Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Unajua tofauti iliyopo kati ya
Kubisha na kuhoji?Akafie mbele huko, mtu gani mbishi kwenye kila jambo!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kubisha na kuhoji?Akafie mbele huko, mtu gani mbishi kwenye kila jambo!!
Muulize Mbowe mwana wa Chacha Wangwe
Hatimaye Mbowe kamfikia Lissu!!
Yule mwamba ukigusa maslahi yake hakucheleweshi!
Kwa mapenzi ya Mungu, utatangulia wewe usiye na faida, kabla ya Lisu.Akafie mbele huko, mtu gani mbishi kwenye kila jambo!!
Ziara zimepangwa akiwa hajui kuwa anaumwa ama ikoje. Mwenyezi Mungu na akawe msaada wake katika matibabu yake yote.
Punguani jingine hili hapa.huyu hana akili acha mboye amnyoroshe anatukana hata mama yake? stupid nyangáu
Isijekuwa ni laana za kutukana watu.
Kuna wakati akili zako zinachanganyika na haja kubwa wewe si bure.Yesu alipowaambia wale thenashara " Mmoja Wenu atanisaliti" wakaulizana Wote " je ni wewe?" Lakini Yuda Iskarioti hawakumuuliza kwa sababu alikuwa amebeba mkoba wa Hazina hivyo walimwamini Sana
Ndio hayo ya Drip sasa 😂😂
Kwa sababu simfagilii mchagga mwenzio 🐼Kuna wakati akili zako zinachanganyika na haja kubwa wewe si bure.
Mimi siyo mchaga wala sina nasaba na wachaga na wala sijwahi kumfagilia mtu humu, usikariri.Kwa sababu simfagilii mchagga mwenzio 🐼
Ukimuabudu Mangi wewe ni Chagga tu 🐼Mimi siyo mchaga wala sina nasaba na wachaga na wala sijwahi kumfagilia mtu humu, usikariri.
Simuabudu mtu yoyote zaidi ya mizimu ya kwetu. Usikariri.Ukimuabudu Mangi wewe ni Chagga tu 🐼
Acha kutuletea utaahira wako wa udini wewe pimbi?Kwa sababu simfagilii mchagga mwenzio 🐼
Mweka hazina wa chadema asante kwa taarifa.Kwa Mara nyingine tena Mbowe na Tundu Lissu wameingia kwenye mzozo mwingine ikiwa ni siku moja tu tokea Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Kutangaza ziara katika kanda ya Kaskazini ambayo ililengwa kuwa na mikutano zaidi ya 104 katika mikoa ya Kilimanjaro, Arusha,Tanga na Manyara.
Ziara ambayo ilitangazwa itakuwa ni ya siku 21 katika majimbo 35 tayari imeshaingia dosari siku ya pili tu tokea kuanza kwa ziara Makamu Mwenyekiti Tundu Lisu ameisusia ziara hiyo kwa madai kuwa Mwenyekiti amejipanga kwa bajeti kubwa ikiwa yeye ametoka kwenye ziara katika mkoa wa Singida bila ya kuwa na bajeti iweje Mbowe afanye kufuru.?
Siku ya jana baada ya kumalizika kwa mikutano ilibidi yeye na delegation yake ikiongozwa na Askofu Mwanamapinduzi wajigharamie Chakula na Malazi kitu ambacho Lissu alikipinga na hakikuwa katika ratiba yake.
Hali hiyo ilimlazimu Tundu Lissu achukue sehemu ya michango aliyochangiwa na wanaharakati pamoja na diaspora kununulia gari kwa kutoa kiasi cha shilingi milioni 2 kulipia malazi tu hali ambayo imemkasirisha Makamu Mwenyekiti na kupelekea kususia ziara hiyo kwa madai kuwa yeye hana pesa na alikwenda kwenye hiyo ziara kwa mualiko wa Mwenyekiti wake.
Tundu Lissu anasema kuwa Mbowe alipaswa kumuhudumia kama Kiongozi yeye pamoja na delegation yake lakini ilipofika jioni baada ya kumaliza mikutano kila mtu anashika njia yake kitu ambacho kimemfanya Tundu Lissu aingie mitini kuendelea na ziara.
Tunaposema Lissu na Mbowe hawapikiki tena chungu kimoja ni wazi sasa hivi imebakia kugawana magwanda tu na kila mmoja kushika njia yake.
Kwaheri Lissu.
Kama matusi ni faida, elewa kuwa faida hiyo mimi sina.Alaaniwe Lisu, ukose kulaanika wewe usiye na faida kwa jamii?
Kwa taarifa yako, Lisu yu mzima wa afya. Hajasafiri kwenda kokote, yupo nchini. Ratiba waliyopanga kuwa pamoja na Mbowe ili kuwajibu punguani waliosema kuna mfarakano, imekamilika. Na sasa Lisu anaanza kanda nyingine, huku Mbowe akiendelea na kanda ya Kaskazini.
Watajijuu.Na sumu ya Dj nayo itadunda?
Heat wave hutokea nchi nyingi . Hulijuwi hilo?Nimekuelewa
Kule anaweza kubanikwa akarudi Nchini akiwa ndafu 🐼
Kwa hiyo aliyeleta hizi habari ni mzushi wa Mbowe?Alaaniwe Lisu, ukose kulaanika wewe usiye na faida kwa jamii?
Kwa taarifa yako, Lisu yu mzima wa afya. Hajasafiri kwenda kokote, yupo nchini. Ratiba waliyopanga kuwa pamoja na Mbowe ili kuwajibu punguani waliosema kuna mfarakano, imekamilika. Na sasa Lisu anaanza kanda nyingine, huku Mbowe akiendelea na kanda ya Kaskazini.