Lissu chama kinamshinda mapema sana. Chadema haieleweki inafanya nini

Lissu chama kinamshinda mapema sana. Chadema haieleweki inafanya nini

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
20250109_223948.jpg


Uongozi ni kalama na zawadi hii anaigawa mwenyezi Mungu pekee.

Lissu alitumia nguvu, matusi, kejeli, dhiaka na kila aina ya uchafu ili awe mwenyekiti wa Chadema.
Alipata alichokitaka.
Amekuwa mwenyekiti ila hakuna jipya analofanya. Tuliambiwa tumpe muda anaenda chimbo akirudi nchi itasimama.

Naomba niongelee press yake ya jana ambayo matarajio yalikuwa makubwa sana kwa wafuasi wake lakini amewaangusha mno hawakupata walichotegemea.
Jana ilikuwa iwe siku ya kimkakati ya kuonesha uelekeo wa uongozi wa Lissu katika miaka yake mitano, alitakiwa aoneshe energy, aoneshe dira na mikakati inayoeleweka kwa wafuasi wake.

Matokeo yake.
Mwenyekiti anafanya exclusive press conference na makamu mwenyekiti nae anafanya exclusive yake mkoani. Watu hawajui wamsikilize nani. Press ikakosa mvuto hakuna anaeangaika kuijadili.
Ujumbe waliokuwa wanauleta kwa watanzania haieleweki wanachotaka ni nini.

No reform no election ni kama fumbo la imani. Uku wanasema hakutakuwa na uchaguzi kama hakuna reform hapo hapo wanasema hawajasusia uchaguzi. Wao wenyewe hawajui nini haswa wanataka kukifanya. Na wafuasi wao kila mtu ana tafsiri yake ya no reform no election. Sijawai kuona duniani slogan ya kisiasa inabidi ukae chini ueleweshwe ndio uielewe.

Kitengo cha communication kina mengi ya kujifunza bado, Lissu alitakiwa akutane na wanahabari awape nguvu ya kuchukua matangazo wenyewe ili wayaweke kwenye media zao lakini mfumo uliotumika ni kama wanatoa habari za msiba wa kitaifa.

Mapema tu mmeanza habari za kutembeza bakuli, labda kama amuwajui watanzania kwenye michango 😂😂

Ni wazi Chadema is too big for Lissu and Heche. Wakae chini na watu wenye hekma za uongozi na uzoefu wafundishwe kuongoza. Watanzania wanawatazama if mnaweza kuongoza au ni wapiga kelele wazuri. Na wameanza kuwapuuza sababu hawaelewi nini mnachofanya.
 
View attachment 3235309

Uongozi ni kalama na zawadi hii anaigawa mwenyezi Mungu pekee.

Lissu alitumia nguvu, matusi, kejeli, dhiaka na kila aina ya uchafu ili awe mwenyekiti wa Chadema.
Alipata alichokitaka.
Amekuwa mwenyekiti ila hakuna jipya analofanya. Tuliambiwa tumpe muda anaenda chimbo akirudi nchi itasimama.

Naomba niongelee press yake ya jana ambayo matarajio yalikuwa makubwa sana kwa wafuasi wake lakini amewaangusha mno hawakupata walichotegemea.
Jana ilikuwa iwe siku ya kimkakati ya kuonesha uelekeo wa uongozi wa Lissu katika miaka yake mitano, alitakiwa aoneshe energy, aoneshe dira na mikakati inayoeleweka kwa wafuasi wake.

Matokeo yake.
Mwenyekiti anafanya exclusive press conference na makamu mwenyekiti nae anafanya exclusive yake mkoani. Watu hawajui wamsikilize nani. Press ikakosa mvuto hakuna anaeangaika kuijadili.
Ujumbe waliokuwa wanauleta kwa watanzania haieleweki wanachotaka ni nini.

No reform no election ni kama fumbo la imani. Uku wanasema hakutakuwa na uchaguzi kama hakuna reform hapo hapo wanasema hawajasusia uchaguzi. Wao wenyewe hawajui nini haswa wanataka kukifanya. Na wafuasi wao kila mtu ana tafsiri yake ya no reform no election. Sijawai kuona duniani slogan ya kisiasa inabidi ukae chini ueleweshwe ndio uielewe.

