Lissu awasusia Ziara Mbowe na Lema

Lissu awasusia Ziara Mbowe na Lema

Status
Not open for further replies.
Hii ni issue ndogo tuu ya internal communications break down, Mbowe alipomwalika TL, anagharimiwa na chama kama kiongozi mwandamizi wa chama, alipaswa aje mwenyewe na sio kuja na team ya wapambe wake.

Zinapotokea tofauti kubwa za kiitikadi kati ya viongozi, kama hii, Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability? ndio tatizo, na sio hii issue ndogo ya malazi, kesho utamshuhudia yupo kwenye ziara ila akiendelea kuwahitaji na wapambe wake, itambidi awagharimie, chama kinagharimia viongozi tuu na sio viongozi na wapambe wao.

Hata Mwenyekiti, enzi zile anaandamana na mpambe huyu, Ujio wa Wema Sepetu CHADEMA: Is She an Asset or a Liability? Mmeishaumwa na Nyoka, Hamjifunzi tu?! ni Mwenyekiti mwenyewe alikuwa anamgharimia kwa kumlipia tiketi ya ndege, kushare nae gari yake, na kumlaza pale Aeshi kwa gharama za Mwenyekiti na sio kugharimiwa na chama.

P
Mayalla Kwa Kisukuma ni Njaaa
 
Kwa Mara nyingine tena Mbowe na Tundu Lissu wameingia kwenye mzozo mwingine ikiwa ni siku moja tu tokea Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Kutangaza ziara katika kanda ya Kaskazini ambayo ililengwa kuwa na mikutano zaidi ya 104 katika mikoa ya Kilimanjaro, Arusha,Tanga na Manyara.

Ziara ambayo ilitangazwa itakuwa ni ya siku 21 katika majimbo 35 tayari imeshaingia dosari siku ya pili tu tokea kuanza kwa ziara Makamu Mwenyekiti Tundu Lisu ameisusia ziara hiyo kwa madai kuwa Mwenyekiti amejipanga kwa bajeti kubwa ikiwa yeye ametoka kwenye ziara katika mkoa wa Singida bila ya kuwa na bajeti iweje Mbowe afanye kufuru.?

Siku ya jana baada ya kumalizika kwa mikutano ilibidi yeye na delegation yake ikiongozwa na Askofu Mwanamapinduzi wajigharamie Chakula na Malazi kitu ambacho Lissu alikipinga na hakikuwa katika ratiba yake.

Hali hiyo ilimlazimu Tundu Lissu achukue sehemu ya michango aliyochangiwa na wanaharakati pamoja na diaspora kununulia gari kwa kutoa kiasi cha shilingi milioni 2 kulipia malazi tu hali ambayo imemkasirisha Makamu Mwenyekiti na kupelekea kususia ziara hiyo kwa madai kuwa yeye hana pesa na alikwenda kwenye hiyo ziara kwa mualiko wa Mwenyekiti wake.

Tundu Lissu anasema kuwa Mbowe alipaswa kumuhudumia kama Kiongozi yeye pamoja na delegation yake lakini ilipofika jioni baada ya kumaliza mikutano kila mtu anashika njia yake kitu ambacho kimemfanya Tundu Lissu aingie mitini kuendelea na ziara.

Tunaposema Lissu na Mbowe hawapikiki tena chungu kimoja ni wazi sasa hivi imebakia kugawana magwanda tu na kila mmoja kushika njia yake.

Kwaheri Lissu.
Kodi zetu zinatumika vibaya sana Yani?
 
Kwa Mara nyingine tena Mbowe na Tundu Lissu wameingia kwenye mzozo mwingine ikiwa ni siku moja tu tokea Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Kutangaza ziara katika kanda ya Kaskazini ambayo ililengwa kuwa na mikutano zaidi ya 104 katika mikoa ya Kilimanjaro, Arusha,Tanga na Manyara.

Ziara ambayo ilitangazwa itakuwa ni ya siku 21 katika majimbo 35 tayari imeshaingia dosari siku ya pili tu tokea kuanza kwa ziara Makamu Mwenyekiti Tundu Lisu ameisusia ziara hiyo kwa madai kuwa Mwenyekiti amejipanga kwa bajeti kubwa ikiwa yeye ametoka kwenye ziara katika mkoa wa Singida bila ya kuwa na bajeti iweje Mbowe afanye kufuru.?

Siku ya jana baada ya kumalizika kwa mikutano ilibidi yeye na delegation yake ikiongozwa na Askofu Mwanamapinduzi wajigharamie Chakula na Malazi kitu ambacho Lissu alikipinga na hakikuwa katika ratiba yake.

