Pre GE2025 Lissu athibitisha kuandika barua ya kugombea Urais, asema CCM wameweka fedha katika Akaunti yake, tatizo liko wapi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Unataka Tumsusie mlevi gongo???
 
Wewe unafikiri CCM itakubali mchakato wa Katiba mpya? Kwamba CCM wakubali mabadiliko?
Issue ni kwamba kama WaTz hamtaki kujiletea mabadiliko basi msihangaike kujisemesha katiba mpya wala nini.
 
Noted!; Nitakukumbusha a day Tundu Lisu AKIWA Rais!
 
Wewe unafikiri CCM itakubali mchakato wa Katiba mpya? Kwamba CCM wakubali mabadiliko?
"The right cannot be given as a gift by the oppressor, it must be demanded by the oppressed."

By Martin Luther King Jr.


Aidha, "Njia pekee ambayo Wananchi wataitumia katika kuzungumza au kujadiliana na Watawala wao ambao ni madikteta ili kufikia muafaka wenye maslahi kwa pande zote mbili ni kwa kupitia Mtutu wa Bunduki."

Jeff's O'Brien.
 
Lissu anataka kugombea ili ashindane kwenye Urais, au kiu yake ni kugombea pekee?
 
Noted!; Nitakukumbusha a day Tundu Lisu AKIWA Rais!
Haiwezi kutokea, niko hapa hapa toka Serikali ya Nyerere na sasa ni mstaafu. Ukisemwa sana, ukiutaka sana urais wa Tz huwezi kuupata. Anaupata usiyemtarajia
 
Wana haki ya kumlipa maana wai ndio waliharibu gari
 
Sijaona kosa la Lissu! Alichofanya ni kutangaza nia ya kugombea Urais.
Yuko sahihi kabisa! Na sidhani kama kuna kipengele cha Katiba hii mbovu tuliyonayo kama inamkataza raia wa Tanzania kutangaza nia ya kugombea Urais.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…