Ruzuku? Ungehoji ccm inayochukua fedha nyingi za ruzuku zaidi ya mara 10 mbona inasaidiwa na watu individual?Unaifadhili chadema kwenye nyanja gani kama ni pesa si wanapokea ruzuku za kutosha?
Mpaka umafia wa kusanehe kodi kwa wafanyabiashara unatumika ili ipate pesa kwa mlango wa nyuma.Ruzuku? Ungehoji ccm inayochukua fedha nyingi za ruzuku zaidi ya mara 10 mbona inasaidiwa na watu individual?
Kuendesha chama ni gharama sana na ndio maana wenye mapenzi mema wanavichangia
Hapa lazima kuna vikao na mbuzi kachinjwa kujadili namna ya kuokoa chama unaachaje chama bwashee
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, Tundu Lissu wakati akitangaza nia ya kugombea Uenyekiti wa CHADEMA Taifa amesema CHADEMA haina budi kurudisha utaratibu wa ukomo wa Madaraka kwani utaondoa uwezekano wa Viongozi kung'angania madaraka na kuandaa Viongozi wapya, kupatikana kwa mawazo mapya na itapunguza upambe na uchawa ulioshamiri pale kiongozi anang'ang'ania madaraka pale ambapo hakuna ukomo wa madaraka
Ili kutekeleza majukumu yanayodaiwa na mazingira ya sasa ya mapambano ya kidemokrasia CHADEMA inatakiwa kuimarishwa katika maeneo mbalimbali ambapo kwanza ni Katiba ya Chama hicho, ambapo amesema Chama kimekuwa kikubwa na hakuna hofu ya kukosa uongozi katika nafasi mbalimbali za chama hivyo chama kinahitaji kurudisha ukomo wa mataraka kama ilivyokuwa mwanzo
Aidha, akizungumzia ukomo madaraka katika nafasi za Ubunge na Udiwani. Lissu amesema "Ukomo wa madaraka unahitajika pia katika suala nyeti la Ubunge na Udiwani wa Viti Malaamu." Amesema mchakato na namna ya kuwapata Wabunge wa Viti Maalumu umeleta mgawanyiko katika chama hicho ambapo mara baada ya uchaguzi wa 2020 ilibidi CHADEMA iwafukuze wanachama karibu Viongozi waandamizi wote wa BAWACHA waliorubuniwa ili kupewa nafasi za Viti Maalumu.
PIA SOMA
- LIVE - Tundu Lissu: Nimewasilisha kusudio la kugombea nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA
Hii prediction nimeipata kwa kusoma kitabuNingefanya divination ,utabiri.
System ya Pythagoras.
Aisee,it is very interesting.
Kwanza unatafuta birth date ya mtu,kwa mfano Lissu,29 January.
Halafu jina lake,the first letter of his Christian name.
Sasa huyu Pythagoras was not a Christian how could he have asked for a Christian name?
Kwa hiyo sasa the first letter is A.
Huyu ni Antipas, amezaliwa January 20
Halafu the day that the question is being asked. That is today, Thursday.
Halafu the planet which rules this particular day. It is Jupiter for Thursday.
Now we are ready to do the divination.
Ipo namba attached to A.
In this case A is number 4.
Add to that the date of birth 20
Add to that the number for Thursday.,which in this case is 31
Add to that the number for the planet which is controlling Thursday,that is 78
Add them up you get 133.
You divide this by 30.
The remainder is 13. That is your answer.
And now there is chart which will tell you what 13 means.
In this case inasema mizengwe inamsubiri jamaa.
Sasa sijui kama Lissu adventures au misadventures.
Isipokuwa naona this system is making my mind very peaceful. Siyo kama Ile ramli chonganishi ya jana.
Kwa huu utabiri wenyewe,kwamba mizengwe inamsubiri Tundu Lissu.
Jambo ambalo nadhani chawa wote watakubaliana na mimi. ( Or rather, watakubaliana na Pythagoras)
Naungana na wewe mkuu 100%Lisu hafai kuwa kiongozi mkuu wa jumuiko lolote, iwe chama cha siasa, nchi, etc. Hana charisma wala hekima ya uongozi. Chadema wakimpa uenyekiti chama kitakufa.
Ni mjanja mjanja sana LissuKuna shuuma nzito dhidi ya Lisu zimeandikwa na Yericko Nyerere ambazo Lisu anapaswa kutoka hadharani na kuzitolea ufafanuzi ama aombe radhi.
1. Kusema kuwa hajalipwa hela yake ya matibabu kumbe kalipwa.
2. Madai kuwa Abdul alienda nyumbani kwake kumhonga wakati kumbe alikuwa anamsaidia kufanikisha malipo ya matibabu yake.
3. Kupewa nafasi kubwa ktk chama lkn hazitendei haki
Lisu anapaswa kutoka hadharani na kujisafiaha ama kuomba radhi.
