Lakini pia hasira na mihemko kwenye kauli zake apunguze na atangulize uzalendo, hekima na busara
Tundu Lissu anawakilisha sauti za watanzania ambao kwa muda mrefu wa miaka 60 chini ya utawala wa chama kongwe dola CCM wamekuwa wakipuuzwa, kuonewa, kunyanyaswa kunyimwa haki zao za kikatiba .
Mpaka lini watanzania wakatazwe kuonesha hasira na kupaza sauti dhidi ya utawala huu mkongwe baada ya uhuru ambao umerithi haiba zote za mkoloni kabla ya uhuru na kuendelea kukandamiza raia
Mikutano ya CHADEMA inaonesha wazi watanzania wamechoka utawala huu mkongwe kandamizi na ndiyo maana watawala wa CCM wameingia hofu na kutaka kuweka picha potovu kuwa hadhira yote inayotokea ktk mikutano ya CHADEMA na maelfu wanaoifutilia mikutano hiyo yenye views nyingi YouTube n.k hawapo pamoja na CHADEMA kuonesha wamekerwa na yote yabayoendelea chini ya utawala gadamizi usiojali hali za kiuchumi, ajiri, demokrasia na haki za raia.