Inawezekana ulikuwa sahihi lakini wakati haukuwa sahihiAfadhali leo ndio TL amelizungumzia hili, anashangiliwa, kama hakuna ukomo, then hakuna kung'ang'ania madaraka,hili neno kung'ang'ania madaraka ni kumsema mtu kwa mlango wa nyuma!。
Msikilize TL hapa Tundu Lissu kama JPM, ni mtu mkweli. Asema ukweli jinsi ukomo wa uongozi ulivyoyeyuka CHADEMA
Siku nilipoibua hii issue ya ukomo wa madaraka, KM wa wakati huo, Dr Slaa, aliruka kimanga na kuniparua Tuhuma Hii: CHADEMA kuendeshwa kwa Katiba "Fake" ikithibitishwa, CHADEMA inaweza kufutwa
Haya sasa leo TL kayasema, nasubiria kama ataparuliwa!。
P
Kwa maoni yangu ikiwa wataamua kupitisha ukomo wa madaraka basi iende hata kwenye ubunge wa majimbo ili asiwepo mwanachadema atakayekuwa mbunge wa kuchaguliwa wa jimbo kwa zaidi ya vipindi viwili ili hiyo haki itendeke vizuri.
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, Tundu Lissu wakati akitangaza nia ya kugombea Uenyekiti wa CHADEMA Taifa amesema CHADEMA haina budi kurudisha utaratibu wa ukomo wa Madaraka kwani utaondoa uwezekano wa Viongozi kung'angania madaraka na kuandaa Viongozi wapya, kupatikana kwa mawazo mapya na itapunguza upambe na uchawa ulioshamiri pale kiongozi anang'ang'ania madaraka pale ambapo hakuna ukomo wa madaraka
Ili kutekeleza majukumu yanayodaiwa na mazingira ya sasa ya mapambano ya kidemokrasia CHADEMA inatakiwa kuimarishwa katika maeneo mbalimbali ambapo kwanza ni Katiba ya Chama hicho, ambapo amesema Chama kimekuwa kikubwa na hakuna hofu ya kukosa uongozi katika nafasi mbalimbali za chama hivyo chama kinahitaji kurudisha ukomo wa mataraka kama ilivyokuwa mwanzo
Aidha, akizungumzia ukomo madaraka katika nafasi za Ubunge na Udiwani. Lissu amesema "Ukomo wa madaraka unahitajika pia katika suala nyeti la Ubunge na Udiwani wa Viti Malaamu." Amesema mchakato na namna ya kuwapata Wabunge wa Viti Maalumu umeleta mgawanyiko katika chama hicho ambapo mara baada ya uchaguzi wa 2020 ilibidi CHADEMA iwafukuze wanachama karibu Viongozi waandamizi wote wa BAWACHA waliorubuniwa ili kupewa nafasi za Viti Maalumu.
PIA SOMA
- LIVE - Tundu Lissu: Nimewasilisha kusudio la kugombea nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA
johnthebaptist, Lucas Mwashambwa, Tlaatlaah, ChoiceVariable, just to mention a few....hawa ni machwa waandamizi wa ccm hapa jf.Makada 😀
Muulize Lisu anajua Mbowe ni chawa wa nani.Mbowe alikuwa chawa wa nani? Au alizungukwa na machawa?
CC: The Sunk Cost Fallacy 2
Si wote waliotizama hotuba hawana akili. Hakuna mahali kamtukana mtu bali amestate the fact, ccm ina chawa, chadema ina chawa, na vyama vingine. TL anataka kumaliza hiloLisu ameendeleza matusi yake Kwa Bwana Mbowe ambapo awamu hii amemuita Chawa Kwa madai kwamba kutokuwa na ukomo wa madaraka ni Kugeuka chawa.
