Lissu Ataiongoza Vipi CHADEMA wakati Muda wote Anashinda Nje ya Nchi? Mnyimeni kura ili aendelee Kuzurura ulaya na Marekani.

Lissu Ataiongoza Vipi CHADEMA wakati Muda wote Anashinda Nje ya Nchi? Mnyimeni kura ili aendelee Kuzurura ulaya na Marekani.

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Kuongoza chama kikuu cha Upinzani Nchini kama CHADEMA inahitaji moyo,inahitaji ujasiri,inahitaji kujitoa na kujitolea muda na rasilimali zako kwa ajili ya kukijenga chama wakati na muda wote.inahitaji uvumilivu wa hali ya juu sana.

Chama kinahitaji Kiongozi na viongozi wakuu wake kuwepo Nchini muda wote ili kuweza kushuka chini huko kukijenga na kukiimarisha chama.kuwepo na uwepo wao katika Operation mbalimbali inaleta morali, Ushawishi,nguvu na matumaini kwa viongozi wa chini pamoja na wanachama.inasaidia sana kukiamsha chama kilipolala na kukipa uhai.

Sasa huyu lissu anayetaka uenyekiti wa CHADEMA Taifa nafasi ambayo kiuhalisia haiwezi kuimudu ni vipi ataiongoza CHADEMA? Ni vipi ataijenga CHADEMA? Ni vipi atashirikiana na viongozi na wanachama kukisimika chama mioyoni mwa watu?

Ikumbukwe ya Kuwa lissu amekuwa akitumia muda mwingi kuzunguka ulaya na Marekani kuchafua na kuongea maneno yenye kuchafua taswira ya nchi yetu,kujijenga yeye binafsi,kutangaza nia zake za kugombea Urais na kutanua tu Maisha .

Akija Nchini anakuwa amekuja kwa maslahi yake binafsi au kutimiza matakwa ya wanaomtumia kwa mlango wa nyuma kutoa matamko yenye kuchochea chuki,ubaguzi na kuchafua watu. Akija Nchini ni kuomba michango binafsi kwa ajili yake mwenyewe.baada ya hapo huondoka kimya kimya na kwenda zake ulaya kuendelea na Maisha yake.

Sasa mtu wa namna hii chama kitapata wapi msaada wake wakati muda mwingi yupo angani na ulaya?atakitumikia chama muda gani? Atajua vipi uhai wa chama na maendeleo yake? Atakiandaa chama muda gani kushiriki uchaguzi na chaguzi mbalimbali? Si mliona hapo majuzi tu ameshindwa hata kujiandikisha kupiga kura? Sasa mnafikiri kwa sasa ndio atapata muda wa kuitumikia CHADEMA?

Anachotaka na atakachokifanya lissu ni kuitumia CHADEMA kwa maslahi yake binafsi na kujineemesha yeye binafsi.ataitumia CHADEMA kutolea matamko yake ya kichochezi na kibaguzi kuligawa Taifa letu na watanzania kwa ujumla wake.ataitumia CHADEMA kuchochea machafuko na na vurugu tu hapa Nchini.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Akinyimwa kura huoni kwamba FAM atakuwa kazidi kuwa Mugabe Kama ambavyo mmekuwa mkisema?
 
Unapewa vijimaneno kutoka Lumumba kuja kuvileta humu ili mkono uende kinywani.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kuongoza chama kikuu cha Upinzani Nchini kama CHADEMA inahitaji moyo,inahitaji ujasiri,inahitaji kujitoa na kujitolea muda na rasilimali zako kwa ajili ya kukijenga chama wakati na muda wote.inahitaji uvumilivu wa hali ya juu sana.

Chama kinahitaji Kiongozi na viongozi wakuu wake kuwepo Nchini muda wote ili kuweza kushuka chini huko kukijenga na kukiimarisha chama.kuwepo na uwepo wao katika Operation mbalimbali inaleta morali ,nguvu na matumaini kwa viongozi wa chini pamoja na wanachama.inasaidia sana kukiamsha chama kilipolala na kukipa uhai.

Sasa huyu lissu anayetaka uenyekiti wa CHADEMA Taifa nafasi ambayo kihalisia haiwezi kuimudu ni vipi ataiongoza CHADEMA? Ni vipi ataijenga CHADEMA? Ni vipi atashirikiana na viongozi na wanachama kukisimika chama mioyoni mwa watu?

Ikumbukwe ya Kuwa lissu amekuwa akitumia muda mwingi kuzunguka ulaya na Marekani kuchafua kuongea maneno yenye kuchafua taswira ya nchi yetu,kujijenga yeye binafsi,kutangaza nia zake za kugombea Urais na kutanua tu Maisha .