Kitengo cha communication kina mengi ya kujifunza bado, Lissu alitakiwa akutane na wanahabari awape nguvu ya kuchukua matangazo wenyewe ili wayaweke kwenye media zao lakini mfumo uliotumika ni kama wanatoa habari za msiba wa kitaifa.

Mapema tu mmeanza habari za kutembeza bakuli, labda kama amuwajui watanzania kwenye michango 😂😂

Ni wazi Chadema is too big for Lissu and Heche. Wakae chini na watu wenye hekma za uongozi na uzoefu wafundishwe kuongoza. Watanzania wanawatazama if mnaweza kuongoza au ni wapiga kelele wazuri. Na wameanza kuwapuuza sababu hawaelewi nini mnachofanya.
Inaonekana wewe ulikuwa kambi ile nyingine. Huku muunga mkano Lisu katika kampuni nzima yake ya kuwa nia uenyekiti. Na hiki unacho kisema ni chuki dhidi yake. Lakini Mbowe si alisema tumuunge mkono Lisu kampuni zimeisha hakuna makundi tena.
 
Inaonekana wewe ulikuwa kambi ile nyingine. Huku muunga mkano Lisu katika kampuni nzima yake ya kuwa nia uenyekiti. Na hiki unacho kisema ni chuki dhidi yake. Lakini Mbowe si alisema tumuunge mkono Lisu kampuni zimeisha hakuna makundi tena.
Hapa ndio unajibu hoja nilizoorodhesha?
 
Hivi mnategemea kitu gani/kipya kwa lissu? Huyu hana lolote, mzee wa mihemko, porojo na kupanic ovyo ovyo,,, !
 
Inaonekana wewe ulikuwa kambi ile nyingine. Huku muunga mkano Lisu katika kampuni nzima yake ya kuwa nia uenyekiti. Na hiki unacho kisema ni chuki dhidi yake. Lakini Mbowe si alisema tumuunge mkono Lisu kampuni zimeisha hakuna makundi tena.
Hao ni UWT wala usihangaike mkuu kuya jibu haya majinga
 
View attachment 3235309

Uongozi ni kalama na zawadi hii anaigawa mwenyezi Mungu pekee.

Lissu alitumia nguvu, matusi, kejeli, dhiaka na kila aina ya uchafu ili awe mwenyekiti wa Chadema.
Alipata alichokitaka.
Amekuwa mwenyekiti ila hakuna jipya analofanya. Tuliambiwa tumpe muda anaenda chimbo akirudi nchi itasimama.

Naomba niongelee press yake ya jana ambayo matarajio yalikuwa makubwa sana kwa wafuasi wake lakini amewaangusha mno hawakupata walichotegemea.
Jana ilikuwa iwe siku ya kimkakati ya kuonesha uelekeo wa uongozi wa Lissu katika miaka yake mitano, alitakiwa aoneshe energy, aoneshe dira na mikakati inayoeleweka kwa wafuasi wake.

Matokeo yake.
Mwenyekiti anafanya exclusive press conference na makamu mwenyekiti nae anafanya exclusive yake mkoani. Watu hawajui wamsikilize nani. Press ikakosa mvuto hakuna anaeangaika kuijadili.
Ujumbe waliokuwa wanauleta kwa watanzania haieleweki wanachotaka ni nini.

No reform no election ni kama fumbo la imani. Uku wanasema hakutakuwa na uchaguzi kama hakuna reform hapo hapo wanasema hawajasusia uchaguzi. Wao wenyewe hawajui nini haswa wanataka kukifanya. Na wafuasi wao kila mtu ana tafsiri yake ya no reform no election. Sijawai kuona duniani slogan ya kisiasa inabidi ukae chini ueleweshwe ndio uielewe.

Kitengo cha communication kina mengi ya kujifunza bado, Lissu alitakiwa akutane na wanahabari awape nguvu ya kuchukua matangazo wenyewe ili wayaweke kwenye media zao lakini mfumo uliotumika ni kama wanatoa habari za msiba wa kitaifa.

Mapema tu mmeanza habari za kutembeza bakuli, labda kama amuwajui watanzania kwenye michango 😂😂

Ni wazi Chadema is too big for Lissu and Heche. Wakae chini na watu wenye hekma za uongozi na uzoefu wafundishwe kuongoza. Watanzania wanawatazama if mnaweza kuongoza au ni wapiga kelele wazuri. Na wameanza kuwapuuza sababu hawaelewi nini mnachofanya.
Mtu ana muelewa wasira halafu hamuelewi TAL dah kweli ccm ni janga
 
Tusubiri oktoba
View attachment 3235309

Uongozi ni kalama na zawadi hii anaigawa mwenyezi Mungu pekee.

Lissu alitumia nguvu, matusi, kejeli, dhiaka na kila aina ya uchafu ili awe mwenyekiti wa Chadema.
Alipata alichokitaka.
Amekuwa mwenyekiti ila hakuna jipya analofanya. Tuliambiwa tumpe muda anaenda chimbo akirudi nchi itasimama.

Naomba niongelee press yake ya jana ambayo matarajio yalikuwa makubwa sana kwa wafuasi wake lakini amewaangusha mno hawakupata walichotegemea.
Jana ilikuwa iwe siku ya kimkakati ya kuonesha uelekeo wa uongozi wa Lissu katika miaka yake mitano, alitakiwa aoneshe energy, aoneshe dira na mikakati inayoeleweka kwa wafuasi wake.

Matokeo yake.
Mwenyekiti anafanya exclusive press conference na makamu mwenyekiti nae anafanya exclusive yake mkoani. Watu hawajui wamsikilize nani. Press ikakosa mvuto hakuna anaeangaika kuijadili.
Ujumbe waliokuwa wanauleta kwa watanzania haieleweki wanachotaka ni nini.

No reform no election ni kama fumbo la imani. Uku wanasema hakutakuwa na uchaguzi kama hakuna reform hapo hapo wanasema hawajasusia uchaguzi. Wao wenyewe hawajui nini haswa wanataka kukifanya. Na wafuasi wao kila mtu ana tafsiri yake ya no reform no election. Sijawai kuona duniani slogan ya kisiasa inabidi ukae chini ueleweshwe ndio uielewe.

Kitengo cha communication kina mengi ya kujifunza bado, Lissu alitakiwa akutane na wanahabari awape nguvu ya kuchukua matangazo wenyewe ili wayaweke kwenye media zao lakini mfumo uliotumika ni kama wanatoa habari za msiba wa kitaifa.

Mapema tu mmeanza habari za kutembeza bakuli, labda kama amuwajui watanzania kwenye michango 😂😂

Ni wazi Chadema is too big for Lissu and Heche. Wakae chini na watu wenye hekma za uongozi na uzoefu wafundishwe kuongoza. Watanzania wanawatazama if mnaweza kuongoza au ni wapiga kelele wazuri. Na wameanza kuwapuuza sababu hawaelewi nini mnachofanya.
 
View attachment 3235309

Uongozi ni kalama na zawadi hii anaigawa mwenyezi Mungu pekee.

Lissu alitumia nguvu, matusi, kejeli, dhiaka na kila aina ya uchafu ili awe mwenyekiti wa Chadema.
Alipata alichokitaka.
Amekuwa mwenyekiti ila hakuna jipya analofanya. Tuliambiwa tumpe muda anaenda chimbo akirudi nchi itasimama.

Naomba niongelee press yake ya jana ambayo matarajio yalikuwa makubwa sana kwa wafuasi wake lakini amewaangusha mno hawakupata walichotegemea.
Jana ilikuwa iwe siku ya kimkakati ya kuonesha uelekeo wa uongozi wa Lissu katika miaka yake mitano, alitakiwa aoneshe energy, aoneshe dira na mikakati inayoeleweka kwa wafuasi wake.

Matokeo yake.
Mwenyekiti anafanya exclusive press conference na makamu mwenyekiti nae anafanya exclusive yake mkoani. Watu hawajui wamsikilize nani. Press ikakosa mvuto hakuna anaeangaika kuijadili.
Ujumbe waliokuwa wanauleta kwa watanzania haieleweki wanachotaka ni nini.