Mnahangaika sana..... Tundu Lissu ni next level.Mbali na sifa zote alizo nazo Tundu Lissu, tukubaliane kwamba, kuna kitu mhimu kinapungua kwake, na kwa hicho, ndicho kinachosumbua vichwa vya wasomi wenzake wanaoona mbali kumwamini kupewa nafasi mhimu kama hiyo
Nimepitia maoni mbali mbali ya wachambuzi mahiri wa siasa katika nchi yetu na waandishi manguli katika nchi yetu, baada tu ya Makamo Mwenyeki wa chama kikuu cha upinzani nchini (CHADEMA) kutangaza hadharani na mbele ya makamera na waandishi wa habari wa ndani na nje kwamba, anahitaji kugombea nafasi ya Mwenyekiti Taifa katika chama alichopo
Baada ya kupitia maoni mbalimbali kumhusu yeye, nahitimisha kusema kwamba, Mh Tundu lissu, hafai kuaminiwa na wanachi katika nafasi ya Urais
Nafasi ambayo, inahitaji watu watulivu, waliojaa hekima na maamzi yasiyo ya kukurupuka, nafasi ambayo kwa neno moja tu la mkuu wa nchi, linaweeza kuhatarisha usalama wa nchi na wananchi
Kama yeye Mh Tundu lissu, hapati kuaminiwa kwenye nafasi ndogo tu ya kuongoza chama chenye wanachama wanaosadikiwa kufika 12M, tumwamini vipi katika nafasi ya kuongoza taifa lenye zaidi ya watu milion 70?
Nashauri, ili Mh Lissu aaminiwe katika nafasi ya Urais, ni bora aaminiwe kwanza kwenye chama chake!
Mh Tundu lisu ni JPM aliyechangamka aishie kwenye nafasi aliyopo na akienda sana, aishie kwenye kuongoza Wizara tu
kweli dunia ina maajabu yake yaani TL asifae ila ....afae duuuhLisu hafai kuwa kiongozi mkuu wa jumuiko lolote, iwe chama cha siasa, nchi, etc. Hana charisma wala hekima ya uongozi. Chadema wakimpa uenyekiti chama kitakufa.
Kwa hiyo hizi tuhuma chadema walikuwa wanazijua ila wakazimezea mpaka alipotangaza kugombea uenyekiti? Ama kweli hiyo nafaasi ina mengi.Kuna shuuma nzito dhidi ya Lisu zimeandikwa na Yericko Nyerere ambazo Lisu anapaswa kutoka hadharani na kuzitolea ufafanuzi ama aombe radhi.
1. Kusema kuwa hajalipwa hela yake ya matibabu kumbe kalipwa.
2. Madai kuwa Abdul alienda nyumbani kwake kumhonga wakati kumbe alikuwa anamsaidia kufanikisha malipo ya matibabu yake.
3. Kupewa nafasi kubwa ktk chama lkn hazitendei haki
Lisu anapaswa kutoka hadharani na kujisafiaha ama kuomba radhi.
Mtu akitaka kugombea wenyekiti basi hapo kwao hafai tena, wataanza kumwita msaliti, anatumiwa, na shutuma nyingi wakati wamekuwa naye miaka yote hiyo.kweli dunia ina maajabu yake yaani TL asifae ila ....afae duuuh
Wakifanya hivyo hakuna tena atakayewaamini Chadema.Mtu akitaka kugombea wenyekiti basi hapo kwao hafai tena, wataanza kumwita msaliti, anatumiwa, na shutuma nyingi wakati wamekuwa naye miaka yote hiyo.
Mtu ambaye atakuwa anacheka sana ni zitto. Maana wote waliokuwa mstali wa mbele kumsema nao sasa wameanza kuonja joto lile lile. Amini vijana wa chadema hapa watampa tundu lissu shutuma zile zile anazopewa zitto.
Washaanza, huoni hizo tuhuma wanazomzushia.Wakifanya hivyo hakuna tena atakayewaamini Chadema.
Wataonekana wao na CCM ni walewale!
Lissu sio mjanja kivile ni Trump type politician.Anayetafuta sympathy.Ni mjanja mjanja sana Lissu
Trump unamchukulia poa? Ndiyo hivyo wamarekani wanamwelewa sasa.Lissu sio mjanja kivile ni Trump type politician.Anayetafuta sympathy.
Lakini Lissu amekuwa Mbunge,Amekuwa Mwenyekiti wa Tanganyika Lawyer's Society,Amegombea urais wa Tanzania na Magufuli.
Sijaona jambo alilofanya extraordinary. Nadhani ni illution ya MAKE TANZANIA GREAT AGAIN
No plans ni kelele tu.