Akija Nchini anakuwa amekuja kwa maslahi yake binafsi au kutimiza matakwa ya wanaomtumia kwa mlango wa nyuma kutoa matamko yenye kuchochea chuki,ubaguzi na kuchafua watu. Akija Nchini ni kuomba michango binafsi kwa ajili yake mwenyewe.baada ya hapo huondoka kimya kimya na kwenda zake ulaya kuendelea na Maisha yake.

Sasa mtu wa namna hii chama kitapata wapi msaada wake wakati muda mwingi yupo angani na ulaya?atakitumikia chama muda gani? Atajua vipi uhai wa chama na maendeleo yake? Atakiandaa chama muda gani kushiriki uchaguzi na chaguzi mbalimbali? Si mliona hapo majuzi tu ameshindwa hata kujiandikisha kupiga kura? Sasa mnafikiri kwa sasa ndio atapata muda wa kuitumikia CHADEMA?

Anachotaka na atakachokifanya lissu ni kuitumia CHADEMA kwa maslahi yake binafsi na kujineemesha yeye binafsi.ataitumia CHADEMA kutolea matamko yake ya kichochezi na kibaguzi kuligawa Taifa letu na watanzania kwa ujumla wake.ataitumia CHADEMA kuchochea machafuko na na vurugu tu hapa Nchini.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Lucas Mwashambwa na CCM yote , mkisikia tu jina Tundu Lissu mnapatwa na tumbo la kuhara na hamna Namna ya kujizui, matokeo yake mnanuka muda wote
 
Mkuu, una bahati humu jukwaani kuna sheria na kanuni zisizoruhusu matusi

Ila hii hoja yako ungeiweka Twitter na IG kwakweli ningekutukana matusi ya nguoni

Lumumba wanakulipa shingapi?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kuongoza chama kikuu cha Upinzani Nchini kama CHADEMA inahitaji moyo,inahitaji ujasiri,inahitaji kujitoa na kujitolea muda na rasilimali zako kwa ajili ya kukijenga chama wakati na muda wote.inahitaji uvumilivu wa hali ya juu sana.

Chama kinahitaji Kiongozi na viongozi wakuu wake kuwepo Nchini muda wote ili kuweza kushuka chini huko kukijenga na kukiimarisha chama.kuwepo na uwepo wao katika Operation mbalimbali inaleta morali ,nguvu na matumaini kwa viongozi wa chini pamoja na wanachama.inasaidia sana kukiamsha chama kilipolala na kukipa uhai.

Sasa huyu lissu anayetaka uenyekiti wa CHADEMA Taifa nafasi ambayo kihalisia haiwezi kuimudu ni vipi ataiongoza CHADEMA? Ni vipi ataijenga CHADEMA? Ni vipi atashirikiana na viongozi na wanachama kukisimika chama mioyoni mwa watu?

Ikumbukwe ya Kuwa lissu amekuwa akitumia muda mwingi kuzunguka ulaya na Marekani kuchafua kuongea maneno yenye kuchafua taswira ya nchi yetu,kujijenga yeye binafsi,kutangaza nia zake za kugombea Urais na kutanua tu Maisha .

Akija Nchini anakuwa amekuja kwa maslahi yake binafsi au kutimiza matakwa ya wanaomtumia kwa mlango wa nyuma kutoa matamko yenye kuchochea chuki,ubaguzi na kuchafua watu. Akija Nchini ni kuomba michango binafsi kwa ajili yake mwenyewe.baada ya hapo huondoka kimya kimya na kwenda zake ulaya kuendelea na Maisha yake.

Sasa mtu wa namna hii chama kitapata wapi msaada wake wakati muda mwingi yupo angani na ulaya?atakitumikia chama muda gani? Atajua vipi uhai wa chama na maendeleo yake? Atakiandaa chama muda gani kushiriki uchaguzi na chaguzi mbalimbali? Si mliona hapo majuzi tu ameshindwa hata kujiandikisha kupiga kura? Sasa mnafikiri kwa sasa ndio atapata muda wa kuitumikia CHADEMA?

Anachotaka na atakachokifanya lissu ni kuitumia CHADEMA kwa maslahi yake binafsi na kujineemesha yeye binafsi.ataitumia CHADEMA kutolea matamko yake ya kichochezi na kibaguzi kuligawa Taifa letu na watanzania kwa ujumla wake.ataitumia CHADEMA kuchochea machafuko na na vurugu tu hapa Nchini.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mama anyimwe 2025 ili azurure vizuri uarabuni na ale kwa urefu wa kamba yake. Wajinga kama wewe mpo wengi. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisa
 
Tushawastukia wanaLumumba. Mbowe ni duka lenu.

