Lissu chama kinamshinda mapema sana. Chadema haieleweki inafanya nini

Lissu chama kinamshinda mapema sana. Chadema haieleweki inafanya nini

Mbowe hajambo Shemeji?

Mpikie supu Mzee. Mpiganie, tulimwambia apumzike akapuuza wito wako na wetu. Kosa ni lake si Lissu aliyemshinda
Mbowe asingeweza kufanya press conference wakati huo huo makamu wake nae anafanya press conference. Chama kikiongozwa na viraza ndio unaweza kuyaona hayo.
 
Siku hizi kila mtu ni mchambuzi! Ukienda kwenye michezo, kila mtu ni mchambuzi! Ukija kwenye siasa nako, hadi akina Baba Levo na Zembwela nao eti ni wachambuzi mashuhuri!
 
Kama umeshaonesha wazi kuongozwa na chuki dhidi ya CHADEMA na Lissu kwa pamoja usije kutegemea ukaona chochote kizuri kutoka kwao.Wewe endelea kuhudhuria mikutano na sherehe za kucheza na fisi kwa CCM. Take it or hate it!
Kwenye social media Lissu sio habari tena hana jipya sio mbunifu.
 
View attachment 3235309

Uongozi ni kalama na zawadi hii anaigawa mwenyezi Mungu pekee.

Lissu alitumia nguvu, matusi, kejeli, dhiaka na kila aina ya uchafu ili awe mwenyekiti wa Chadema.
Alipata alichokitaka.
Amekuwa mwenyekiti ila hakuna jipya analofanya. Tuliambiwa tumpe muda anaenda chimbo akirudi nchi itasimama.

Naomba niongelee press yake ya jana ambayo matarajio yalikuwa makubwa sana kwa wafuasi wake lakini amewaangusha mno hawakupata walichotegemea.
Jana ilikuwa iwe siku ya kimkakati ya kuonesha uelekeo wa uongozi wa Lissu katika miaka yake mitano, alitakiwa aoneshe energy, aoneshe dira na mikakati inayoeleweka kwa wafuasi wake.

Matokeo yake.
Mwenyekiti anafanya exclusive press conference na makamu mwenyekiti nae anafanya exclusive yake mkoani. Watu hawajui wamsikilize nani. Press ikakosa mvuto hakuna anaeangaika kuijadili.
Ujumbe waliokuwa wanauleta kwa watanzania haieleweki wanachotaka ni nini.

No reform no election ni kama fumbo la imani. Uku wanasema hakutakuwa na uchaguzi kama hakuna reform hapo hapo wanasema hawajasusia uchaguzi. Wao wenyewe hawajui nini haswa wanataka kukifanya. Na wafuasi wao kila mtu ana tafsiri yake ya no reform no election. Sijawai kuona duniani slogan ya kisiasa inabidi ukae chini ueleweshwe ndio uielewe.

Kitengo cha communication kina mengi ya kujifunza bado, Lissu alitakiwa akutane na wanahabari awape nguvu ya kuchukua matangazo wenyewe ili wayaweke kwenye media zao lakini mfumo uliotumika ni kama wanatoa habari za msiba wa kitaifa.

Mapema tu mmeanza habari za kutembeza bakuli, labda kama amuwajui watanzania kwenye michango 😂😂

Ni wazi Chadema is too big for Lissu and Heche. Wakae chini na watu wenye hekma za uongozi na uzoefu wafundishwe kuongoza. Watanzania wanawatazama if mnaweza kuongoza au ni wapiga kelele wazuri. Na wameanza kuwapuuza sababu hawaelewi nini mnachofanya.
huenda kuomba omba kuchangiwa pesa kwaajili ya kula nyama na bapa ndio kipaumbele chake :NoGodNo:
 
Siku hizi kila mtu ni mchambuzi! Ukienda kwenye michezo, kila mtu ni mchambuzi! Ukija kwenye siasa nako, hadi akina Baba Levo na Zembwela nao eti ni wachambuzi mashuhuri!
Lissu wewe unaelewa anachokitaka? No reform no election lakini tutashiriki uchaguzi
 
View attachment 3235309

Uongozi ni kalama na zawadi hii anaigawa mwenyezi Mungu pekee.

