Uchaguzi 2020 Lissu atua Ujerumani katika maandalizi ya mwisho kutua Tanzania

Uchaguzi 2020 Lissu atua Ujerumani katika maandalizi ya mwisho kutua Tanzania

hapo anawauzia nchi mabeberu.wampe sapoti afu atawapa mlima kilimanjaro
 
Hata wao wanajua kuwa siku mh Lissu akiingia hapa nchini vyombo vyote vya kiulinzi vya kimataifa macho yao ni kwa Lissu.
Satellites zote zitaelekezwa Tanzania! Mwambieni Sirro huu si wakati wa kuwapiga watanzania kama “mbwa koko”! Haya!
 
Lisu kachacha hata suti haja mechisha koti kivyake,suruali kivyake kasuruali ka mtumba halafu ona viatu hata kiwi hajapiga kwa kuchacha

Ona hadi anatembea na chaja ya simu kawaomba hiyo hapo ukutani aweke simu yake ichaji ajipige hii selfie picha aliyopost

View attachment 1505613
Tundu anatakiwa akiwa amechacha na sio akiwa tajiri kama JPM na Hoteli yake pale Kijitonyama!
 
[emoji23][emoji23][emoji23]viatu vyake vya gorofa,vina soli nene!!!
Hivyo viatu vinaitwa laizoni huku Africa tulishaacha kuvivaa atakuwa kanunua kwenye mitumba enzi hizo vilikuwa vikivaliwa na suruali pana yeye ndie kakumbuka leo!!!! unavaa hivi unaonekana cheki bob wa kienzi hizo huyo mwenye miwani ni baba yangu mdogo akienda kumchumbia mama mdogo na kulia kwake ni mshenga wake!!!!

1594649881426.png
 
Duh! Kwahiyo ndo hawezi tena kuvaa viatu size moja !!
 
Back
Top Bottom