Ndekrepha
JF-Expert Member
- Jun 4, 2020
- 1,506
- 2,660
Mpango uliopo jikoni ndio huo kumkomesha kwanza
Huyu hatii maguu kabisa.. anazingua tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpango uliopo jikoni ndio huo kumkomesha kwanza
Haitokee kitu kama hicho sema itaonekana na ukatili tuu wa haki za binadamu mbona magoti hadi leo ananyea ndooSerikali IKICHEZA na Lissu itakuwa historia.
Hata akija kashajiandaa anajua kitakachomtokea zile 38 unajua tayari zimemuathiri kisaikoloji bado ana woga w usalama wakeHuyu hatii maguu kabisa.. anazingua tu.
Sawa mkuu ngoja niziingize kwenye docomentary kabisa[emoji23]wewe wa stendi usiwe na haraka.hesabu zako zilizopo kichwani usizipoteze,zitunze alafu yakitoka matokeo tutaangalia umepata maksi ngapi.[emoji23]
Hata akija kashajiandaa anajua kitakachomtokea zile 38 unajua tayari zimemuathiri kisaikoloji bado ana woga w usalama wake
huyu ndiye Rais ,amini usimiaminiNaona beberu yuko kwa mabeberu wenzie.
Tanzania ni kwa Watanzania.
Satellites zote zitaelekezwa Tanzania! Mwambieni Sirro huu si wakati wa kuwapiga watanzania kama “mbwa koko”! Haya!
Hata akirudi hamuwezi amini atakavyokaa kimya tena huenda harakati za kukoso serikali zikapunguaHatari, lile tukio limemvuruga sana.. hawezi kukanyaga tena huku. Harakati zake zitaishia juu kwa juu.
Inauma sana jitihada zote hizo za matibabu alafu anakuja kurudi anaishia lupango dhamana inazuiwa hadi uchaguzi upite
Jidanganyeni mumpotezeLabda kwa asiyejua jua siasa au maana ya ukombozi
Na atatumwa kweli msifieni tuuMtumeeeeeeeee, kazi ndiyo imeanza sasa
Tundu anatakiwa akiwa amechacha na sio akiwa tajiri kama JPM na Hoteli yake pale Kijitonyama!Lisu kachacha hata suti haja mechisha koti kivyake,suruali kivyake kasuruali ka mtumba halafu ona viatu hata kiwi hajapiga kwa kuchacha
Ona hadi anatembea na chaja ya simu kawaomba hiyo hapo ukutani aweke simu yake ichaji ajipige hii selfie picha aliyopost
View attachment 1505613
Hivyo viatu vinaitwa laizoni huku Africa tulishaacha kuvivaa atakuwa kanunua kwenye mitumba enzi hizo vilikuwa vikivaliwa na suruali pana yeye ndie kakumbuka leo!!!! unavaa hivi unaonekana cheki bob wa kienzi hizo huyo mwenye miwani ni baba yangu mdogo akienda kumchumbia mama mdogo na kulia kwake ni mshenga wake!!!![emoji23][emoji23][emoji23]viatu vyake vya gorofa,vina soli nene!!!