Lissu alitumia nguvu, matusi, kejeli, dhiaka na kila aina ya uchafu ili awe mwenyekiti wa Chadema.
Alipata alichokitaka.
Amekuwa mwenyekiti ila hakuna jipya analofanya. Tuliambiwa tumpe muda anaenda chimbo akirudi nchi itasimama.

Naomba niongelee press yake ya jana ambayo matarajio yalikuwa makubwa sana kwa wafuasi wake lakini amewaangusha mno hawakupata walichotegemea.
Jana ilikuwa iwe siku ya kimkakati ya kuonesha uelekeo wa uongozi wa Lissu katika miaka yake mitano, alitakiwa aoneshe energy, aoneshe dira na mikakati inayoeleweka kwa wafuasi wake.

Matokeo yake.
Mwenyekiti anafanya exclusive press conference na makamu mwenyekiti nae anafanya exclusive yake mkoani. Watu hawajui wamsikilize nani. Press ikakosa mvuto hakuna anaeangaika kuijadili.
Ujumbe waliokuwa wanauleta kwa watanzania haieleweki wanachotaka ni nini.

No reform no election ni kama fumbo la imani. Uku wanasema hakutakuwa na uchaguzi kama hakuna reform hapo hapo wanasema hawajasusia uchaguzi. Wao wenyewe hawajui nini haswa wanataka kukifanya. Na wafuasi wao kila mtu ana tafsiri yake ya no reform no election. Sijawai kuona duniani slogan ya kisiasa inabidi ukae chini ueleweshwe ndio uielewe.

Kitengo cha communication kina mengi ya kujifunza bado, Lissu alitakiwa akutane na wanahabari awape nguvu ya kuchukua matangazo wenyewe ili wayaweke kwenye media zao lakini mfumo uliotumika ni kama wanatoa habari za msiba wa kitaifa.

Mapema tu mmeanza habari za kutembeza bakuli, labda kama amuwajui watanzania kwenye michango 😂😂

Ni wazi Chadema is too big for Lissu and Heche. Wakae chini na watu wenye hekma za uongozi na uzoefu wafundishwe kuongoza. Watanzania wanawatazama if mnaweza kuongoza au ni wapiga kelele wazuri. Na wameanza kuwapuuza sababu hawaelewi nini mnachofanya.
Uropokaji kukataa kukosolewa kwa CCM na machawa wote ie. Diamond platinum na chawa wake hapa JF Kina sinza pabaya.

"""Ukikosea na ukakataa kukosolewa ni sawa sawa na kumpitisha panya njia za paka""

Pole Sana chawa wa diamond platinum muda huu jitahidi kunywa maji kwa wingi Sanaa.
 
Wewe na Babu yako mzee wa kupiga mbonji hamuwezi kuwaelewa CDM.
 
Uropokaji kukataa kukosolewa kwa CCM na machawa wote ie. Diamond platinum na chawa wake hapa JF Kina sinza pabaya.

"""Ukikosea na ukakataa kukosolewa ni sawa sawa na kumpitisha panya njia za paka""

Pole Sana chawa wa diamond platinum muda huu jitahidi kunywa maji kwa wingi Sanaa.
Ukiongea pumba kama hivi jamii inaendelea kudharau walimu mashuleni kuwa wote ni mburula.
 
View attachment 3235309

Uongozi ni kalama na zawadi hii anaigawa mwenyezi Mungu pekee.

Lissu alitumia nguvu, matusi, kejeli, dhiaka na kila aina ya uchafu ili awe mwenyekiti wa Chadema.
Alipata alichokitaka.
Amekuwa mwenyekiti ila hakuna jipya analofanya. Tuliambiwa tumpe muda anaenda chimbo akirudi nchi itasimama.

Naomba niongelee press yake ya jana ambayo matarajio yalikuwa makubwa sana kwa wafuasi wake lakini amewaangusha mno hawakupata walichotegemea.
Jana ilikuwa iwe siku ya kimkakati ya kuonesha uelekeo wa uongozi wa Lissu katika miaka yake mitano, alitakiwa aoneshe energy, aoneshe dira na mikakati inayoeleweka kwa wafuasi wake.

Matokeo yake.
Mwenyekiti anafanya exclusive press conference na makamu mwenyekiti nae anafanya exclusive yake mkoani. Watu hawajui wamsikilize nani. Press ikakosa mvuto hakuna anaeangaika kuijadili.
Ujumbe waliokuwa wanauleta kwa watanzania haieleweki wanachotaka ni nini.

