Lissu awasusia Ziara Mbowe na Lema

Lissu awasusia Ziara Mbowe na Lema

Status
Not open for further replies.
DJ amemchacha wangwe.

Uenyekiti wa Chadema ni sumu
Nyie watu wa kukaririshwa sana. Phares Kabuye alikufa kwenye Barabara hiyo hiyo na hamsemi kauawa na Kikwete.

Eneo Hilo hilo Kuna OCD na familia yake walifia hapo. Acheni kushadadia ujinga.

Yaani amuue mtu na asishitakiwe!? Yeye ndiye aliyekuwa anaendesha gari lililopata ajali!?
 
Nyie watu wa kukaririshwa sana. Phares Kabuye alikufa kwenye Barabara hiyo hiyo na hamsemi kauawa na Kikwete.

Eneo Hilo hilo Kuna OCD na familia yake walifia hapo. Acheni kushadadia ujinga.

Yaani amuue mtu na asishitakiwe!? Yeye ndiye aliyekuwa anaendesha gari lililopata ajali!?
Hata Paschal Mayala alipata ajali eneo hilo hilo
 
Hata Paschal Mayala alipata ajali eneo hilo hilo
Yes!!

Yaani ajali ya Wangwe ndiyo mauji. Yaani CCM kumejaa washirikina na watu wenye roho mbaya Sana...

Lissu alipopigwa risasi walisema alistahili, Leo wanasema Mbowe anataka kumuua.

Yaani mtu aliyeshikilia dripu Toka Dodoma mpaka Nairobi ili Lissu apone Leo ndiyo atake kumuua Lissu...!!!
 
Nyie watu wa kukaririshwa sana. Phares Kabuye alikufa kwenye Barabara hiyo hiyo na hamsemi kauawa na Kikwete.

Eneo Hilo hilo Kuna OCD na familia yake walifia hapo. Acheni kushadadia ujinga.

Yaani amuue mtu na asishitakiwe!? Yeye ndiye aliyekuwa anaendesha gari lililopata ajali!?

Kuutaka uenyekiti wa chadema ni sawa na kuitaka roho ya Mbowe lzm akumalize
 
Yes!!

Yaani ajali ya Wangwe ndiyo mauji. Yaani CCM kumejaa washirikina na watu wenye roho mbaya Sana...

Lissu alipopigwa risasi walisema alistahili, Leo wanasema Mbowe anataka kumuua.

Yaani mtu aliyeshikilia dripu Toka Dodoma mpaka Nairobi ili Lissu apone Leo ndiyo atake kumuua Lissu...!!!
Acha na CCM imejaa majangili na mashirikina tupu yanawaza kuua watu na kuiba mali za umma
 
Nimesikia Tundu Lissu amekimbizwa Ulaya kulikoni jamani. Anaumwa nini tuambieni kilichomfanya kuacha mikutano na haraka haraka akakimbizwa nje ya nchi.
nadhani it's normal health clinic and checkup kutokana na athari za majeraha na surgery nyingi sana alizofanyiwa akiwa anapata matibabu.....

clinic hii itakua ni ya mara kwa mara, bilashaka ni kwa mujibu wa daktari wake muwajibikaji, na hasa ukizingatia kuna risasi haikutolewa kutokana na eneo nyeti ilipo 🐒

I wish you all the best homeboy🐒

God bless you
 
nadhani it's normal health clinic and checkup kutokana na athari za majeraha na surgery nyingi sana alizofanyiwa akiwa anapata matibabu.....

clinic hii itakua ni ya mara kwa mara, bilashaka ni kwa mujibu wa daktari wake muwajibikaji, na hasa ukizingatia kuna risasi haikutolewa kutokana na eneo nyeti ilipo [emoji205]

I wish you all the best homeboy[emoji205]

God bless you

Walipoonekana wamekaa na kupanda chopa moja na Mabowe waliosoma Cuba wakaelewa, ila nyumbu bado wako kwenye usingizi wa pono.

Pole Lisu ukipona achana kabisa na kutaka uenyekiti wa Chadema , sumu haionjwi
 
Walipoonekana wamekaa na kupanda chopa moja na Mabowe waliosoma Cuba wakaelewa, ila nyumbu bado wako kwenye usingizi wa pono.

Pole Lisu ukipona achana kabisa na kutaka uenyekiti wa Chadema , sumu haionjwi
ningependa kuwajulisha kwamba,
mwamba alienda kukutana mwenyekiti, kumjulisha na kumuaga chairman juu ya safari yake hiyo muhimu, kwa mustakabali mwema wa afya yake isiyokua ya uhakika, ukilinganisha na majukumu mazito asiyostahili anayojipa chadema 🐒

pamoja na mambo mengine, muungwana atafuatilia na kununua gari kulingana na pesa kidogo alizoomba achangiwe kununua gari la kifahari kwaajili ya shughuli zake binafsi 🐒


Je,
pesa za gari alizochangiwa zitatosha au hazitatosha? tuvute subra muda utaongea 🐒
 
Nimesikia Tundu Lissu amekimbizwa Ulaya kulikoni jamani. Anaumwa nini tuambieni kilichomfanya kuacha mikutano na haraka haraka akakimbizwa nje ya nchi.
Ameenda kupumzika nyumbani kwake UBELGIJI, na si mgonjwa, pia muda wake wa check up umefika, tuache HEARSAY ZA WAHUNI.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom