Uchaguzi 2020 Lissu atua Ujerumani katika maandalizi ya mwisho kutua Tanzania

Hahaa kushindwa kwa Chadema hauwezi kuwa ushindi wa ACT braza. Unaitakia mabaya chama wewe sio kwanza. Wamepita akina magu na vyombo vyao lakini bado Chadema ndio kwanzaaaaaa!! Kila kona inaota kama uyoga.
 
Hilo sio tatizo na sio lazima awe rais.
Hayo mnayopanga kumfanyia nayo yatapita, ikiwa Mungu alimshindia kifo hata hayo mnayopanga tena mtetezi wake atamtetea tena
Watashindana hawatashinda. 5metre range AK47 projection ya 30 bullets ilishindwa kupiga hata kichwani sijui Lissu atakuja kufa kwa sababu gani. He survived to tell the tale. God is great forever.
 
Ukimwambia mtu upo jf anakuwa anakuona nawe ni mmoja wa magreat thinkers.
Atazimia akija ona hoja zako zilivyo lewa.
Kuna watu wanatuchafulia jukwaa. Kwa kuwa wanalipwa wacha wawepo angalau wapate pesa ya mkate
 
Basi tulia nayo kichwani mwako.

Akishaingia kwenye mchakato wa kuwa mgombea, waTanzania watampigia kura huko huko atakakokuwa amewekwa na hao mashetani wanaosumbua kichwa chako.
Ahaa
 
Ila Lissu bana, yaani kuja Tanzania hadi apige misele utafikiri mtu anayeoga kipindi cha baridi bana! Yaani unagusa maji kiuogaoga, asijepanda ndege kuja akagoma kushuka airport!

Aje tu wengine tunataka hamshahamsha zake walau tuone kuna uchaguzi maana mpaka sasa kumepoa sana.
 
Lissu akitengeneza timu na Zitto tutapata joto halisi la uchaguzi.
 
FOMU za uteuzi tume ya uchaguzi mtu huchukua mwenyewe na kurudisha mwenyewe akishajaza wadhamini haichukuliwi na wakala akiwa jela hakuna wa kumchukulia hairuhusiwi .
hatakuwemo kundi la wagombea akiwa jela

Basi kuonyesha kuwa tumempigia kura Lissu, watakaokwenda kupiga kura, tutawaagiza waharibu karatasi ya kura.
 
Acha ushamba hyo hilo koti ni blazer, kwani kutembea na chaji ni dhambi?
 
πŸ€”πŸ€”πŸ€” kavaa viatu vya Jeje πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wewe kunjia mkia matakoni kwa woga wako usiwatishe walioamua kupigania haki. Wengine ukisikia polisi wanakutaja unajifungia chooni wiki nzima! Let them do their worst it is the price he has decided to pay. But at the end the sunlight is there and the cowards shall run away in exile am sure!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…