Lissu atuhumu wabunge kuhongwa, waandishi walipewa 6m na DP World

Formula 1 World Championship ya Zanzibar yupo nyuma mfalme wa Dubai?
Mradi wa Matrilioni.
Ni kweli? Neema tupu inakuja
 
Watanzania yatupasa tukatae Kwa njia yeyote ikibidi tuingie barabarani kulikataa hili limkataba.
 
Mi nachomkubali Lissu ni kwamba jamaa huwa sio Mnafki Tofaut na wanasiasa wengne wa Tanzania,

Il Enewei nimeskia huku tena Lema anasema kubinafsishwa kwa bandari ni jambo zuri
Hata Lissu ni mnafiki ukumbuki ujuo wa Lowassa Chadema Lissu alikuwa anamshambulia Sana Lowassa baada ya kuja maneno yake yakawaje? Nakusahihisha kijana wanasiasa wote ni wanafiki sema walichotofautiana ni level ya unafiki tu
 
FaizaFoxy Sijui kapewa Bei gani! Alikua na njaa balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…