Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Basi hayaWewe ni chawa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi hayaWewe ni chawa tu
Chama kinachukia chawa na chama hakilei chawa ni kisafi hivyo hakuna nafasi ya chawa.Kwani wewe ulifikiri kina MMM, Boniyai na Erythrocyte ni kina nani, ni machawa kama hawa wa ccm tu tofauti ni vyama.
Lissu is right on point!
Kweli Kabisa Yaani Taasisi Utafikili Ya KwakeNamuunga mkono hoja yake.
Ili chama kiendelee kuwa hai kuna ulazima wa kuwepo utaratibu wa kuachiana nafasi.. Haiingii akilini Mtu mmoja kuongoza Chama kwa Zaidi ya Miaka 20 kisha tutarajie mabadiliko..
Unaifadhili chadema kwenye nyanja gani kama ni pesa si wanapokea ruzuku za kutosha?
Inawatosha hiyo! Wapewe zaidi ya hiyo kivipi wakati wana wanachama 10Anayepokea Ruzuku ya Kutosha ni CCM , maana anapokea 800 kwa mwezi, CHADEMA wanapokea milioni 120 kwa mwezi.
Huyu jamaa ana konektion na Mwenyekiti, kuvuta 5000-20000/- ni kawaida kwake!, sasa Tonge linasepa, just connect to LISSU!Afadhali umemueleza
Kuna Tajiri zaidi ya Elon MuskHujui kitu, Shut Up! Boniyai ni Mwenyekiti wa Kanda, Maranja ni Ofisa wa Juu wa Chadema official, Erythrocyte ni Mfadhili wa Chama, Hakuna Tajiri awezaye kuwa Chawa
Mpaka mmm aka mtikila nae chawa. Jamaa namkubali harakati zake na fact zakeKwani wewe ulifikiri kina MMM, Boniyai na Erythrocyte ni kina nani, ni machawa kama hawa wa ccm tu tofauti ni vyama.
Lissu is right on point!
Retired ndio Chawa Mkuu 🐼Kwani wewe ulifikiri kina MMM, Boniyai na Erythrocyte ni kina nani, ni machawa kama hawa wa ccm tu tofauti ni vyama.
Lissu is right on point!
Kama wewe ulivyo chawa mwandamizi wa ccm.Retired ndio Chawa Mkuu 🐼
Lisu kasema Machawa Yako ChademaKama wewe ulivyo chawa mwandamizi wa ccm.
Na ccm kuna nani?Lisu kasema Machawa Yako Chadema
Makada 😀Na ccm kuna nani?
Afadhali leo ndio TL amelizungumzia hili, anashangiliwa, kama hakuna ukomo, then hakuna kung'ang'ania madaraka,hili neno kung'ang'ania madaraka ni kumsema mtu kwa mlango wa nyuma!。
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, Tundu Lissu wakati akitangaza nia ya kugombea Uenyekiti wa CHADEMA Taifa amesema CHADEMA haina budi kurudisha utaratibu wa ukomo wa Madaraka kwani utaondoa uwezekano wa Viongozi kung'angania madaraka na kuandaa Viongozi wapya, kupatikana kwa mawazo mapya na itapunguza upambe na uchawa ulioshamiri pale kiongozi anang'ang'ania madaraka pale ambapo hakuna ukomo wa madaraka
Hawajui dunia awa machawaHujui kitu, Shut Up! Boniyai ni Mwenyekiti wa Kanda, Maranja ni Ofisa wa Juu wa Chadema official, Erythrocyte ni Mfadhili wa Chama, Hakuna Tajiri awezaye kuwa Chawa
Msigwa atajuta kusaliti Chadema!
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, Tundu Lissu wakati akitangaza nia ya kugombea Uenyekiti wa CHADEMA Taifa amesema CHADEMA haina budi kurudisha utaratibu wa ukomo wa Madaraka kwani utaondoa uwezekano wa Viongozi kung'angania madaraka na kuandaa Viongozi wapya, kupatikana kwa mawazo mapya na itapunguza upambe na uchawa ulioshamiri pale kiongozi anang'ang'ania madaraka pale ambapo hakuna ukomo wa madaraka
Ili kutekeleza majukumu yanayodaiwa na mazingira ya sasa ya mapambano ya kidemokrasia CHADEMA inatakiwa kuimarishwa katika maeneo mbalimbali ambapo kwanza ni Katiba ya Chama hicho, ambapo amesema Chama kimekuwa kikubwa na hakuna hofu ya kukosa uongozi katika nafasi mbalimbali za chama hivyo chama kinahitaji kurudisha ukomo wa mataraka kama ilivyokuwa mwanzo
Aidha, akizungumzia ukomo madaraka katika nafasi za Ubunge na Udiwani. Lissu amesema "Ukomo wa madaraka unahitajika pia katika suala nyeti la Ubunge na Udiwani wa Viti Malaamu." Amesema mchakato na namna ya kuwapata Wabunge wa Viti Maalumu umeleta mgawanyiko katika chama hicho ambapo mara baada ya uchaguzi wa 2020 ilibidi CHADEMA iwafukuze wanachama karibu Viongozi waandamizi wote wa BAWACHA waliorubuniwa ili kupewa nafasi za Viti Maalumu.
PIA SOMA
- LIVE - Tundu Lissu: Nimewasilisha kusudio la kugombea nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA
Huyu jamaa ana konektion na Mwenyekiti, kuvuta 5000-20000/- ni kawaida kwake!, sasa Tonge linasepa, just connect to LISSU!