Lisu kachacha hata suti haja mechisha koti kivyake,suruali kivyake kasuruali ka mtumba halafu ona viatu hata kiwi hajapiga kwa kuchacha
Ona hadi anatembea na chaja ya simu kawaomba hiyo hapo ukutani aweke simu yake ichaji ajipige hii selfie picha aliyopost
View attachment 1505613
Kaeni chini mfanye assessment mihemko inaweza kuamsha mambo ambayo yatawaletea chalenge ku neutralize Mmesha spark International communities attention hakuna sababu za kudeal na TAL kwa sasa mana hata mkimuacha azulule nchi nzima hawezi kushida hata kidogo sasa ya nini kuhangaika nae
Akija mimi simo
Hapa sio N Korea kwa Kim Jong Un au China kwa Sh Jimping ni Tanzania yetu sote sio kwa mkoloni mweusi CCM peke yake!!Naona beberu yuko kwa mabeberu wenzie.
Tanzania ni kwa Watanzania.
Mkuu kumbuka Lissu ana kiinua mgongo Cha ubunge kwa miaka nne. Nadhani Ni milioni Mia kadhaa, na pia ujue lile tukio la 36 ameligeuza mtaji kisiasa na kiuchumi kwa nchi wafadhili wa Chadema.Lisu kachacha hata suti haja mechisha koti kivyake,suruali kivyake kasuruali ka mtumba halafu ona viatu hata kiwi hajapiga kwa kuchacha
Ona hadi anatembea na chaja ya simu kawaomba hiyo hapo ukutani aweke simu yake ichaji ajipige hii selfie picha aliyopost
View attachment 1505613
Kaajiriwa ughaibuni sema analipwa kiduchu ndio maana hata kurudi anavizia vizia ka likizo ka mwajiri ata kako approve!!!Mkuu kumbuka Lissu ana kiinua mgongo Cha ubunge kwa miaka nne. Nadhani Ni milioni Mia kadhaa, na pia ujue lile tukio la 36 ameligeuza mtaji kisiasa na kiuchumi kwa nchi wafadhili wa Chadema.
Ndiyo maana ameishi ughaibuni na kutibiwa bila kulia njaa, Pamoja na kuchacha kwake ( Kwa mujibu wako) sijui Kama unamfikia ??
Ila mlivyoambiwa mmeingia uchumi wa chini wa kati mliwachekelea mabeberu na kukatika viuno .hizo propaganda za kizamani sanaNaona beberu yuko kwa mabeberu wenzie.
Tanzania ni kwa Watanzania.
Taratibu mbona umepanick sanaMaumbile
Magu hawezi kumkamata Lissu...Ya Albashir,Mugabe nk yatamkutaCOURT ORDER ya kumkamata Lisu ipo akitua tu .COURT ORDER KUITEKELEZA HUWA HAITEGEMEI UWEPO WA SATELLITE!!!!!
Hizo zitaitwa kura za marohaniTutampigia kura hata kama atakuwa Gerezani!
Kwani ameshahakikishiwa usalama wake akirudi?
Si alisema harudi mpaka serikali imhakikishie usalama?
aisee jamaa akitua Tz atakuwa kwenye maximum security
muda si mrefu watakuja kumpanda mbuzi jikeNaona beberu yuko kwa mabeberu wenzie.
Tanzania ni kwa Watanzania.
Njozi za mafarisayo wanaoogopa ujio wa SHUJAA Lissu.Bro ya nini kuandikia mate wino ungalipo? Huyo akirudi ni NDANI tu. Mbwa koko kubweka asili yake.
Ni kwasababu ya mguu mbovu