No reform no election ni kama fumbo la imani. Uku wanasema hakutakuwa na uchaguzi kama hakuna reform hapo hapo wanasema hawajasusia uchaguzi. Wao wenyewe hawajui nini haswa wanataka kukifanya. Na wafuasi wao kila mtu ana tafsiri yake ya no reform no election. Sijawai kuona duniani slogan ya kisiasa inabidi ukae chini ueleweshwe ndio uielewe.

Kitengo cha communication kina mengi ya kujifunza bado, Lissu alitakiwa akutane na wanahabari awape nguvu ya kuchukua matangazo wenyewe ili wayaweke kwenye media zao lakini mfumo uliotumika ni kama wanatoa habari za msiba wa kitaifa.

Mapema tu mmeanza habari za kutembeza bakuli, labda kama amuwajui watanzania kwenye michango 😂😂

Ni wazi Chadema is too big for Lissu and Heche. Wakae chini na watu wenye hekma za uongozi na uzoefu wafundishwe kuongoza. Watanzania wanawatazama if mnaweza kuongoza au ni wapiga kelele wazuri. Na wameanza kuwapuuza sababu hawaelewi nini mnachofanya.
Mbowe hajambo Shemeji?

Mpikie supu Mzee. Mpiganie, tulimwambia apumzike akapuuza wito wako na wetu. Kosa ni lake si Lissu aliyemshinda
 
View attachment 3235309

Uongozi ni kalama na zawadi hii anaigawa mwenyezi Mungu pekee.

Lissu alitumia nguvu, matusi, kejeli, dhiaka na kila aina ya uchafu ili awe mwenyekiti wa Chadema.
Alipata alichokitaka.
Amekuwa mwenyekiti ila hakuna jipya analofanya. Tuliambiwa tumpe muda anaenda chimbo akirudi nchi itasimama.

Naomba niongelee press yake ya jana ambayo matarajio yalikuwa makubwa sana kwa wafuasi wake lakini amewaangusha mno hawakupata walichotegemea.
Jana ilikuwa iwe siku ya kimkakati ya kuonesha uelekeo wa uongozi wa Lissu katika miaka yake mitano, alitakiwa aoneshe energy, aoneshe dira na mikakati inayoeleweka kwa wafuasi wake.

Matokeo yake.
Mwenyekiti anafanya exclusive press conference na makamu mwenyekiti nae anafanya exclusive yake mkoani. Watu hawajui wamsikilize nani. Press ikakosa mvuto hakuna anaeangaika kuijadili.
Ujumbe waliokuwa wanauleta kwa watanzania haieleweki wanachotaka ni nini.

No reform no election ni kama fumbo la imani. Uku wanasema hakutakuwa na uchaguzi kama hakuna reform hapo hapo wanasema hawajasusia uchaguzi. Wao wenyewe hawajui nini haswa wanataka kukifanya. Na wafuasi wao kila mtu ana tafsiri yake ya no reform no election. Sijawai kuona duniani slogan ya kisiasa inabidi ukae chini ueleweshwe ndio uielewe.

Kitengo cha communication kina mengi ya kujifunza bado, Lissu alitakiwa akutane na wanahabari awape nguvu ya kuchukua matangazo wenyewe ili wayaweke kwenye media zao lakini mfumo uliotumika ni kama wanatoa habari za msiba wa kitaifa.

Mapema tu mmeanza habari za kutembeza bakuli, labda kama amuwajui watanzania kwenye michango 😂😂

Ni wazi Chadema is too big for Lissu and Heche. Wakae chini na watu wenye hekma za uongozi na uzoefu wafundishwe kuongoza. Watanzania wanawatazama if mnaweza kuongoza au ni wapiga kelele wazuri. Na wameanza kuwapuuza sababu hawaelewi nini mnachofanya.
Kama umeshaonesha wazi kuongozwa na chuki dhidi ya CHADEMA na Lissu kwa pamoja usije kutegemea ukaona chochote kizuri kutoka kwao.Wewe endelea kuhudhuria mikutano na sherehe za kucheza na fisi kwa CCM. Take it or hate it!
 
Back
Top Bottom