Ikumbukwe Tundu Lisu alimdhihaki Mbowe baada ya Kukamatwa na Polisi Songwe na Sasa ameendeleza tabia yake ya kukosa Heshima,hekima na adabu Kwa wakubwa wake.👇👇
View: https://x.com/EduTalkTz/status/1867161523589673169?t=47YJfoMJQ8J0okveLwcLXw&s=19
My Take
Chadema ya Tundu Lisu inaweza kufutika kwenye ramani ya siasa kama ataendelea na siasa za uhasama ,dhihaka na kudhalilisha utu wa wengine
Kumbe Mbowe ni chawa 😂😂😂😂Si wote waliotizama hotuba hawana akili. Hakuna mahali kamtukana mtu bali amestate the fact, ccm ina chawa, chadema ina chawa, na vyama vingine. TL anataka kumaliza hilo
Kumbe Mbowe ni Chawa 😂😂😂
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, Tundu Lissu wakati akitangaza nia ya kugombea Uenyekiti wa CHADEMA Taifa amesema CHADEMA haina budi kurudisha utaratibu wa ukomo wa Madaraka kwani utaondoa uwezekano wa Viongozi kung'angania madaraka na kuandaa Viongozi wapya, kupatikana kwa mawazo mapya na itapunguza upambe na uchawa ulioshamiri pale kiongozi anang'ang'ania madaraka pale ambapo hakuna ukomo wa madaraka
Ili kutekeleza majukumu yanayodaiwa na mazingira ya sasa ya mapambano ya kidemokrasia CHADEMA inatakiwa kuimarishwa katika maeneo mbalimbali ambapo kwanza ni Katiba ya Chama hicho, ambapo amesema Chama kimekuwa kikubwa na hakuna hofu ya kukosa uongozi katika nafasi mbalimbali za chama hivyo chama kinahitaji kurudisha ukomo wa mataraka kama ilivyokuwa mwanzo
Aidha, akizungumzia ukomo madaraka katika nafasi za Ubunge na Udiwani. Lissu amesema "Ukomo wa madaraka unahitajika pia katika suala nyeti la Ubunge na Udiwani wa Viti Malaamu." Amesema mchakato na namna ya kuwapata Wabunge wa Viti Maalumu umeleta mgawanyiko katika chama hicho ambapo mara baada ya uchaguzi wa 2020 ilibidi CHADEMA iwafukuze wanachama karibu Viongozi waandamizi wote wa BAWACHA waliorubuniwa ili kupewa nafasi za Viti Maalumu.
PIA SOMA
- LIVE - Tundu Lissu: Nimewasilisha kusudio la kugombea nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA
Jambo jema sana hili. Hata mm nalitamani lifanyiwe kazi.Hili la ukomo limekuwa ni kilio changu cha muda mrefu. Lisu yuko sahihi mno.
Kwamba ww ni mfadhili wa chadema? Yaani tajiri uje ushinde hapa jf?Hujui kitu, Shut Up! Boniyai ni Mwenyekiti wa Kanda, Maranja ni Ofisa wa Juu wa Chadema official, Erythrocyte ni Mfadhili wa Chama, Hakuna Tajiri awezaye kuwa Chawa
Hivi kwa sababu wewe ni mjinga basi unadhani watu wa jf ni Wajinga!Kwamba ww ni mfadhili wa chadema? Yaani tajiri uje ushinde hapa jf?
Ili Mbowe aendelee kubakiHii ngoma inaonesha CHADEMA wamejipanga kweli kweli ,ikifika mda Lissu atajitoa kwenye kinyanganyiro , chachema wapo smart
Hivi nyinyi wafuasi wa chadomo kwanini mnakimbilia kumhukumu mtu bila kujibu hoja zake?..haiwezekani TAJIRI aje ashinde hapa jf..hivi ww mfadhili wa chadema unawezaje?Hivi kwa sababu wewe ni mjinga basi unadhani watu wa jf ni Wajinga!
Kwa kadri ya uelewa wako, ni yapi Majukumu ya Tajiri? Utajiri ni Baraka za Mungu siyo Utumwa, ndio maana huwezi kumuona Abood kwenye Mabasi yake akikusanya nauli, yuko Dodoma anagonga meza tu bungeniHivi nyinyi wafuasi wa chadomo kwanini mnakimbilia kumhukumu mtu bila kujibu hoja zake?..haiwezekani TAJIRI aje ashinde hapa jf..hivi ww mfadhili wa chadema unawezaje?
Kwahiyo ww ni Mzee mtei?Kwa kadri ya uelewa wako, ni yapi Majukumu ya Tajiri? Utajiri ni Baraka za Mungu siyo Utumwa, ndio maana huwezi kumuona Abood kwenye Mabasi yake akikusanya nauli, yuko Dodoma anagonga meza tu bungeni
Na bado! Mtaniuliza mengi mno!Kwahiyo ww ni Mzee mtei?
Yupi kati ya Lissu na Mbowe anafaa zaidi kuwa mwenyekiti, naomba jibu lako kama mdau anayeiunga mkono CHADEMA ?Naiunga mkono Chadema, Kuna Mengi yanakuja ya kushangaza sana ambayo wadau mtaendelea kushangaa