Safari hii tunaenda na Lisu.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kuongoza chama kikuu cha Upinzani Nchini kama CHADEMA inahitaji moyo,inahitaji ujasiri,inahitaji kujitoa na kujitolea muda na rasilimali zako kwa ajili ya kukijenga chama wakati na muda wote.inahitaji uvumilivu wa hali ya juu sana.

Chama kinahitaji Kiongozi na viongozi wakuu wake kuwepo Nchini muda wote ili kuweza kushuka chini huko kukijenga na kukiimarisha chama.kuwepo na uwepo wao katika Operation mbalimbali inaleta morali ,nguvu na matumaini kwa viongozi wa chini pamoja na wanachama.inasaidia sana kukiamsha chama kilipolala na kukipa uhai.

Sasa huyu lissu anayetaka uenyekiti wa CHADEMA Taifa nafasi ambayo kihalisia haiwezi kuimudu ni vipi ataiongoza CHADEMA? Ni vipi ataijenga CHADEMA? Ni vipi atashirikiana na viongozi na wanachama kukisimika chama mioyoni mwa watu?

Ikumbukwe ya Kuwa lissu amekuwa akitumia muda mwingi kuzunguka ulaya na Marekani kuchafua kuongea maneno yenye kuchafua taswira ya nchi yetu,kujijenga yeye binafsi,kutangaza nia zake za kugombea Urais na kutanua tu Maisha .

Akija Nchini anakuwa amekuja kwa maslahi yake binafsi au kutimiza matakwa ya wanaomtumia kwa mlango wa nyuma kutoa matamko yenye kuchochea chuki,ubaguzi na kuchafua watu. Akija Nchini ni kuomba michango binafsi kwa ajili yake mwenyewe.baada ya hapo huondoka kimya kimya na kwenda zake ulaya kuendelea na Maisha yake.

Sasa mtu wa namna hii chama kitapata wapi msaada wake wakati muda mwingi yupo angani na ulaya?atakitumikia chama muda gani? Atajua vipi uhai wa chama na maendeleo yake? Atakiandaa chama muda gani kushiriki uchaguzi na chaguzi mbalimbali? Si mliona hapo majuzi tu ameshindwa hata kujiandikisha kupiga kura? Sasa mnafikiri kwa sasa ndio atapata muda wa kuitumikia CHADEMA?

Anachotaka na atakachokifanya lissu ni kuitumia CHADEMA kwa maslahi yake binafsi na kujineemesha yeye binafsi.ataitumia CHADEMA kutolea matamko yake ya kichochezi na kibaguzi kuligawa Taifa letu na watanzania kwa ujumla wake.ataitumia CHADEMA kuchochea machafuko na na vurugu tu hapa Nchini.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
chadema wamesikia kilio chenu hasa wewe hamtaki tena mabadiliko roho ya chuma ashike hatamu kuwapelekea moto sisiemu
 
Hivi,ukiandika "muda " wote unamaanisha nini?Na leo hii yuko wapi katika huo muda wote?Lugha haujui,ndiyo na kutumia akili kuwasilisha jambo unashindwa?
 
Mama yenu anaiongoza vipi CCM, Serkali Bara na Visiwani wakati kila siku anazurura Uarabuni na Uzunguni kwa Wajomba na Wacheza Film wenzie?
 
Akinyimwa kura huoni kwamba FAM atakuwa kazidi kuwa Mugabe Kama ambavyo mmekuwa mkisema?
Mheshimiwa Mbowe amekuwa madarakani kwa kuchaguliwa na wanachama na siyo kung'ang'ania.na wala hakuna alipovunja katiba kwa yeye kuwepo madarakani kwa sababu yupo kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA
 
Mama yenu anaiongoza vipi CCM, Serkali Bara na Visiwani wakati kila siku anazurura Uarabuni na Uzunguni kwa Wajomba na Wacheza Film wenzie?
Uwe na adabu kwa Mheshimiwa Rais.Rais wetu hazururi bali huwatumikia watanzania kwa kuimarisha diplomasia na kuvutia wawekezaji kisera na kisheria.ndio maana unaona kwa sasa Taifa linafanya vizuri sana kiuchumi .si unaona hata namna shilingi yetu ilivyo imarika zidi ya dola ya mmarekani? Hiyo yote ni kazi ya Mama
 
Back
Top Bottom