Tunamsubiri aliyezoea kuita watu wapumbavu.Huko Ni kuingilia Uhuru wa kisheria ndio maana vyombo vya habari vimemsusa na Leo kiongozi wa jukwaa la wahariri Tanzania katamka wazi kuwa. Hawatarusha
au kuandikwa habarii ya mgombea yeyote anayetukana au kuleta uchochezi
Waweke akaunti,tuanze kufanya yetuHaraka sana fanyeni hivyo.
Yap wazo zuriChadema i am goddamn serious.!
Fanyeni yote ila msilete ujinga Lissu akakosa kwenda Dom tarehe 26 tutalala na nyie mbele.!
Mkitaka mbaki kama chama kikuu cha upinzani na tuwasamehe kwa ile record breaking blunder ya 2015 basi fanyeni yote afike Dom iyo 26!
Wekeni akaunti,
Wekeni namba za mpesa,tigo pesa et al.
Enough is enough.!
Tutajadili hayo after 29/10/2020
Ni sawa piaTutajadili hayo after 29/10/2020
Walete akaunti hapa,waone tulivyo seriousYap wazo zuri
Una nini wewe Lumumba mlamba viatu full vyeti feki? Utatumia lugha gani kumuandikia Trump barua ikiwa hata mwenyekiti wako hawezi kuzungumza hata sentensi moja toka kichwani mwake?hata Mimi naweza andika kwenda umoja wa mataifa hata kwa Trump nikitaka
Kwani kula lazima.Wengine huwa wanafunga na hutakiwi kusema unafunga .Usipotaka kula ni hiari Hakuna sheria ya kulamisha mtu kula aweza kuwa kwenye mfungo binafsiIle mbinu yake ya kugoma kula haiwezi kumsadia hapa?
Chadema i am goddamn serious.!
Fanyeni yote ila msilete ujinga Lissu akakosa kwenda Dom tarehe 26 tutalala na nyie mbele.!
Mkitaka mbaki kama chama kikuu cha upinzani na tuwasamehe kwa ile record breaking blunder ya 2015 basi fanyeni yote afike Dom iyo 26!
Wekeni akaunti,
Wekeni namba za mpesa,tigo pesa et al.
Enough is enough.!
Google translator itafanya hiyo kazi naandika kiswahili na convert kwa kutumia software kibao za kutafsiri mbona Ziko nyingi tu kuanzia Google translator no hiyo sio issueUna nini wewe Lumumba mlamba viatu full vyeti feki? Utatumia lugha gani kumuandikia Trump barua ikiwa hata mwenyekiti wako hawezi kuzungumza hata sentensi moja toka kichwani mwake?
Fukilu fukulumekengelekete.
Bahati yao,goddamn it!Hatakwenda yeye kama yeye mahakamani Kisutu...
Yeye atakuwa Dodoma kwenye jambo muhimu la kitaifa...
Halafu wakili wake atakwenda Mahakamani kumwakilisha na kumba shauri lipangiwe tarehe nyingine...
Kisheria hili linakubalika 100%...!!
Mkuu karibu,mpaka wametufutia na ule uzi wetu pendwa wa mikeka dah!Comments fupi fupi jamani
We jinga unaumia roho Lissu kunywa juice ulaya? na wewe si ununue yako hapo dukani kwa mangi!Mahakama iendelee kukataa uongo huu ili ijenge heshima!
Toka 2018 alikuwa anakunywa juisi na aliporudi akadai kuwa anaenda karantini siku 14 leo mnataka mchangie chopa!!nyiwe watu mnaniacha hoi sana
Tulia kada,sema njoeni mumutulize mweh Jambo huku meatu,baada ya kushindwa na mwanamama Leah Komanya vijana wake wanataka kuuza jimbo upinzani kisa Leah ni mwanamke!Ni sawa pia
Bahati yao,goddamn it!
Chadema wasilete mchezo,tumechokaa
Nimepumzika kwa muda,mara moja moja huwa nachungulia (kenya talk)Kwahy sahivi mmejificha wapi
SafiWe jinga unaumia roho Lissu kunywa juice ulaya? na wewe si ununue yako hapo dukani kwa mangi!