Uchaguzi 2020 Lissu atua Ujerumani katika maandalizi ya mwisho kutua Tanzania

Uchaguzi 2020 Lissu atua Ujerumani katika maandalizi ya mwisho kutua Tanzania

Lisu kachacha hata suti haja mechisha koti kivyake,suruali kivyake kasuruali ka mtumba halafu ona viatu hata kiwi hajapiga kwa kuchacha

Ona hadi anatembea na chaja ya simu kawaomba hiyo hapo ukutani aweke simu yake ichaji ajipige hii selfie picha aliyopost

View attachment 1505613
Acha ushamba kuvaa Rangi tofauti ni fashion siyo lazima zifanane, mbona nyinyi mnaovaa zinazofanana ndiyo mlimpiga risasi? Kuweka chaji kwenye ukuta na kuchaji simu ni kuchacha? hii mifano yako imejaa chuki kubwa inaelekea wewe ni mmoja wa watu walikwenda Dodoma kumpiga risasi maana una chuki na Tundu lisu mpaka umepitiliza zaidi sana, chuki ikizidi hujikuta mtu anaandika chochote ili mradi kujifariji
 
Yani nikitazamaga maneno yenye unaandika na mtazamo wako kuhusu hiki chama cha Kilimanjaro nakuhurumiaga sana,uko kwenye hiza kubwa mno la kupambanua mambo,au inajua isipokua unalipwa kwa kutumika kwako mitandaoni kutafuta kama kuna wajinga,ila kama unakua serious basi wewe ni kisigino cha fikra..chini kabisa,kuna chama cha kuitoa CCM? Kuna chama cha kuitoa ZANU PF? Kuna chama cha kuitoa ANC? hamtumii akili kujua mseme nini kwa wananchi mpaka wawaeleww,na njia mojawapo ndogo sana ni wakati mwingine kukubali mazuri yanayoonekana nchini yakitekelezwa,itaweka morali kwa sisi wananchi kuona kumbe mna busara maana hata ukweli mnauona yamkini nanyi tuwafikirie,vinginevyo kuna siku chama hicho cha kihuni kitabaki na watu wawili kama si mmoja like UDP
Kakifunze kuandika kwanza, kisha kunywa glasi ya maji ya baridi kabisa, halafu ndo uje kuni “quote”
 
Lisu anapaswa awe makini na ajiulize, kama alipigwa risasi na mpaka sasa hakuna kesi wala mtuhumiwa, je waliompiga hawtampiga tena na kusitokee chochote? Hao mabeberu walikuwepo kabla na baada ya kupigwa na hawajafanya na hawatafanya chochote. Pili anakesi zilikuwepo na anaweza kuwekwa kizuizini kisheria na akasota humo mpaka ucgaguzi uishe?
Kwahiyo asirudi home
 
Nilitambua sana yamkini nini utasema,siku zote hua mnajifanya wajanja na wasomi na kumbe ni wapumbavu wakubwa,mnaowaita kama hivi kajifunze kuandika hua ndiyo wanaojua uhalisia na maisha halisi ya mTanzania nje na akili za kutengenezewa darasani na haisaidii kitu hapa Afrika, jf hii ikiendelea na tukawa hai na hzi ID zetu miaka ijayo ntakukumbusha upumbavu wako ulipokua,sasa hv hata uelezwe nini hutaelewa maana umenyeshwa sumu
Kakifunze kuandika kwanza, kisha kunywa glasi ya maji ya baridi kabisa, halafu ndo uje kuni “quote”
 
Hata wao wanajua kuwa siku mh Lissu akiingia hapa nchini vyombo vyote vya kiulinzi vya kimataifa macho yao ni kwa Lissu.
Kila nchi Duniani kuna changamoto kibao, hapo hatujaongelea mega-election US. Hayo mawazo kuwa watu huko kwingine Duniani wako busy kutuwaza sisi mnajua wenyewe mnakoyatoa!
 
Lisu anapaswa awe makini na ajiulize, kama alipigwa risasi na mpaka sasa hakuna kesi wala mtuhumiwa, je waliompiga hawtampiga tena na kusitokee chochote? Hao mabeberu walikuwepo kabla na baada ya kupigwa na hawajafanya na hawatafanya chochote. Pili anakesi zilikuwepo na anaweza kuwekwa kizuizini kisheria na akasota humo mpaka ucgaguzi uishe?
Mnamuweka gerezani,wananchi tunachangua akiwa huko huko gerezani na JIWE almaarufu JPM anatoroka nchini.
Ninyi vibaraka wake sijui mtafanyaje?
 
Inauma sana jitihada zote hizo za matibabu alafu anakuja kurudi anaishia lupango dhamana inazuiwa hadi uchaguzi upite
Hoja yako haina mashiko hata kidogo! Fikra kama hizi ni aina mojawapo ya ulemavu wa kichwa!
 
Kila nchi Duniani kuna changamoto kibao, hapo hatujaongelea mega-election US. Hayo mawazo kuwa watu huko kwingine Duniani wako busy kutuwaza sisi mnajua wenyewe mnakoyatoa!
Tulia dawa iwaingie vyema kusudi mtende haki kwa wanao wakosoa
 
Kesi huwa hazifutwi kisa eti mtu katangaza nia ya kugombea udiwani ,ubunge au uraisi!!!! sheria haziko hivyo!!! Kesi Zake Lisu hazijafutwa na anatakiwa kukamatwa apelekwe segerea.COURT ORDER ZIPO
Siku hizi JIWE anajadili na wahalifu,wakilipa fedha wanatoka.

Sasa ana shida gani na Lisu mpaka atake kumfunga?

Natambua siku hizi mahakama iko likizo
 
Back
Top Bottom