Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo aliyeleta hizi habari ni mzushi wa Mbowe?
Kamuulize mama yakoNimesikia Tundu Lissu amekimbizwa Ulaya kulikoni jamani. Anaumwa nini tuambieni kilichomfanya kuacha mikutano na haraka haraka akakimbizwa nje ya nchi.
---
JamiiCheck.com imefuatilia hoja hii na kuja na majibu. Soma hapa chini:
- SI KWELI - Tundu Lissu kaenda kutibiwa Ulaya
We binti muongo sana. Alhaji Alieu Dausy Wurie na mke wake Haja Isatu Wurie wamarekani wazaliwa wa Sierra Leone wamo katika waliopoteza maisha huko Saudi Arabia. Wao nao ni wazungu?Heat wave hutokea nchi nyingi . Hulijuwi hilo?
Kwa Mtanzania ana Melanin za kutosha mwilini mwake asiwe na shaka, lakini kama kala vidonge au sindanoi za ku[punguza melanin ili awe mweupe, hapo asilisogelee jua kali la wazi hata la Tanzania, atajibanika kweli.
Ukitazama vifo vyote ni vya watu wenye au wanaozalisha melanin kidogo milini mwao al maaruf "weupe".
Nimekudanganya nini?We binti muongo sana. Alhaji Alieu Dausy Wurie na mke wake Haja Isatu Wurie wamarekani wazaliwa wa Sierra Leone wamo katika waliopoteza maisha huko Saudi Arabia. Wao nao ni wazungu?
Amandla...
Ukitazama vifo vyote ni vya watu wenye au wanaozalisha melanin kidogo milini mwao al maaruf "weupe".Nimekudanganya nini?