Prisonerx
JF-Expert Member
- Jun 30, 2020
- 681
- 1,792
Una ushaidi wa hiki ulichokiandikaHakika jiwe ni MHALIFU namba moja hapa nchini, hivi aliwaza nini hadi kushambulia mtanzania mwenzake kwa SILAHA ZA KIVITA tena MCHANA KWEUPE?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una ushaidi wa hiki ulichokiandikaHakika jiwe ni MHALIFU namba moja hapa nchini, hivi aliwaza nini hadi kushambulia mtanzania mwenzake kwa SILAHA ZA KIVITA tena MCHANA KWEUPE?
Mabeberu hawana mpya Ujerumani iko chini ya mwanama Angel mikel kwa miaka 15 kinyume na utaratibu na wanafikiria kumuongezea , Urusi ndiyo useme.Banking on mabeberu mnapoteza muda uzeni sera bora kura mtapataHili hawatathubutu! Wakithubutu, watakakuwa wameshaiharibu Tanzania moja kwa moja.
Statement on the situation in Tanzania: “Rule of law and the freedom of political activity in Tanzania must be guaranteed” | International Democrat Union
Hao wagonjwa watapona kabla Lissu hajarudi, baada ya siku 14 za maambukizi corona haiambukizi tena.Cyprian Musiba kaandaa wagojwa wawili wa corona apate kuwapeleka jela walale jela moja na Tundu lisu wamwambukize covid 19 wasingizie alitoka nayo huko Ulaya
Kinachouma hata ukipiga husikii hata matokeo yanakatwa juu kwa juuMkuu hilo tunalifahamu sana, ila tutampigia kura hata akiwa jela.
Ok tuombe uzimaMachozi ya mamba? Huishia kumkondesha mamba mwenyewe.
Sijatumwa ila ni kweli ni mawazo yanguHayo ni mawazo yako na waliokutuma uyaeneze huku kama njia ya kutishia nyau.
Lisu ana kosa gani? Snowden alifanya makosa ya wazi, wala hakuna mjadala!
Amen.Hoja yako haina mashiko hata kidogo! Fikra kama hizi ni aina mojawapo ya ulemavu wa kichwa!
Hilo swali nzuri sana tusubiri arudi tutajuaKwani anakosa gani
Sina furaha nimetoa mawazo yangu tuu kuwa na amani ndugu ila hii nchi upepo umebadilika jaribuni kusoma alama za nyakatiFuraha yako kwenye shambulio la kishamba la Lissu inatokana na nini ?
Namuomba Mungu akupige laana ya milele wewe na kizazi chako chote , amina
Endelea kushirikiana na Shetani , Malipo yako utayapata tena kwa kiasi kile kile unachostahiliSina furaha nimetoa mawazo yangu tuu kuwa na amani ndugu ila hii nchi upepo umebadilika jaribuni kusoma alama za nyakati
This time around Tanzania inakwenda kumulikwa na dunia nzima vile haijawahi kutokea...... !!!!!
Hapana amepiga picha na mume wakoNaona kapiga picha na boyfriend wake
Hapana amepiga picha na mume wako
Basi tulia nayo kichwani mwako.Sijatumwa ila ni kweli ni mawazo yangu
Thus keyapima kaona anayamuduWewe piga kelele tu hapa na kuruka ruka juu ya keyboard. Mwenzio yalimpata makubwa ambayo hayasahauliki. Yeye ndio alipata machungu na ni yeye anajua ugumu wa aliyopotia..
Kwani interpol haikuwepo mkuu mbona hamkuomba ubalozi wa ubelgiji akaletwa??Hatari, lile tukio limemvuruga sana.. hawezi kukanyaga tena huku. Harakati zake zitaishia juu kwa juu.
Yes he is. Combo ya Lissu na Assad ni kiboko yao.Fundi wa jiwe na spika anakuja kutoka Beligium.