Lissu awasusia Ziara Mbowe na Lema

Lissu awasusia Ziara Mbowe na Lema

Status
Not open for further replies.
Ukweli ni kwamba....anaenda Ubeligiji kukaza sukuruu na atakaa huko siku 30. Usisahahu pamoja na psychological therapy kwa sababu ya PTSD.

Akiwa Raisi ataigharimu Serikali na taifa letu fedha nyingi sana.

Maana pilikapilika na mikikimikiki ya Urais zitampeleka huko kila baada ya miezi miwili mitatu. Hivi sasa ni hayo tu mamikutano yake ya hadhara yamelegeza vyuma. Urais Je?
 
Heat wave hutokea nchi nyingi . Hulijuwi hilo?

Kwa Mtanzania ana Melanin za kutosha mwilini mwake asiwe na shaka, lakini kama kala vidonge au sindanoi za ku[punguza melanin ili awe mweupe, hapo asilisogelee jua kali la wazi hata la Tanzania, atajibanika kweli.

Ukitazama vifo vyote ni vya watu wenye au wanaozalisha melanin kidogo milini mwao al maaruf "weupe".
We binti muongo sana. Alhaji Alieu Dausy Wurie na mke wake Haja Isatu Wurie wamarekani wazaliwa wa Sierra Leone wamo katika waliopoteza maisha huko Saudi Arabia. Wao nao ni wazungu?

Amandla...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom