Pre GE2025 Lissu: CHADEMA ipo nusu kaputi, Mbowe hataki kupambana na Samia

Pre GE2025 Lissu: CHADEMA ipo nusu kaputi, Mbowe hataki kupambana na Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
..ukisikiliza majibu ya Lissu kutokana na maswali ya waandishi wa habari ametoa kauli za kumheshimu Mbowe.

..lakini unapogombea uongozi ktk hatua ya awali ni lazima kama mgombea ujitofautishe na mtangulizi / aliyeko ktk nafasi.
Vinginevyo hakuna sababu ya kugombea; labda kujitafutia sifa tu binafsi.
 
Back
Top Bottom