Uchaguzi 2020 Lissu atua Ujerumani katika maandalizi ya mwisho kutua Tanzania

hapo anawauzia nchi mabeberu.wampe sapoti afu atawapa mlima kilimanjaro
 
Hata wao wanajua kuwa siku mh Lissu akiingia hapa nchini vyombo vyote vya kiulinzi vya kimataifa macho yao ni kwa Lissu.
Satellites zote zitaelekezwa Tanzania! Mwambieni Sirro huu si wakati wa kuwapiga watanzania kama “mbwa koko”! Haya!
 
Tundu anatakiwa akiwa amechacha na sio akiwa tajiri kama JPM na Hoteli yake pale Kijitonyama!
 
[emoji23][emoji23][emoji23]viatu vyake vya gorofa,vina soli nene!!!
Hivyo viatu vinaitwa laizoni huku Africa tulishaacha kuvivaa atakuwa kanunua kwenye mitumba enzi hizo vilikuwa vikivaliwa na suruali pana yeye ndie kakumbuka leo!!!! unavaa hivi unaonekana cheki bob wa kienzi hizo huyo mwenye miwani ni baba yangu mdogo akienda kumchumbia mama mdogo na kulia kwake ni mshenga wake!!!!

 
Duh! Kwahiyo ndo hawezi tena kuvaa viatu size moja !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…