Lissu awaalika Wananchi wa Dar na mikoa ya jirani kufika Mahakamani Kisutu kwa wingi tarehe 26 kusikiliza shauri lake

Huko Ni kuingilia Uhuru wa kisheria ndio maana vyombo vya habari vimemsusa na Leo kiongozi wa jukwaa la wahariri Tanzania katamka wazi kuwa. Hawatarusha
au kuandikwa habarii ya mgombea yeyote anayetukana au kuleta uchochezi
Tunamsubiri aliyezoea kuita watu wapumbavu.
 
Yap wazo zuri
 
hata Mimi naweza andika kwenda umoja wa mataifa hata kwa Trump nikitaka
Una nini wewe Lumumba mlamba viatu full vyeti feki? Utatumia lugha gani kumuandikia Trump barua ikiwa hata mwenyekiti wako hawezi kuzungumza hata sentensi moja toka kichwani mwake?

Fukulu fukulumekengelekete.
 
Ile mbinu yake ya kugoma kula haiwezi kumsadia hapa?
Kwani kula lazima.Wengine huwa wanafunga na hutakiwi kusema unafunga .Usipotaka kula ni hiari Hakuna sheria ya kulamisha mtu kula aweza kuwa kwenye mfungo binafsi
 

Hatakwenda yeye kama yeye mahakamani Kisutu...

Yeye atakuwa Dodoma kwenye jambo muhimu la kitaifa...

Halafu wakili wake atakwenda Mahakamani kumwakilisha na kisha kuomba shauri lipangiwe tarehe nyingine...

Kisheria hili linakubalika 100%. especially iwapo kuna genuine reasons..!!
 
Una nini wewe Lumumba mlamba viatu full vyeti feki? Utatumia lugha gani kumuandikia Trump barua ikiwa hata mwenyekiti wako hawezi kuzungumza hata sentensi moja toka kichwani mwake?

Fukilu fukulumekengelekete.
Google translator itafanya hiyo kazi naandika kiswahili na convert kwa kutumia software kibao za kutafsiri mbona Ziko nyingi tu kuanzia Google translator no hiyo sio issue
 
Hatakwenda yeye kama yeye mahakamani Kisutu...

Yeye atakuwa Dodoma kwenye jambo muhimu la kitaifa...

Halafu wakili wake atakwenda Mahakamani kumwakilisha na kumba shauri lipangiwe tarehe nyingine...

Kisheria hili linakubalika 100%...!!
Bahati yao,goddamn it!
Chadema wasilete mchezo,tumechokaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…