KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Je nikinukuu maneno ya YESU ni kwamba anani control?Hili halijifichi kwamba Lissu undercontrol ya Msigwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je nikinukuu maneno ya YESU ni kwamba anani control?Hili halijifichi kwamba Lissu undercontrol ya Msigwa
Wanaopiga kelele kama hizi ni wapinzani wa CHADEMA ila CHADEMA wenyewe wanaendelea na mipango yao.Kweli kabisa, lkn ktk hili anaendeshwa na msigwa
Hili mtaruka mtatua lkn lipo wazi ya kwamba lissu anaendeshwa kama drone ktk swala hili na rafiki yake kipenzi msigwa wa ccmJe nikinukuu maneno ya YESU ni kwamba anani control?
Kama Mimi nipo kwenye denial Lissu nae yupo kwenye Denial pia...!Upo kwenye denial. Ukijiandaa au hukuwa unamfahamu bado Lissu
Unag'ang'ania kama mchepuko mwembamba.Hili mtaruka mtatua lkn lipo wazi ya kwamba lissu anaendeshwa kama drone ktk swala hili na rafiki yake kipenzi msigwa wa ccm
Hii ya msigwa ipo waziUnag'ang'ania kama mchepuko mwembamba.
Wasomi wamekuomba ushahid upo tu unaimba chorus kama mganga anaita jini.
Labda kuna mambo kayaongea msigwa yana ukweli lakini wa kukitaka chama kisimame imara. Hivyo kwa Lissu kuyarejea haimanishi kuendeshwa na Msigwa, isipokuwa ni mfanano wa kifikra wa namna gani chama kiendeshwe kwa masilahi ya Taifa na wanachama.Kweli , lkn cha kushangaza lissu anakuwa controlled by Msigwa
Huyo mjinga achana nae utoto unamsumbuaLabda kuna mambo kayaongea msigwa yana ukweli lakini wa kukitaka chama kisimame imara. Hivyo kwa Lissu kuyarejea haimanishi kuendeshwa na Msigwa, isipokuwa ni mfanano wa kifikra wa namna gani chama kiendeshwe kwa masilahi ya Taifa na wanachama.
Hujasoma gazeti la mwananchi la juzi. Kwamba msigwa ndio mpanga mikakati ya lissuLabda kuna mambo kayaongea msigwa yana ukweli lakini wa kukitaka chama kisimame imara. Hivyo kwa Lissu kuyarejea haimanishi kuendeshwa na Msigwa, isipokuwa ni mfanano wa kifikra wa namna gani chama kiendeshwe kwa masilahi ya Taifa na wanachama.
How?Well said
Soma gazeti la mwananchi la juzi utajua ukweliHuyo mjinga achana nae utoto unamsumbua
Wewe unajaza upuuzi wako wa ujinga ujinga bure kabisa.Msigwa kweli mganga
Hoja ya Msigwa ndio mpanga mikakati ya LISSU iliandikwa vizuri ktk gazeti la mwananchiWewe unajaza upuuzi wako wa ujinga ujinga bure kabisa.
Sheikh anaoza binti wa miaka nane huko Lindi, anasema kuruan inaruhusu,ni kweli!??
Hujasoma hiyo habari hapo juu?How?
Atasahau yote aliemlea miezi 3 Nairobi baada kushambuliwa? Anamfata msigwaBasi subiri uone muziki wa Lissu hizi ni rasharasha tu ngoja kipyenga kipulizwe huyo Mbowe atajuta kumfahamu atakuwa analala na viatu.
Lissu ameongea vizuri sana mahojiano haya hapa ni segment ya dakika nne tu please msikilize👇
View: https://youtu.be/WyPAoJma1oM?si=IJReKHRQTOh0x0dz
Bofya huto tumaandishi tudogo twa buluu Shehe, ndiyo shida ya kukimbia Ilmu dunia😆Msigwa mbona kaizuia isifunguke?
Lissu kasoma UK lkn mwisho wa siku anaendeshwa na msigwa std 7 , na kasahau kabisa baada kumiminiwa risasi mbowe ndio aliengoza harakati za maisha yake. Akili sio kusoma sana dunia. Akili ni kuthamini ubinaadam. Kwa hivyo bora mimi sikusoma dunia lkn akili yangu ipo free tofauti na hii ya Lissu ambayo controlled by MsigwaBofya huto tumaandushi tudogo twa buluu. Shehe ndiyo shida ya kukimbia Ilmu dunia😆