Uchaguzi 2020 Lissu atua Ujerumani katika maandalizi ya mwisho kutua Tanzania

Uchaguzi 2020 Lissu atua Ujerumani katika maandalizi ya mwisho kutua Tanzania

Hakika jiwe ni MHALIFU namba moja hapa nchini, hivi aliwaza nini hadi kushambulia mtanzania mwenzake kwa SILAHA ZA KIVITA tena MCHANA KWEUPE?
Una ushaidi wa hiki ulichokiandika
 
Cyprian Musiba kaandaa wagojwa wawili wa corona apate kuwapeleka jela walale jela moja na Tundu lisu wamwambukize covid 19 wasingizie alitoka nayo huko Ulaya
Hao wagonjwa watapona kabla Lissu hajarudi, baada ya siku 14 za maambukizi corona haiambukizi tena.
 
Lisu ana kosa gani? Snowden alifanya makosa ya wazi, wala hakuna mjadala!

Siongelei kesi zake kisutu. Jumbe alizotumiana na kina mwanyika kulihujumu taifa wakati wa sakata la makinikia inashabihiana na makosa ya Snowden.
 
Naona mnaota mchana Ila but la jeje limempendeza sana tundulisu anazimwa mapema mno
 
Furaha yako kwenye shambulio la kishamba la Lissu inatokana na nini ?

Namuomba Mungu akupige laana ya milele wewe na kizazi chako chote , amina
Sina furaha nimetoa mawazo yangu tuu kuwa na amani ndugu ila hii nchi upepo umebadilika jaribuni kusoma alama za nyakati
 
Sina furaha nimetoa mawazo yangu tuu kuwa na amani ndugu ila hii nchi upepo umebadilika jaribuni kusoma alama za nyakati
Endelea kushirikiana na Shetani , Malipo yako utayapata tena kwa kiasi kile kile unachostahili
 
Wewe piga kelele tu hapa na kuruka ruka juu ya keyboard. Mwenzio yalimpata makubwa ambayo hayasahauliki. Yeye ndio alipata machungu na ni yeye anajua ugumu wa aliyopotia..
Thus keyapima kaona anayamudu
 
Back
Top Bottom