Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Sahihi kabisaMdomo huwakilisha akili ya mtu. Kwa mfano wewe akili yako tunaipima Kwa hiki ulichoandika...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahihi kabisaMdomo huwakilisha akili ya mtu. Kwa mfano wewe akili yako tunaipima Kwa hiki ulichoandika...
Nyie watu wa kukaririshwa sana. Phares Kabuye alikufa kwenye Barabara hiyo hiyo na hamsemi kauawa na Kikwete.DJ amemchacha wangwe.
Uenyekiti wa Chadema ni sumu
Washirikina mmeanza? jamaa yupo imara snAlionywa hakusikia 🐼
Akiwa anaenda Singida alisimama Chalinze na kuahidi atarudi tarehe 23/06 kufanya mkutano mkubwa wa hadhara
Sasa aliendaje Arusha?!
Hata Paschal Mayala alipata ajali eneo hilo hiloNyie watu wa kukaririshwa sana. Phares Kabuye alikufa kwenye Barabara hiyo hiyo na hamsemi kauawa na Kikwete.
Eneo Hilo hilo Kuna OCD na familia yake walifia hapo. Acheni kushadadia ujinga.
Yaani amuue mtu na asishitakiwe!? Yeye ndiye aliyekuwa anaendesha gari lililopata ajali!?
Wako wapi mwisho tumebaki na churaKamuulize Jiwe na DAB
Yes!!Hata Paschal Mayala alipata ajali eneo hilo hilo
Nyie watu wa kukaririshwa sana. Phares Kabuye alikufa kwenye Barabara hiyo hiyo na hamsemi kauawa na Kikwete.
Eneo Hilo hilo Kuna OCD na familia yake walifia hapo. Acheni kushadadia ujinga.
Yaani amuue mtu na asishitakiwe!? Yeye ndiye aliyekuwa anaendesha gari lililopata ajali!?
Acha na CCM imejaa majangili na mashirikina tupu yanawaza kuua watu na kuiba mali za ummaYes!!
Yaani ajali ya Wangwe ndiyo mauji. Yaani CCM kumejaa washirikina na watu wenye roho mbaya Sana...
Lissu alipopigwa risasi walisema alistahili, Leo wanasema Mbowe anataka kumuua.
Yaani mtu aliyeshikilia dripu Toka Dodoma mpaka Nairobi ili Lissu apone Leo ndiyo atake kumuua Lissu...!!!
UWT mmeanza mambo yenuKuutaka uenyekiti wa chadema ni sawa na kuitaka roho ya Mbowe lzm akumalize
nadhani it's normal health clinic and checkup kutokana na athari za majeraha na surgery nyingi sana alizofanyiwa akiwa anapata matibabu.....Nimesikia Tundu Lissu amekimbizwa Ulaya kulikoni jamani. Anaumwa nini tuambieni kilichomfanya kuacha mikutano na haraka haraka akakimbizwa nje ya nchi.
nadhani it's normal health clinic and checkup kutokana na athari za majeraha na surgery nyingi sana alizofanyiwa akiwa anapata matibabu.....
clinic hii itakua ni ya mara kwa mara, bilashaka ni kwa mujibu wa daktari wake muwajibikaji, na hasa ukizingatia kuna risasi haikutolewa kutokana na eneo nyeti ilipo [emoji205]
I wish you all the best homeboy[emoji205]
God bless you
ningependa kuwajulisha kwamba,Walipoonekana wamekaa na kupanda chopa moja na Mabowe waliosoma Cuba wakaelewa, ila nyumbu bado wako kwenye usingizi wa pono.
Pole Lisu ukipona achana kabisa na kutaka uenyekiti wa Chadema , sumu haionjwi
Mungu na akurehemu kama lisu alizaliwa vile.Mifupa yenyewe ya kuungwa ungwa lakini mdomo!
Ofcourse kwa damage aliyoipata its hard to recover fast, alikuwa hajapona 100%Nimesikia Tundu Lissu amekimbizwa Ulaya kulikoni jamani. Anaumwa nini tuambieni kilichomfanya kuacha mikutano na haraka haraka akakimbizwa nje ya nchi.
Huyo mtu bado ana Vyuma mwilini.Nimesikia Tundu Lissu amekimbizwa Ulaya kulikoni jamani. Anaumwa nini tuambieni kilichomfanya kuacha mikutano na haraka haraka akakimbizwa nje ya nchi.
Alikosea sana kupanda chopa Ile!!!Nimesikia Tundu Lissu amekimbizwa Ulaya kulikoni jamani. Anaumwa nini tuambieni kilichomfanya kuacha mikutano na haraka haraka akakimbizwa nje ya nchi.
Ameenda kupumzika nyumbani kwake UBELGIJI, na si mgonjwa, pia muda wake wa check up umefika, tuache HEARSAY ZA WAHUNI.Nimesikia Tundu Lissu amekimbizwa Ulaya kulikoni jamani. Anaumwa nini tuambieni kilichomfanya kuacha mikutano na haraka haraka akakimbizwa nje ya nchi.
WANGWE HEHEHEEEHuyo ndo Rais ajaye lazima tuhakikishe afya yake iko imara kila siku.