Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Akutana na kuteta na Christian Kattner ambaye ni Katibu Mkuu wa IDU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili hawatathubutu! Wakithubutu, watakakuwa wameshaiharibu Tanzania moja kwa moja.Inauma sana jitihada zote hizo za matibabu alafu anakuja kurudi anaishia lupango dhamana inazuiwa hadi uchaguzi upite
habari ndo hiyo.Inauma sana jitihada zote hizo za matibabu alafu anakuja kurudi anaishia lupango dhamana inazuiwa hadi uchaguzi upite
Serikali IKICHEZA na Lissu itakuwa historia.
Kwa hiyo magufuli anaogopa kushindana kwa kuwa hajawahi kushinda,Inauma sana jitihada zote hizo za matibabu alafu anakuja kurudi anaishia lupango dhamana inazuiwa hadi uchaguzi upite
Satellites zote zitaelekezwa Tanzania! Mwambieni Sirro huu si wakati wa kuwapiga watanzania kama “mbwa koko”! Haya!
Mpango uliopo ndio huoHili hawatathubutu! Wakithubutu, watakakuwa wameshaiharibu Tanzania moja kwa moja.
Mpango uliopo jikoni ndio huo kumkomesha kwanzahabari ndo hiyo.
[emoji23][emoji23][emoji23]viatu vyake vya gorofa,vina soli nene!!!Lisu kachacha hata suti haja mechisha koti kivyake,suruali kivyake kasuruali ka mtumba halafu ona viatu hata kiwi hajapiga kwa kuchacha
Ona hadi anatembea na chaja ya simu kawaomba hiyo hapo ukutani aweke simu yake ichaji ajipige hii selfie picha aliyopost
View attachment 1505613
Siasa za majukwaani au mdahalo yule haziwezi tangu mwanzo alishasema yeye sio mwanasiasa hivyo anajaribu kuwafunga midomo (wapinzani nje ya chama na ndani ya chama) na kutumia nguvu kubwa ya (vyombo vya ulinzi ma wasanii)kukubalikaKwa hiyo magufuli anaogopa kushindana kwa kuwa hajawahi kushinda,
wewe wa stendi usiwe na haraka.hesabu zako zilizopo kichwani usizipoteze,zitunze alafu yakitoka matokeo tutaangalia umepata maksi ngapi.[emoji23]Mpango uliopo jikoni ndio huo kumkomesha kwanza