ccm wanatumia mahakama kuwanyanyasa wapinzaniMahakama iendelee kukataa uongo huu ili ijenge heshima!
Toka 2018 alikuwa anakunywa juisi na aliporudi akadai kuwa anaenda karantini siku 14 leo mnataka mchangie chopa!!nyiwe watu mnaniacha hoi sana
Tupo popote ulipoMgombea urais wa Chadema, mh Tundu Lisu amesema atahudhuria mahakama ya kisutu kujibu kesi inayomkabili siku ya tarehe 26/08/2020 baada ya kuwa amekamilisha matakwa yote ya kisheria kule Tume ya uchaguzi.
Tundu Lisu amesema kesi yake ni ya wazi ( open case) hivyo amewaomba wanachama wa Chadema na watu wote wenye mapenzi mema kumsindikiza mahakamani siku hiyo.
Chanzo: Star tv habari!
Nimechoka kusikia vilio vya chadema kuonewa kila siku wakati nguvu ya umma hata kama siyo kama ya kipindi cha 2015 kurudi nyuma,inaweza kuwasaidia ipo!Umechoka kufanya nini?
Na CHADEMA wasilete mchezo gani?
Hujaeleweka. Ukipenda unaweza kufafanua...
Nitafanya hivyoTafuta wadau uwaambie waanzishe group la WhatsApp alafu washee link alafu unitag
Labda mie ni mgeni ktk ufahamu juu ya hizi mahakama na utendaji qa kazi zake. Hivi kesi ni ya Lissu wanaotakiwa ni upande wa mshtakiwa na pia upande wa mshitaki sasa sababu ni Lissu kwa Status yake kwa siasa yetu lazima kuwepo waandishi wa habari kufiatilia kesi yake na kutoa habari kwa umma pia kuna wale ndugu wa watuhumiwa wenye kesi zao. Kwa maelezo hayo sioni umuhimu wa jamii ya watu pwani wawepo pale kwa wingi kwa maana Polisi na Askari magereza ukiweka na wananchi kunakuaga na mihemko hususani kuwepo na wafuasi wa Lissu hapo ndo tafsiri mbaya hutokea haijalishi nani atasemwa kwa ubaya. Aende tu akasikilize shauri lake na akaendelee na utaratibu wa maisha kesi ni yake Aiseee.
Halafu pa kishambaaaaSema kule sijapapenda pamepoaa
Nguvu ya Umma ndiyo suruhisho toshaMahakama zetu zina mambo ya ajabu sana.Yaani kesi ni muhimu kuliko uchaguzi?
Serikali haiendeshwi na barua za amsterdam..punguzeni kiwango cha ujinga.Mkuu umesoma lkn ile barua ya Amsterdam nakuruhusu kaipitie tena
Mimi nakula chungwa sio juisi...juisi muachie beberu ambaye hana sehemu ya kulimaWe jinga unaumia roho Lissu kunywa juice ulaya? na wewe si ununue yako hapo dukani kwa mangi!
Mahakama imemnyenyekea sana kwamba aje kwenye kesi yeye akwa na visingizio unaona matokeo yake sasa??ccm wanatumia mahakama kuwanyanyasa wapinzani
Membe yuko wapi mkuu?
Iweje mgombea wenu ameshirikiana na watetea ushoga kusaka kiki duniani?Ushoga ni utawala binafsi! Hata wewe huenda ni shoga chumbani kwako lakini hujatutangazia!
Mbona umepaniki?Kesi Ni yake wanaohitajika Ni yeye,mawakili na Hakimu mbona anahaha kualika watu like eneo dogo Ni kujaza watu Bila sababu
Hata wasipoandika, Lisu habari ya mjini tu. Hazuiliki kwa hizi mbinu za kitotoHuko Ni kuingilia Uhuru wa kisheria ndio maana vyombo vya habari vimemsusa na Leo kiongozi wa jukwaa la wahariri Tanzania katamka wazi kuwa. Hawatarusha
au kuandikwa habarii ya mgombea yeyote anayetukana au kuleta uchochezi
Kwani umelazimishwa?Kesi Ni yake wanaohitajika Ni yeye,mawakili na Hakimu mbona anahaha kualika watu like eneo dogo Ni kujaza watu Bila sababu
Unaelewa sababu ya mahakama kulazimika kuwa na kumbi za hadhara?Labda mie ni mgeni ktk ufahamu juu ya hizi mahakama na utendaji qa kazi zake. Hivi kesi ni ya Lissu wanaotakiwa ni upande wa mshtakiwa na pia upande wa mshitaki sasa sababu ni Lissu kwa Status yake kwa siasa yetu lazima kuwepo waandishi wa habari kufiatilia kesi yake na kutoa habari kwa umma pia kuna wale ndugu wa watuhumiwa wenye kesi zao. Kwa maelezo hayo sioni umuhimu wa jamii ya watu pwani wawepo pale kwa wingi kwa maana Polisi na Askari magereza ukiweka na wananchi kunakuaga na mihemko hususani kuwepo na wafuasi wa Lissu hapo ndo tafsiri mbaya hutokea haijalishi nani atasemwa kwa ubaya. Aende tu akasikilize shauri lake na akaendelee na utaratibu wa maisha kesi ni yake Aiseee.