Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli ni kuwa bila "Goli la mkono" sisiemu hatuwezi kumshinda yeyote..Haya ni maoni yangu na upepo ninavyouona unavyovuma! Lisu is the right presidential candidate from Chadema! Give him a second chance. ATAMTIKISA SAMIA, TENA SANA!
exactly, bila wizi Samia haoni ndani! Atapigwa mweleka very early in the morning! Nipe maoni yako johnthebaptist kuwa mkweli kutoka rohoni mwako ukiongozwa na Roho MtakatifuHangaya hawezi kumshinda Lissu bila wizi
ACT hakuna candidate wa kumtikisa Samia! Vilivyobaki vyote ni macho kumchuzi!Kwa nature ilivyo kwa vyama vya upinzani hakuna mtu wakuitikisa CCM isipo kuwa Antipas Mungwai Lissu. Vinginevyo CCM watashinda kwa % 98.
There you are! patachimbikaDr Slaa awe kampeni Meneja wake,akiungana na timu ya Mwakibusi,Mbowe na Heche.
Aya mambo hayaitaji shinikizo tafiti zifanyike kama ile kipindi cha 2015 ,safari hii sio ccm kutikiswa bali inaondoka pamoja na katiba hii , na tume hiiHaya ni maoni yangu na upepo ninavyouona unavyovuma! Lisu is the right presidential candidate from Chadema! Give him a second chance. ATAMTIKISA SAMIA, TENA SANA!
Hivi Hangaya ataweza kujibu Spana za Lissu kweli? kuna tofauti kubwa sana kuhutubia uliowateua na kuomba kuraSamia atapigwa mbali sana na Jemadari Tunda Lissu kwenye Box la Kura.
Ukweli ni kuwa bila "Goli la mkono" sisiemu hatuwezi kumshinda yeyote..
View: https://youtu.be/cMBS4qMPJ8M?si=v4pU51YfLJHBCfrm
Tuwe wa kweli kuna anguko la vyama vya upinzani nchini nakwa kipindi iki we are running out of potential opponents political figures so out of Tundu lissu I see no one.ACT hakuna candidate wa kumtikisa Samia! Vilivyobaki vyote ni macho kumchuzi!