Uchaguzi 2020 Lissu atua Ujerumani katika maandalizi ya mwisho kutua Tanzania

Daaah! jamaa amechoka kukaa Ulaya, Sasa anataka akapumzike Segerea. Nafurahi kuona Lissu ni mzima lakini naumia nikikumbuka kuwa anakuja Sello.
 
Satellites zote zitaelekezwa Tanzania! Mwambieni Sirro huu si wakati wa kuwapiga watanzania kama “mbwa koko”! Haya!
Tunasubiri rais atue, wathubutu kutumia nguvu ama zetu ama zao, iwe mchana au ambush za usiku, salamu zetu watazipata
 
Mimi nataka Aje ili kuwajambishajambisha hata Kama asiposhinda huo Urais, Ila wapate tumbo joto la kuhara, Na wakitumia hasira wanamulikwa.
 
Naona beberu yuko kwa mabeberu wenzie.
Tanzania ni kwa Watanzania.


Kwani nchi pesa za ujenzi zinatoka wapi? Hizo bank za world bank ni mabeberu! Inaelekea watu wengi hata hawajui mabeberu ni nani?
 
View attachment 1505610

Akutana na kuteta na Christian Kattner ambaye ni Katibu Mkuu wa IDU
Rais ajaye! Tunashukuru kwa ushirikiano tunaopata kwa marafiki zetu waliopo polic, usalama, na jw.
 
Lisu anajihangaisha bure, apumzike ajiuguze, atumie muda wake mwingi na familia yake. Hizi siasa za tz ni upuuzi mtu. BTW chaguo la Mbowe anajulikana, ndio maana anaachiwa atambe anavyotaka na hamna anayemgusa ndani ya Chama
 
Lisu anajihangaisha bure, apumzike ajiuguze, atumie muda wake mwingi na familia yake. Hizi siasa za tz ni upuuzi mtu. BTW chaguo la Mbowe anajulikana, ndio maana anaachiwa atambe anavyotaka na hamna anayemgusa ndani ya ChamaView attachment 1505649
Nyalandu yuko serious focused na anaheshimika
speech aliyotoa ni mgombea pekee aliyetoa shukrani kwa Mbowe hana matusi hatukani chadema wala CCM anajikita kwenye hoja tu

Pesa anayo ya kampeni hatasumbua wana chadema anazunguka na mabasi yake kutafuta wadhamini cheki lingine hili

 
Joh unabonga shit sana
 
Nyalandu huyo kwenye lami yumo akisaka wadhamini





Na kusiko na lami pia yumo akisaka wadhamini

 
Sasa mnaenda na Lisu au Membe?.

Majembe yote yanaingia Ulingoni kama ifuatavyo:
1. Tundu Antipas LISSU... CHADEMA.
2. Benard Camillius MEMBE....ACT Wazalendo.

Magufuli safari hii atapata taabu sana......!!!!
 
mhalifu hahitaji brain ni kukamata tu
Kaeni chini mfanye assessment mihemko inaweza kuamsha mambo ambayo yatawaletea chalenge ku neutralize Mmesha spark International communities attention hakuna sababu za kudeal na TAL kwa sasa mana hata mkimuacha azulule nchi nzima hawezi kushida hata kidogo sasa ya nini kuhangaika nae
 
Hapo mmetokota..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…