Hali hiyo ilimlazimu Tundu Lissu achukue sehemu ya michango aliyochangiwa na wanaharakati pamoja na diaspora kununulia gari kwa kutoa kiasi cha shilingi milioni 2 kulipia malazi tu hali ambayo imemkasirisha Makamu Mwenyekiti na kupelekea kususia ziara hiyo kwa madai kuwa yeye hana pesa na alikwenda kwenye hiyo ziara kwa mualiko wa Mwenyekiti wake.

Tundu Lissu anasema kuwa Mbowe alipaswa kumuhudumia kama Kiongozi yeye pamoja na delegation yake lakini ilipofika jioni baada ya kumaliza mikutano kila mtu anashika njia yake kitu ambacho kimemfanya Tundu Lissu aingie mitini kuendelea na ziara.

Tunaposema Lissu na Mbowe hawapikiki tena chungu kimoja ni wazi sasa hivi imebakia kugawana magwanda tu na kila mmoja kushika njia yake.

Kwaheri Lissu.
Cdm mjitafakari kuwa kundi la ccm linaliopwa na ccm ili mpotee kisiasa.mjifunze kutoka kenya
 
Kwa Mara nyingine tena Mbowe na Tundu Lissu wameingia kwenye mzozo mwingine ikiwa ni siku moja tu tokea Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Kutangaza ziara katika kanda ya Kaskazini ambayo ililengwa kuwa na mikutano zaidi ya 104 katika mikoa ya Kilimanjaro, Arusha,Tanga na Manyara.

Ziara ambayo ilitangazwa itakuwa ni ya siku 21 katika majimbo 35 tayari imeshaingia dosari siku ya pili tu tokea kuanza kwa ziara Makamu Mwenyekiti Tundu Lisu ameisusia ziara hiyo kwa madai kuwa Mwenyekiti amejipanga kwa bajeti kubwa ikiwa yeye ametoka kwenye ziara katika mkoa wa Singida bila ya kuwa na bajeti iweje Mbowe afanye kufuru.?

Siku ya jana baada ya kumalizika kwa mikutano ilibidi yeye na delegation yake ikiongozwa na Askofu Mwanamapinduzi wajigharamie Chakula na Malazi kitu ambacho Lissu alikipinga na hakikuwa katika ratiba yake.

Hali hiyo ilimlazimu Tundu Lissu achukue sehemu ya michango aliyochangiwa na wanaharakati pamoja na diaspora kununulia gari kwa kutoa kiasi cha shilingi milioni 2 kulipia malazi tu hali ambayo imemkasirisha Makamu Mwenyekiti na kupelekea kususia ziara hiyo kwa madai kuwa yeye hana pesa na alikwenda kwenye hiyo ziara kwa mualiko wa Mwenyekiti wake.

Tundu Lissu anasema kuwa Mbowe alipaswa kumuhudumia kama Kiongozi yeye pamoja na delegation yake lakini ilipofika jioni baada ya kumaliza mikutano kila mtu anashika njia yake kitu ambacho kimemfanya Tundu Lissu aingie mitini kuendelea na ziara.

Tunaposema Lissu na Mbowe hawapikiki tena chungu kimoja ni wazi sasa hivi imebakia kugawana magwanda tu na kila mmoja kushika njia yake.

Kwaheri Lissu.
Uzushi huu tunajua lengo lake ,wajinga tu ndo watakuamini
 
Siku Lisu akitamka Kwa mdomo wake na Mbowe Kwa mdomo wake ndipo nitakapoamini hawaelewani. Lakini propaganda za Chawas mm no mtasubiri sana.
 
Hii ni issue ndogo tuu ya internal communications break down, Mbowe alipomwalika TL, anagharimiwa na chama kama kiongozi mwandamizi wa chama, alipaswa aje mwenyewe na sio kuja na team ya wapambe wake.

Zinapotokea tofauti kubwa za kiitikadi kati ya viongozi, kama hii, Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability? ndio tatizo, na sio hii issue ndogo ya malazi, kesho utamshuhudia yupo kwenye ziara ila akiendelea kuwahitaji na wapambe wake, itambidi awagharimie, chama kinagharimia viongozi tuu na sio viongozi na wapambe wao.

Hata Mwenyekiti, enzi zile anaandamana na mpambe huyu, Ujio wa Wema Sepetu CHADEMA: Is She an Asset or a Liability? Mmeishaumwa na Nyoka, Hamjifunzi tu?! ni Mwenyekiti mwenyewe alikuwa anamgharimia kwa kumlipia tiketi ya ndege, kushare nae gari yake, na kumlaza pale Aeshi kwa gharama za Mwenyekiti na sio kugharimiwa na chama.

P
Vipi hapo ilikuwaga pc ya dingii
 
Badala ya kumtukana aliyeleta hoja,- nilitegemea wote mlioguswa na hoja yake mngejikita katika kuelezea ukweli mnaoufahamu ili uongo wake uwe dhahiri. Kujibu hoja kwa jazba na matusi ni dalili ya udhaifu wa kifikra na kimaadili
Haihitaji hata uwe umefika darasa la 7 kujua hapa hamna hoja zaidi ya kiroja.
 
