Yani nikitazamaga maneno yenye unaandika na mtazamo wako kuhusu hiki chama cha Kilimanjaro nakuhurumiaga sana,uko kwenye hiza kubwa mno la kupambanua mambo,au inajua isipokua unalipwa kwa kutumika kwako mitandaoni kutafuta kama kuna wajinga,ila kama unakua serious basi wewe ni kisigino cha fikra..chini kabisa,kuna chama cha kuitoa CCM? Kuna chama cha kuitoa ZANU PF? Kuna chama cha kuitoa ANC? hamtumii akili kujua mseme nini kwa wananchi mpaka wawaeleww,na njia mojawapo ndogo sana ni wakati mwingine kukubali mazuri yanayoonekana nchini yakitekelezwa,itaweka morali kwa sisi wananchi kuona kumbe mna busara maana hata ukweli mnauona yamkini nanyi tuwafikirie,vinginevyo kuna siku chama hicho cha kihuni kitabaki na watu wawili kama si mmoja like UDP