No reform no election ni kama fumbo la imani. Uku wanasema hakutakuwa na uchaguzi kama hakuna reform hapo hapo wanasema hawajasusia uchaguzi. Wao wenyewe hawajui nini haswa wanataka kukifanya. Na wafuasi wao kila mtu ana tafsiri yake ya no reform no election. Sijawai kuona duniani slogan ya kisiasa inabidi ukae chini ueleweshwe ndio uielewe.

Kitengo cha communication kina mengi ya kujifunza bado, Lissu alitakiwa akutane na wanahabari awape nguvu ya kuchukua matangazo wenyewe ili wayaweke kwenye media zao lakini mfumo uliotumika ni kama wanatoa habari za msiba wa kitaifa.

Mapema tu mmeanza habari za kutembeza bakuli, labda kama amuwajui watanzania kwenye michango 😂😂

Ni wazi Chadema is too big for Lissu and Heche. Wakae chini na watu wenye hekma za uongozi na uzoefu wafundishwe kuongoza. Watanzania wanawatazama if mnaweza kuongoza au ni wapiga kelele wazuri. Na wameanza kuwapuuza sababu hawaelewi nini mnachofanya.
Roho mbaya INAUA.
Acha roho mbaya.
 
View attachment 3235309

Uongozi ni kalama na zawadi hii anaigawa mwenyezi Mungu pekee.

Lissu alitumia nguvu, matusi, kejeli, dhiaka na kila aina ya uchafu ili awe mwenyekiti wa Chadema.
Alipata alichokitaka.
Amekuwa mwenyekiti ila hakuna jipya analofanya. Tuliambiwa tumpe muda anaenda chimbo akirudi nchi itasimama.

Naomba niongelee press yake ya jana ambayo matarajio yalikuwa makubwa sana kwa wafuasi wake lakini amewaangusha mno hawakupata walichotegemea.
Jana ilikuwa iwe siku ya kimkakati ya kuonesha uelekeo wa uongozi wa Lissu katika miaka yake mitano, alitakiwa aoneshe energy, aoneshe dira na mikakati inayoeleweka kwa wafuasi wake.

Matokeo yake.
Mwenyekiti anafanya exclusive press conference na makamu mwenyekiti nae anafanya exclusive yake mkoani. Watu hawajui wamsikilize nani. Press ikakosa mvuto hakuna anaeangaika kuijadili.
Ujumbe waliokuwa wanauleta kwa watanzania haieleweki wanachotaka ni nini.

No reform no election ni kama fumbo la imani. Uku wanasema hakutakuwa na uchaguzi kama hakuna reform hapo hapo wanasema hawajasusia uchaguzi. Wao wenyewe hawajui nini haswa wanataka kukifanya. Na wafuasi wao kila mtu ana tafsiri yake ya no reform no election. Sijawai kuona duniani slogan ya kisiasa inabidi ukae chini ueleweshwe ndio uielewe.

Kitengo cha communication kina mengi ya kujifunza bado, Lissu alitakiwa akutane na wanahabari awape nguvu ya kuchukua matangazo wenyewe ili wayaweke kwenye media zao lakini mfumo uliotumika ni kama wanatoa habari za msiba wa kitaifa.

Mapema tu mmeanza habari za kutembeza bakuli, labda kama amuwajui watanzania kwenye michango 😂😂

Ni wazi Chadema is too big for Lissu and Heche. Wakae chini na watu wenye hekma za uongozi na uzoefu wafundishwe kuongoza. Watanzania wanawatazama if mnaweza kuongoza au ni wapiga kelele wazuri. Na wameanza kuwapuuza sababu hawaelewi nini mnachofanya.

Kuelewa mtu anafanya nini ni lazima uwe na akili timamu na uelewa.

Mtu ambaye hata uwezo tu wa kuelewa kuwa hakuna kitu kinachoitwa "kalama", huna, utapata wapi uwezo wa kufanya assessment ya utendaji kazi wa kiongozi!!

Wewe kama una uwezo wa kuamka na kuvaa suruali na kwenda chooni bila kulazimishwa, hiyo inakutosha. Usijiingize kwenye mambo yanayohitaji akili.
 
Back
Top Bottom