Hahaa kushindwa kwa Chadema hauwezi kuwa ushindi wa ACT braza. Unaitakia mabaya chama wewe sio kwanza. Wamepita akina magu na vyombo vyao lakini bado Chadema ndio kwanzaaaaaa!! Kila kona inaota kama uyoga.Aliyejiandaa kushika nchi ni Lazaro Nyalandu. Akitoswa huyoooo anarudi CCM.
Lissu asubiri kupewe uwaziri wa mambo ya nje.
Akirudi atakamatwa kwa makosa mengine ya jinai yanayomkabili.
ACT Wanatafuta ongezeko la wabunge wao tu, mpango wa kuungana na CHADEMA haupo na hautakuwepo na ningependa usiwepo, mibunge ya CHADEMA na madiwani wao wengi wamekisaliti chama. Twende na ACT kama kilivyo.
Watashindana hawatashinda. 5metre range AK47 projection ya 30 bullets ilishindwa kupiga hata kichwani sijui Lissu atakuja kufa kwa sababu gani. He survived to tell the tale. God is great forever.Hilo sio tatizo na sio lazima awe rais.
Hayo mnayopanga kumfanyia nayo yatapita, ikiwa Mungu alimshindia kifo hata hayo mnayopanga tena mtetezi wake atamtetea tena
Kuna watu wanatuchafulia jukwaa. Kwa kuwa wanalipwa wacha wawepo angalau wapate pesa ya mkateUkimwambia mtu upo jf anakuwa anakuona nawe ni mmoja wa magreat thinkers.
Atazimia akija ona hoja zako zilivyo lewa.
Wanalaana na watashindwa kwa Jina la Yesu wa NazaletiKutaka kumuua haikuwatosha? Bado mnataka damu yake?
AhaaBasi tulia nayo kichwani mwako.
Akishaingia kwenye mchakato wa kuwa mgombea, waTanzania watampigia kura huko huko atakakokuwa amewekwa na hao mashetani wanaosumbua kichwa chako.
FOMU za uteuzi tume ya uchaguzi mtu huchukua mwenyewe na kurudisha mwenyewe akishajaza wadhamini haichukuliwi na wakala akiwa jela hakuna wa kumchukulia hairuhusiwi .
hatakuwemo kundi la wagombea akiwa jela
Ni kwasababu ya mguu mbovu[emoji23][emoji23][emoji23]viatu vyake vya gorofa,vina soli nene!!!
Inauma sana jitihada zote hizo za matibabu alafu anakuja kurudi anaishia lupango dhamana inazuiwa hadi uchaguzi upite
Kwani ameshahakikishiwa usalama wake akirudi?
Acha ushamba hyo hilo koti ni blazer, kwani kutembea na chaji ni dhambi?Lisu kachacha hata suti haja mechisha koti kivyake,suruali kivyake kasuruali ka mtumba halafu ona viatu hata kiwi hajapiga kwa kuchacha
Ona hadi anatembea na chaja ya simu kawaomba hiyo hapo ukutani aweke simu yake ichaji ajipige hii selfie picha aliyopost
View attachment 1505613
πππ eti dhamana itazuiwa had uchaguzi upiteInauma sana jitihada zote hizo za matibabu alafu anakuja kurudi anaishia lupango dhamana inazuiwa hadi uchaguzi upite
π€π€π€ kavaa viatu vya Jeje πππLisu kachacha hata suti haja mechisha koti kivyake,suruali kivyake kasuruali ka mtumba halafu ona viatu hata kiwi hajapiga kwa kuchacha
Ona hadi anatembea na chaja ya simu kawaomba hiyo hapo ukutani aweke simu yake ichaji ajipige hii selfie picha aliyopost
View attachment 1505613
reality kabisa πΆπΆπΆThis time around Tanzania inakwenda kumulikwa na dunia nzima vile haijawahi kutokea...... !!!!!
Wewe kunjia mkia matakoni kwa woga wako usiwatishe walioamua kupigania haki. Wengine ukisikia polisi wanakutaja unajifungia chooni wiki nzima! Let them do their worst it is the price he has decided to pay. But at the end the sunlight is there and the cowards shall run away in exile am sure!Lisu anapaswa awe makini na ajiulize, kama alipigwa risasi na mpaka sasa hakuna kesi wala mtuhumiwa, je waliompiga hawtampiga tena na kusitokee chochote? Hao mabeberu walikuwepo kabla na baada ya kupigwa na hawajafanya na hawatafanya chochote. Pili anakesi zilikuwepo na anaweza kuwekwa kizuizini kisheria na akasota humo mpaka ucgaguzi uishe?
Ndio mkuu si unajua serikali haikosi sababu[emoji23][emoji23][emoji23] eti dhamana itazuiwa had uchaguzi upite
Sijasema mimi lakini[emoji2]Hizo ndiyo njama za BEBERU LA TANZANIA linaloitwa JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI....[emoji1787]!!