunywa konyagi?
Tukoa tunywe wote na wewe sijanywa tena lakini uteuzi hupati tena kwani mtukufu mwenyekiti wa CCM bado hajakubali utetezi wako dhidi yake
 
Nakubaliana na wewe, Rais wa Burundi kumtembelea Mrundi mwenzie ni Mahusiano mazuri si tu ya kidiplomasia Bali ya kindugu kabisa. Hata yeye mwenyewe amesema Magufuli ni baba yake.
 
Minyoo haya maeneo mimi nayajua kama wewe unavyojua kunywa Konyagi. Najua nini naandika. Unasajili watetezi wa Chadema hawajui hata kuandika,shame on you.
Wewe mwenyewe hujiandikia tu kisha kupeleka kwa cyprian Musiba na le mutuz eti ndiyo wahariri wako baada unakuja tunakunywa konyagi wote
 
Am punzike dereva,tuajiri defeva mpya
 
Asili ya mtukufu ni Burundi kutembelewa na Rais wa Burundi ni kitu cha kawaida kwani katembelewa na ndugu yake wa Damu
 
Amepoteza malengo, mara paaaa Ashindwa kuwanadi Wagombea wa Buhigwe na Kigoma Kaskazini, na Kigoma Mjini kwenye hotuba yake anamnanga Mgombea Francis Mangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…