Lissu Ataiongoza Vipi CHADEMA wakati Muda wote Anashinda Nje ya Nchi? Mnyimeni kura ili aendelee Kuzurura ulaya na Marekani.

Mheshimiwa Mbowe amekuwa madarakani kwa kuchaguliwa na wanachama na siyo kung'ang'ania.na wala hakuna alipovunja katiba kwa yeye kuwepo madarakani kwa sababu yupo kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA
Kwa hiyo unapongana na sera za mchungaji yule wa Iringa
 
Huyo Mke mdogo wa Amsterdam hafai hata kuwa na hiyo nafasi waliyompa sijui hawana watu? 🤣🤣
 
nimeona wenyeviti wa mikoa pia wakati wanatoa hotuba zao nyumbani kwa mbowe,

wameeleza bayana kwamba hawatakubali kuongozwa na mtua anaeishi nje ya nchi yeye na familia yake,

so,
nahisi chadema pia wamemshtukia na kua na wasiwasi nae kwamba, huenda akawa ni kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi...
 

LISSU AREJESHA FOMU AKIWA AMEVALIA BULLET PROOF "NIMEANZA KUJIRINDA MAPEMA, POLISI WAMENITENGA"​


View:
 
Kuna dot dot zitaanza kuunganishwa soon kupata hidden evidence zitakazoshangaza wengi..
Siasa ni mchezo hatari sana hasa inapofikia hatua ya kubadilishana madaraka au chaguzi za uongozi kwa wananchi.
 
Mapumbavu na majizi ya kura pamoja na utekaji ya ccm yamegeuka mashauri ya chadema, je chadema mtayasikiliza haya mapumbavu?
 
Wana CHADEMA hawampendi kabisa lissu hata kumsikia.wameshagundua ni Kirusi kinachotumiwa na mabeberu wa ulaya kutaka kuivuruga Amani ya Nchi yetu
 
Mapumbavu na majizi ya kura pamoja na utekaji ya ccm yamegeuka mashauri ya chadema, je chadema mtayasikiliza haya mapumbavu?
Naona umepaniki na ujinga wako.Mbowe ndio chaguo la wana CHADEMA wenye akili Timamu na wanaojitambua.zingatie neno wenye akili Timamu na wanaojitambua
 
Lucas Mwashambwa leo wewe ndiyo wa kububujikwa machozi ya kuihurumia CHADEMA kama Lisu akiwa Mwenyekiti? Siyo kwamba ndiyo itakuwa furaha kwako/kwenu mwenyekiti akiwa anaishi Ubelgiji?
 
Naona umepaniki na ujinga wako.Mbowe ndio chaguo la wana CHADEMA wenye akili Timamu na wanaojitambua.zingatie neno wenye akili Timamu na wanaojitambua
Kwanzia Lini ww ukampenda mbowe na CHADEMA??

Harafu the Way unavyo hangaika na Lisu inadhihilisha ndio mpinzani wa kweli asie pindisha mambo

Hata magufuli aliwa sema mkiona nimeanza kusifiwa wa mabeberu mjue nimewauza

Inashangaza kijana mzarendo namba Moja chawa wa kimataifa anae kipambania chama usiku na mchana anasifia mwenyekiti wa chama cha upinzani hii inadhihilisha wazi something is wrong somewhere
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…