Pre GE2025 Lissu: CHADEMA ipo nusu kaputi, Mbowe hataki kupambana na Samia

Pre GE2025 Lissu: CHADEMA ipo nusu kaputi, Mbowe hataki kupambana na Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sio kweli hata kidogo, mmeanza kumchafua Lissu baada ya kuona anatishia nafasi ya Mbowe.

Una taarifa kuwa Msigwa na Mbowe walivuta mpunga kule Iringa kwa asasi pamoja na Lissu akaukataa na alitoka hadharani na kusema Pesa za Mama Abdul zinaivuriga Chadema?

Kua kwanza huwezi elewa michezo michafu ya Mbowe.
Inawezekana yote hayo, lkn hili Msigwa anamkotrol Lissu
 
MAHOJIANO YA LISSU NA VOICE OF AMERICA (VOA)

VOA: Nini kimetokea na uongozi wa sasa?

Lissu: Umekuwa madarakani kwa miaka 20 na muafaka tunatakiwa kufanya mabadiliko ya lazima ili tuweze kupeleka chama mbele.

VOA: Plani yako nini kama ukiwa M’kti, unapeleka chama vipi?

Lissu: Hapa tulipo, tupo kwenye mkwamo mkubwa wa kisiasa. Mabadiliko ambayo tumezungumza kwenye maridhiano na Rais Samia Suluhu Hassan kwa takribani miaka miwili, hakuna matunda yoyote. Njia ya kutoka hapa ni uongozi Mpya uje na uonyeshe na ukipeleke chama kwenye muelekeo tofauti. Kama maridhiano hayajafanya kazi, tuna nini mbadala?

Tunatakiwa tufanye mass mobilization (Nguvu Ya Umma) ili kukiongoza chama kwenye kuliamsha Taifa na kuunganisha nguvu na asasi za kiraia, vyama vya siasa, ili tuweze kuleta mabadiliko makubwa ya kidemokrasia ili tuweze kulazimisha mabadiliko.

VOA: Kwa hiyo, Tunaweza kusema kuna tofauti kati yako na M’kiti (Mbowe) Juu ya namna ya kukipeleka chama mbele?

Lissu: You are right on the money (Umepiga sehemu sahihi kabisa). Nadhani tuna tofauti ya kimsingi kabisa namna ya kukipeleka Chama mbele

VOA: Kumekuwa na mengi yanaendelea Kati ya serikali na chama chako, kuna wanachama wenu wamekuwa wanatekwa na hatujaona hatua kubwa kutoka kwenye chama chako

Lissu: Hiyo ndio hoja ya msingi kabisa. Hoja ni kuwa chama kinaonekana kime-paralyze (kipo nusu kaputi) kwa sababu M’kiti wa sasa haonekani kutaka kupambana na Samia.

M’kti Hataki kubomoa daraja na uongozi wa Samia. Viongozi wetu na wanaharakati wametekwa na wengine kuuwawa kwa namna za kikatili. Wanachama wetu, viongozi wetu wa Wilaya nao wametekwa na kupotezwa.

Yote haya yanatokeo ni wazi tumerudi kwenye zama za Giza za Magufuli. Na uongozi wa chama unaonekana kutokujua namna ya kutoka kwenye mkwamo huu. Kwa hiyo, nina gombea kwa sababu tunatakiwa kutoka kwenye huu mkwamo

VOA: Umesema No Reforms, No Election. Unaweza elezea hili?

Lissu: Tumekuwa na uchaguzi wa serikali za vijiji, vitongoji na mitaa kama wiki mbili au tatu zilizo pita. Ilikuwa ni MAJANGA! (total disaster!). Ulikuwa ni uchaguzi mbaya kuliko wa 2020 kwa minajili ya manipulation ya uchaguzi kwa kiwango cha kitaifa. Kama hili litakuwa kawaida kwenye chaguzi zetu, ni wazi kwetu kuwa hawapo (CCM) tayari kuwa na uchaguzi wa ushindani. Kwa hiyo, kama hawapo tayari kuwa na uchaguzi wa ushindani, kwa nini tushiriki chaguzi zijazo?

Kwa hiyo, tumeamua (CHADEMA) ili turudi kwenye uchaguzi, lazima tulazimishe mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi.

Kwa hiyo, msimamo wetu ni: tupiganie mabadiliko, tukisha pata mabadiliko, tutakuwa tayari kushirki chaguzi. Tunasimama kwenye No reforms, No Election.

VOA: Pia, Unataka mabadiliko ndani ya CHADEMA pamoja na ukomo wa uongozi?

Lissu: Kabisa, Hatuwezi kupambana na udicteta wa Samia kama sisi ndani tupo tulivyo sasa. Kwa hiyo, lazima tusafishe nyumba yetu kwanza.

Lazima tusafishe matendo yetu kabla hatuja pambana na uongozi wa Samia. Kama hatuta jisafisha, itakatisha tamaa watu wetu na tutashindwa kupambana na tatizo kubwa ambalo limekuwa linatuathili la utawala wa Samia Suluhu Hassan

VOA: Mr. Lissu, thank you very much!

TunduALissu: Thank you for having me on your program.
Katika key boards mnaweza kumchuuza Lissu na kumuona Shuja,a lakini huwa nasena humu tatizo la Tanzania wanasiasa wote hata wa chama tawala hawana watu nyuma yao. Siku za nyuma ni Nyerere na Maalim Seif tu ndio wanasiasa waliokuwa na watu nyuma yao. Kenya wanasiasa wana nguvu sababu kila mmoja wao ana idadi fulani ya watu ambayo abaweza kuiamrisha ikaingia barabarani kushinikiza mabadiliko.

Tanzania mwanasiasa akitoa tamko zaidi ya uungwaji mkono kupitia key biard hakuna zaidi.

Nchi zote wanasiasa waliofanikiwa kushinikiza hoja zikakubaliwa na watawala ni kwa sababu walikuwa na watu waliowaingiza barabarani sio katika key boards.

Hiyo no reform no election ni kauli ya mdomoni tu hawawezi kuileta katika vitendo sababu hawana watu nyuma yao.
 
Unajua vizuri sana, nia yao moja kumkomoa Mbowe

..Msigwa na Mbowe wote si watoto wa Mama, au?

..kwa kweli mnatuchanganya ktk propaganda zetu.

..jipangeni mje na propaganda moja yenye ushawishi, sio kutujaribu na kila uongo mnaoufikiria.
 
..Msigwa na Mbowe wote si watoto wa Mama, au?

..kwa kweli mnatuchanganya ktk propaganda zetu.

..jipangeni mje na propaganda moja yenye ushawishi, sio kutujaribu na kila uongo mnaoufikiria.
Hili lipo wazi , msigwa anamuendesha Lissu anavyotaka, Soma mwanamchi news la juzi
 
Mie hushangaa sana kuona upinzani inashiriki uchaguzi kwa Tume hii tuliyonayo, hii tume ukishinda basi ni hurums tu ya ccm.

Kwa taarifa nilizo nazo, watumishi wa umma katika uchaguzi ulio pita wa serikaki za mitaa walikuwa wanaambiwa wafanye wafanyalo lazima ccm ishinde, ukikataa lazima ufanyie zengwe au hata kupewa tuhuma na unafukuzwa kazi.

Ccm ni kubwa mno katika watumishi wa umma na hawana uwezo wa kusema no, wakisrma hivyo hawana ajira, kwa upuuzi huu mnakubali vipi kuingia katika uchaguzi? Huwa namshangaa sana Zito akisema ohh sisi tutashiriki lablab mingi, huo ni upuuzi, huwezi shinda , actually mbabariki maovu ya ccm.
 
L
Si kinaitwa chama cha demokrasia, hiyo ndiyo demokrasia yenyewe, badala ya kufukuzana. Na huenda wamekubaliana kutumia style hiyo
Iissu ujanja wote ktk siasa kabebeshwa gunia la kinyesi na Msigwa?
 
Lipo wazi kabisa. Moja ya hoja kwamba Msigwa ndio anaowapigia simu viongozi wa chadema wamuunge mkono lissu na ndio Allendaa ule mkutano wa lissu juzi kupitia kivuli cha Dayspora

..basi CCM ndio mshughulike na Msigwa kwa kumsaidia Tundu Lissu anayemdhalilisha Mama Samia kila siku.

..Mama Samia na genge lake wanajisikiaje mwanachama wao mnapomsaidia hasimu namba moja wa utawala wao?
 
MAHOJIANO YA LISSU NA VOICE OF AMERICA (VOA)

VOA: Nini kimetokea na uongozi wa sasa?

Lissu: Umekuwa madarakani kwa miaka 20 na muafaka tunatakiwa kufanya mabadiliko ya lazima ili tuweze kupeleka chama mbele.

VOA: Plani yako nini kama ukiwa M’kti, unapeleka chama vipi?

Lissu: Hapa tulipo, tupo kwenye mkwamo mkubwa wa kisiasa. Mabadiliko ambayo tumezungumza kwenye maridhiano na Rais Samia Suluhu Hassan kwa takribani miaka miwili, hakuna matunda yoyote. Njia ya kutoka hapa ni uongozi Mpya uje na uonyeshe na ukipeleke chama kwenye muelekeo tofauti. Kama maridhiano hayajafanya kazi, tuna nini mbadala?

Tunatakiwa tufanye mass mobilization (Nguvu Ya Umma) ili kukiongoza chama kwenye kuliamsha Taifa na kuunganisha nguvu na asasi za kiraia, vyama vya siasa, ili tuweze kuleta mabadiliko makubwa ya kidemokrasia ili tuweze kulazimisha mabadiliko.

VOA: Kwa hiyo, Tunaweza kusema kuna tofauti kati yako na M’kiti (Mbowe) Juu ya namna ya kukipeleka chama mbele?

Lissu: You are right on the money (Umepiga sehemu sahihi kabisa). Nadhani tuna tofauti ya kimsingi kabisa namna ya kukipeleka Chama mbele

VOA: Kumekuwa na mengi yanaendelea Kati ya serikali na chama chako, kuna wanachama wenu wamekuwa wanatekwa na hatujaona hatua kubwa kutoka kwenye chama chako

Lissu: Hiyo ndio hoja ya msingi kabisa. Hoja ni kuwa chama kinaonekana kime-paralyze (kipo nusu kaputi) kwa sababu M’kiti wa sasa haonekani kutaka kupambana na Samia.

M’kti Hataki kubomoa daraja na uongozi wa Samia. Viongozi wetu na wanaharakati wametekwa na wengine kuuwawa kwa namna za kikatili. Wanachama wetu, viongozi wetu wa Wilaya nao wametekwa na kupotezwa.

Yote haya yanatokeo ni wazi tumerudi kwenye zama za Giza za Magufuli. Na uongozi wa chama unaonekana kutokujua namna ya kutoka kwenye mkwamo huu. Kwa hiyo, nina gombea kwa sababu tunatakiwa kutoka kwenye huu mkwamo

VOA: Umesema No Reforms, No Election. Unaweza elezea hili?

Lissu: Tumekuwa na uchaguzi wa serikali za vijiji, vitongoji na mitaa kama wiki mbili au tatu zilizo pita. Ilikuwa ni MAJANGA! (total disaster!). Ulikuwa ni uchaguzi mbaya kuliko wa 2020 kwa minajili ya manipulation ya uchaguzi kwa kiwango cha kitaifa. Kama hili litakuwa kawaida kwenye chaguzi zetu, ni wazi kwetu kuwa hawapo (CCM) tayari kuwa na uchaguzi wa ushindani. Kwa hiyo, kama hawapo tayari kuwa na uchaguzi wa ushindani, kwa nini tushiriki chaguzi zijazo?

Kwa hiyo, tumeamua (CHADEMA) ili turudi kwenye uchaguzi, lazima tulazimishe mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi.

Kwa hiyo, msimamo wetu ni: tupiganie mabadiliko, tukisha pata mabadiliko, tutakuwa tayari kushirki chaguzi. Tunasimama kwenye No reforms, No Election.

VOA: Pia, Unataka mabadiliko ndani ya CHADEMA pamoja na ukomo wa uongozi?

Lissu: Kabisa, Hatuwezi kupambana na udicteta wa Samia kama sisi ndani tupo tulivyo sasa. Kwa hiyo, lazima tusafishe nyumba yetu kwanza.

Lazima tusafishe matendo yetu kabla hatuja pambana na uongozi wa Samia. Kama hatuta jisafisha, itakatisha tamaa watu wetu na tutashindwa kupambana na tatizo kubwa ambalo limekuwa linatuathili la utawala wa Samia Suluhu Hassan

VOA: Mr. Lissu, thank you very much!

TunduALissu: Thank you for having me on your program.
Huyu wampe tuone atakachofanya anajikuta mwamba ila kikubwa asije kimbilia ubalozini 😁😁
 
MAHOJIANO YA LISSU NA VOICE OF AMERICA (VOA)

VOA: Nini kimetokea na uongozi wa sasa?

Lissu: Umekuwa madarakani kwa miaka 20 na muafaka tunatakiwa kufanya mabadiliko ya lazima ili tuweze kupeleka chama mbele.

VOA: Plani yako nini kama ukiwa M’kti, unapeleka chama vipi?

Lissu: Hapa tulipo, tupo kwenye mkwamo mkubwa wa kisiasa. Mabadiliko ambayo tumezungumza kwenye maridhiano na Rais Samia Suluhu Hassan kwa takribani miaka miwili, hakuna matunda yoyote. Njia ya kutoka hapa ni uongozi Mpya uje na uonyeshe na ukipeleke chama kwenye muelekeo tofauti. Kama maridhiano hayajafanya kazi, tuna nini mbadala?

Tunatakiwa tufanye mass mobilization (Nguvu Ya Umma) ili kukiongoza chama kwenye kuliamsha Taifa na kuunganisha nguvu na asasi za kiraia, vyama vya siasa, ili tuweze kuleta mabadiliko makubwa ya kidemokrasia ili tuweze kulazimisha mabadiliko.

VOA: Kwa hiyo, Tunaweza kusema kuna tofauti kati yako na M’kiti (Mbowe) Juu ya namna ya kukipeleka chama mbele?

Lissu: You are right on the money (Umepiga sehemu sahihi kabisa). Nadhani tuna tofauti ya kimsingi kabisa namna ya kukipeleka Chama mbele

VOA: Kumekuwa na mengi yanaendelea Kati ya serikali na chama chako, kuna wanachama wenu wamekuwa wanatekwa na hatujaona hatua kubwa kutoka kwenye chama chako

Lissu: Hiyo ndio hoja ya msingi kabisa. Hoja ni kuwa chama kinaonekana kime-paralyze (kipo nusu kaputi) kwa sababu M’kiti wa sasa haonekani kutaka kupambana na Samia.

M’kti Hataki kubomoa daraja na uongozi wa Samia. Viongozi wetu na wanaharakati wametekwa na wengine kuuwawa kwa namna za kikatili. Wanachama wetu, viongozi wetu wa Wilaya nao wametekwa na kupotezwa.

Yote haya yanatokeo ni wazi tumerudi kwenye zama za Giza za Magufuli. Na uongozi wa chama unaonekana kutokujua namna ya kutoka kwenye mkwamo huu. Kwa hiyo, nina gombea kwa sababu tunatakiwa kutoka kwenye huu mkwamo

VOA: Umesema No Reforms, No Election. Unaweza elezea hili?

Lissu: Tumekuwa na uchaguzi wa serikali za vijiji, vitongoji na mitaa kama wiki mbili au tatu zilizo pita. Ilikuwa ni MAJANGA! (total disaster!). Ulikuwa ni uchaguzi mbaya kuliko wa 2020 kwa minajili ya manipulation ya uchaguzi kwa kiwango cha kitaifa. Kama hili litakuwa kawaida kwenye chaguzi zetu, ni wazi kwetu kuwa hawapo (CCM) tayari kuwa na uchaguzi wa ushindani. Kwa hiyo, kama hawapo tayari kuwa na uchaguzi wa ushindani, kwa nini tushiriki chaguzi zijazo?

Kwa hiyo, tumeamua (CHADEMA) ili turudi kwenye uchaguzi, lazima tulazimishe mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi.

Kwa hiyo, msimamo wetu ni: tupiganie mabadiliko, tukisha pata mabadiliko, tutakuwa tayari kushirki chaguzi. Tunasimama kwenye No reforms, No Election.

VOA: Pia, Unataka mabadiliko ndani ya CHADEMA pamoja na ukomo wa uongozi?

Lissu: Kabisa, Hatuwezi kupambana na udicteta wa Samia kama sisi ndani tupo tulivyo sasa. Kwa hiyo, lazima tusafishe nyumba yetu kwanza.

Lazima tusafishe matendo yetu kabla hatuja pambana na uongozi wa Samia. Kama hatuta jisafisha, itakatisha tamaa watu wetu na tutashindwa kupambana na tatizo kubwa ambalo limekuwa linatuathili la utawala wa Samia Suluhu Hassan

VOA: Mr. Lissu, thank you very much!

TunduALissu: Thank you for having me on your program.
Binafsi naona kuna watu siku hizi hawalali kutoka CHADEMA kwa kushirikiana na upande wa pili ili kuangalia namna ya kumzuia Lisu asigombee mana wanaona ataleta fujo nchini.

Unajua mzew Mbowe sijui ikikuwa ni busara kama alivyokuwa akipenda kusema au alikuwa anatumika, mana alikuwa hataki kabisa siasa za fujo kwa miaka hii!

Sasa sidhani kama mfumo utaruhusu Lisu awe mwenyekiti. Na asipokuwa mwenyekiti lazima CHADEMA ife mana wanachama pia wamemchoka Mbowe.

Suluhisho. Mbowe akae pembeni na wajitokeze wagombea wengine wapya hata kama asipopewa Lisu basi apewe mwingine tofauti na Mbowe!
 
Busara imuongoze Mbowe ampishe Lissu!.
Ana mikakati thabiti ya kupambana na ma ccm, Mbowe toka apewe ule msamaha na Samia amekuwa hana tofauti na mtu aliyehongwa tuu...kawa mpoleee sn dhidi yake!.
Mbowe si aliitisha maandamano? Mlikwenda? 😆😆
 
Binafsi naona kuna watu siku hizi hawalali kutoka CHADEMA kwa kushirikiana na upande wa pili ili kuangalia namna ya kumzuia Lisu asigombee mana wanaona ataleta fujo nchini.

Unajua mzew Mbowe sijui ikikuwa ni busara kama alivyokuwa akipenda kusema au alikuwa anatumika, mana alikuwa hataki kabisa siasa za fujo kwa miaka hii!

Sasa sidhani kama mfumo utaruhusu Lisu awe mwenyekiti. Na asipokuwa mwenyekiti lazima CHADEMA ife mana wanachama pia wamemchoka Mbowe.

Suluhisho. Mbowe akae pembeni na wajitokeze wagombea wengine wapya hata kama asipopewa Lisu basi apewe mwingine tofauti na Mbowe!
Lisu hata akiwa Mwenyekiti kwani atawafanya nini CCM? Mbona Kila siku anazuiwa mikutano huko na hajawahi fanya lolote?

Mwambukusi yuko wapi? 😁😁
 
Lakini Wakuu hii Strategy ya "NO REFORMS NO ELECTIONS" yale Mafisiemu si yanashangilia?!

Mnaonaje Jemadari Lissu atufafanulie zaidi maana Uchaguzi ujao mimi nataka uwe Jino kwa Jino wakituibia tunaingia Mabarabarani.
 
Back
Top Bottom