Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Sasa tusubiri Mbowe naye atangaze basiYupi kati ya Lissu na Mbowe anafaa zaidi kuwa mwenyekiti, naomba jibu lako kama mdau anayeiunga mkono CHADEMA ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa tusubiri Mbowe naye atangaze basiYupi kati ya Lissu na Mbowe anafaa zaidi kuwa mwenyekiti, naomba jibu lako kama mdau anayeiunga mkono CHADEMA ?
Amemtaja mbowe kama chawa? Kwa logic yako basi wenyewe viti wa vyama nchi hii ni chawa, including wa ccmKumbe Mbowe ni chawa 😂😂😂😂
Unafikiri Mbowe anategemea uenyekiti kuishi mjini?Hakika, Mbowe akalime parachichi huko Machame
dah,johnthebaptist, Lucas Mwashambwa, Tlaatlaah, ChoiceVariable, just to mention a few....hawa ni machwa waandamizi wa ccm hapa jf.
Wewe ni mbogamboga halafu eti leo unakuwa msemaji wa CDM!!!BILA KUPEPESA MACHO MBOWE KAA PEMBENI KWA SASA,
#Asante kwa mpaka ulipo kifikisha chama.
HONGERA
N. B, mbowe atakapoondoka wengi watarejea chadema na itakuwa hai tena.
::::::::::
Ni heshima kwa mbowe kusema sigombei tena nangatuka napisha wengine!
chawa utakula wapi sasa?Naiunga mkono Chadema, Kuna Mengi yanakuja ya kushangaza sana ambayo wadau mtaendelea kushangaa
Kwani wewe ulifikiri kina MMM, Boniyai na Erythrocyte ni kina nani, ni machawa kama hawa wa ccm tu tofauti ni vyama.
Lissu is right on
Ruzuku ya kutosha n sh ngapi?Unaifadhili chadema kwenye nyanja gani kama ni pesa si wanapokea ruzuku za kutosha?
Hata yeye ana chawa wanaomuunga mkono blindly kiasi cha kuona ana haki ya kupishwa uongoziSi wote waliotizama hotuba hawana akili. Hakuna mahali kamtukana mtu bali amestate the fact, ccm ina chawa, chadema ina chawa, na vyama vingine. TL anataka kumaliza hilo
Sasa tusubiri Mbowe naye atangaze basi
Niliondoka chadema kutokana na chama hiki kutokuwa na demokrasia huku kikihubiri demokrasia, naweza rudi endapo kitarudi katika demokrasia halisi.Wewe ni mbogamboga halafu eti leo unakuwa msemaji wa CDM!!!
Chama kitafia mikononi mwake........hana uvumilivu kabisa 😀 😀 😀Sasa ni wakati wa Mbowe kuachia madaraka na kuruhusu damu mpya kuongoza Chadema," alisema Tundu Lissu leo, Alhamisi, 12 Desemba 2024, katika mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika Mlimani City.
Lissu alisisitiza kuwa uongozi wa muda mrefu wa Freeman Mbowe umefikia kikomo na kwamba chama kinahitaji mwelekeo mpya ili kukabiliana na changamoto za kisiasa na kuhakikisha ushindi katika uchaguzi mkuu wa 2025. "Huu si wakati wa kugawanyika, lakini ni lazima tukubali kuwa mabadiliko ni muhimu kwa ukuaji wa chama chetu," alisema Lissu.
Aidha, aliongeza kuwa Chadema haiwezi kuendelea kwa utaratibu wa sasa na kwamba chama kinahitaji uongozi unaoendana na mahitaji ya sasa ya kisiasa na kiuongozi nchini. "Mabadiliko haya si dhidi ya mtu binafsi, bali ni kwa ajili ya mustakabali wa Chadema na Tanzania kwa ujumla," alihitimisha Lissu.
Sure mkuu 🤝Chama kitafia mikononi mwake........hana uvumilivu kabisa 😀 😀 😀
Sina shida kabisa no both of themSasa ni wakati wa Mbowe kuachia madaraka na kuruhusu damu mpya kuongoza Chadema," alisema Tundu Lissu leo, Alhamisi, 12 Desemba 2024, katika mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika Mlimani City.
Lissu alisisitiza kuwa uongozi wa muda mrefu wa Freeman Mbowe umefikia kikomo na kwamba chama kinahitaji mwelekeo mpya ili kukabiliana na changamoto za kisiasa na kuhakikisha ushindi katika uchaguzi mkuu wa 2025. "Huu si wakati wa kugawanyika, lakini ni lazima tukubali kuwa mabadiliko ni muhimu kwa ukuaji wa chama chetu," alisema Lissu.
Aidha, aliongeza kuwa Chadema haiwezi kuendelea kwa utaratibu wa sasa na kwamba chama kinahitaji uongozi unaoendana na mahitaji ya sasa ya kisiasa na kiuongozi nchini. "Mabadiliko haya si dhidi ya mtu binafsi, bali ni kwa ajili ya mustakabali wa Chadema na Tanzania kwa ujumla," alihitimisha Lissu.
Waache utaona watakavyo ng'aa macho kwa mshangao ya kijacho ndani ya Chadema.Naiunga mkono Chadema, Kuna Mengi yanakuja ya kushangaza sana ambayo wadau mtaendelea kushangaa
Waache utaona watakavyo ng'aa macho kwa mshangao ya kijacho ndani ya Chadema.Naiunga mkono Chadema, Kuna Mengi yanakuja ya kushangaza sana ambayo wadau mtaendelea kushangaa
Kwa mazingira yasio na ushindani wa haki kama wakati huu ukiwekwa ukomo huku inaweza kuathiri chama,iangaliwe kukubalika kwa mgombea katika mazingira ya haki na usawa ndani ya chama.Kwa maoni yangu ikiwa wataamua kupitisha ukomo wa madaraka basi iende hata kwenye ubunge wa majimbo ili asiwepo mwanachadema atakayekuwa mbunge wa kuchaguliwa wa jimbo kwa zaidi ya vipindi viwili ili hiyo haki itendeke vizuri.
Lingine hata kama katiba itaweka ukomo wa vipindi viwili bado haizuii mtu mwingine kugombea nafasi katika kipindi cha kwanza cha anayeshikilia nafasi hiyo na anaweza kupigwa chini hata kabla hajanaliza vipindi viwili.
Ila Lissu aelewe katika mazingira haya kuweka ukomo wa uongozi kunaweza kusababisha l dola kupitia msajili wa vyama na mahakama vinaweza kusababisha mapandikizi yakaichukua CHADEMA kupitia uchaguzi kama vyana vingine mfano DP ya marehemu Mtikiila leo hii hata sera yake ya Tanganyika wameacha au Nccra.
IKutoweka ukomo ilisaidia kuzuia mapandikizi, eg akumbuke ya Mwami na Sumaye baada ya kushindwa uchaguzi walitimkia CCM nyumbani.