Kwa Mara nyingine tena Mbowe na Tundu Lissu wameingia kwenye mzozo mwingine ikiwa ni siku moja tu tokea Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Kutangaza ziara katika kanda ya Kaskazini ambayo ililengwa kuwa na mikutano zaidi ya 104 katika mikoa ya Kilimanjaro, Arusha,Tanga na Manyara.

Ziara ambayo ilitangazwa itakuwa ni ya siku 21 katika majimbo 35 tayari imeshaingia dosari siku ya pili tu tokea kuanza kwa ziara Makamu Mwenyekiti Tundu Lisu ameisusia ziara hiyo kwa madai kuwa Mwenyekiti amejipanga kwa bajeti kubwa ikiwa yeye ametoka kwenye ziara katika mkoa wa Singida bila ya kuwa na bajeti iweje Mbowe afanye kufuru.?

Siku ya jana baada ya kumalizika kwa mikutano ilibidi yeye na delegation yake ikiongozwa na Askofu Mwanamapinduzi wajigharamie Chakula na Malazi kitu ambacho Lissu alikipinga na hakikuwa katika ratiba yake.

Hali hiyo ilimlazimu Tundu Lissu achukue sehemu ya michango aliyochangiwa na wanaharakati pamoja na diaspora kununulia gari kwa kutoa kiasi cha shilingi milioni 2 kulipia malazi tu hali ambayo imemkasirisha Makamu Mwenyekiti na kupelekea kususia ziara hiyo kwa madai kuwa yeye hana pesa na alikwenda kwenye hiyo ziara kwa mualiko wa Mwenyekiti wake.

Tundu Lissu anasema kuwa Mbowe alipaswa kumuhudumia kama Kiongozi yeye pamoja na delegation yake lakini ilipofika jioni baada ya kumaliza mikutano kila mtu anashika njia yake kitu ambacho kimemfanya Tundu Lissu aingie mitini kuendelea na ziara.

Tunaposema Lissu na Mbowe hawapikiki tena chungu kimoja ni wazi sasa hivi imebakia kugawana magwanda tu na kila mmoja kushika njia yake.

Kwaheri Lissu.
Habari na Mwandishi wetu
Rukasi Mashamba
 
Badala ya kumtukana aliyeleta hoja,- nilitegemea wote mlioguswa na hoja yake mngejikita katika kuelezea ukweli mnaoufahamu ili uongo wake uwe dhahiri. Kujibu hoja kwa jazba na matusi ni dalili ya udhaifu wa kifikra na kimaadili
Ukweli ni kwamba wamepigana mnoooo.....mbowe kapoteza meno ya sebuleni mawili na lisu kapasuka jicho la kulia juu na ametoneshwa mguuu amelazwa.....
 
Ni hatari mno kwa viongozi wote hawa kutumia chopa moja. Yangu ni hayo tu makamanda🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️

downloadfile-389.jpg
 
Lissu ni ngumu sana kuelewana naye,ni mtata by nature,nasikia hata mkewe siku hizi hawaelewani,pia kaka yake tumbo moja hawapatani kabisa,sijui huyu mtu ana shida gani kwa bichwa lake
Kwa nini unamfuatilia sana Lisu?
 
Badala ya kumtukana aliyeleta hoja,- nilitegemea wote mlioguswa na hoja yake mngejikita katika kuelezea ukweli mnaoufahamu ili uongo wake uwe dhahiri. Kujibu hoja kwa jazba na matusi ni dalili ya udhaifu wa kifikra na kimaadili

Huo upuuzi usio na chochote, unauita hoja?

Hivi nikija hapa nikasema kuwa nimepenyezewa habari Tony Laurent ni jambazi, haelewani na ndugu yeyote wala majirani. Utaiita ni hoja?

Huyu kaleta upuuzi wake hapa usiokuwa na chochote cha kuashiria hayo aliyoyanena, kwa nini watu wasiuseme upunguani wake?

Hata hao wanaowalipa chawa punguani kama huyu kwa mada zisizo na chochote, wanazidi kudhihirisha matokeo ya ule utafiti wa TWAWEZA.
 
Unatia aibu ukiwa wapi?
hembu gentleman,
weka sawa fedheha hii ya
waandamizi hawa muhimu sana chadema..

hali hii inasikitisha sana, inatafakarisha sana, na kwakweli inasononesha sana wanachama 🐒
 
Tumekusikia mke wake Lissu!
Punguza kutoa taarifa ambazo unapewa na mumeo akiwa anakupumulia kifuani.
 
Miimi nachopenda wako pamoja kwenye msafara!
Wanaendelea kuelimisha watu wajue haki zao.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom