Naona jamaa anaweza kuandamana hata peke yake akama alivyokuwaga Kiiza Besigye.Lisu hata akiwa Mwenyekiti kwani atawafanya nini CCM? Mbona Kila siku anazuiwa mikutano huko na hajawahi fanya lolote?
Mwambukusi yuko wapi? 😁😁
Aftaroo, hawezi kushindana na dola tena za Kiafrika ambazo hazioni aibu katika jumuiya ya kimataifa lakini yeye ni kama vile amejitoa muhanga.
Lakini tujiulize, je, nchi za Kiafrika zinahitaji ukombozi wa mara ya pili baada ya wakoloni au watu kama Lisu ni wachafuzi wa amani?