sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
- Thread starter
-
- #21
Mbowe asingeweza kufanya press conference wakati huo huo makamu wake nae anafanya press conference. Chama kikiongozwa na viraza ndio unaweza kuyaona hayo.Mbowe hajambo Shemeji?
Mpikie supu Mzee. Mpiganie, tulimwambia apumzike akapuuza wito wako na wetu. Kosa ni lake si Lissu aliyemshinda
Kwenye social media Lissu sio habari tena hana jipya sio mbunifu.Kama umeshaonesha wazi kuongozwa na chuki dhidi ya CHADEMA na Lissu kwa pamoja usije kutegemea ukaona chochote kizuri kutoka kwao.Wewe endelea kuhudhuria mikutano na sherehe za kucheza na fisi kwa CCM. Take it or hate it!
huenda kuomba omba kuchangiwa pesa kwaajili ya kula nyama na bapa ndio kipaumbele chakeView attachment 3235309
Uongozi ni kalama na zawadi hii anaigawa mwenyezi Mungu pekee.
Lissu alitumia nguvu, matusi, kejeli, dhiaka na kila aina ya uchafu ili awe mwenyekiti wa Chadema.
Alipata alichokitaka.
Amekuwa mwenyekiti ila hakuna jipya analofanya. Tuliambiwa tumpe muda anaenda chimbo akirudi nchi itasimama.
Naomba niongelee press yake ya jana ambayo matarajio yalikuwa makubwa sana kwa wafuasi wake lakini amewaangusha mno hawakupata walichotegemea.
Jana ilikuwa iwe siku ya kimkakati ya kuonesha uelekeo wa uongozi wa Lissu katika miaka yake mitano, alitakiwa aoneshe energy, aoneshe dira na mikakati inayoeleweka kwa wafuasi wake.
Matokeo yake.
Mwenyekiti anafanya exclusive press conference na makamu mwenyekiti nae anafanya exclusive yake mkoani. Watu hawajui wamsikilize nani. Press ikakosa mvuto hakuna anaeangaika kuijadili.
Ujumbe waliokuwa wanauleta kwa watanzania haieleweki wanachotaka ni nini.
No reform no election ni kama fumbo la imani. Uku wanasema hakutakuwa na uchaguzi kama hakuna reform hapo hapo wanasema hawajasusia uchaguzi. Wao wenyewe hawajui nini haswa wanataka kukifanya. Na wafuasi wao kila mtu ana tafsiri yake ya no reform no election. Sijawai kuona duniani slogan ya kisiasa inabidi ukae chini ueleweshwe ndio uielewe.
Kitengo cha communication kina mengi ya kujifunza bado, Lissu alitakiwa akutane na wanahabari awape nguvu ya kuchukua matangazo wenyewe ili wayaweke kwenye media zao lakini mfumo uliotumika ni kama wanatoa habari za msiba wa kitaifa.
Mapema tu mmeanza habari za kutembeza bakuli, labda kama amuwajui watanzania kwenye michango ππ
Ni wazi Chadema is too big for Lissu and Heche. Wakae chini na watu wenye hekma za uongozi na uzoefu wafundishwe kuongoza. Watanzania wanawatazama if mnaweza kuongoza au ni wapiga kelele wazuri. Na wameanza kuwapuuza sababu hawaelewi nini mnachofanya.
Lissu wewe unaelewa anachokitaka? No reform no election lakini tutashiriki uchaguziSiku hizi kila mtu ni mchambuzi! Ukienda kwenye michezo, kila mtu ni mchambuzi! Ukija kwenye siasa nako, hadi akina Baba Levo na Zembwela nao eti ni wachambuzi mashuhuri!
Uropokaji kukataa kukosolewa kwa CCM na machawa wote ie. Diamond platinum na chawa wake hapa JF Kina sinza pabaya.View attachment 3235309
Uongozi ni kalama na zawadi hii anaigawa mwenyezi Mungu pekee.
Lissu alitumia nguvu, matusi, kejeli, dhiaka na kila aina ya uchafu ili awe mwenyekiti wa Chadema.
Alipata alichokitaka.
Amekuwa mwenyekiti ila hakuna jipya analofanya. Tuliambiwa tumpe muda anaenda chimbo akirudi nchi itasimama.
Naomba niongelee press yake ya jana ambayo matarajio yalikuwa makubwa sana kwa wafuasi wake lakini amewaangusha mno hawakupata walichotegemea.
Jana ilikuwa iwe siku ya kimkakati ya kuonesha uelekeo wa uongozi wa Lissu katika miaka yake mitano, alitakiwa aoneshe energy, aoneshe dira na mikakati inayoeleweka kwa wafuasi wake.
Matokeo yake.
Mwenyekiti anafanya exclusive press conference na makamu mwenyekiti nae anafanya exclusive yake mkoani. Watu hawajui wamsikilize nani. Press ikakosa mvuto hakuna anaeangaika kuijadili.
Ujumbe waliokuwa wanauleta kwa watanzania haieleweki wanachotaka ni nini.
No reform no election ni kama fumbo la imani. Uku wanasema hakutakuwa na uchaguzi kama hakuna reform hapo hapo wanasema hawajasusia uchaguzi. Wao wenyewe hawajui nini haswa wanataka kukifanya. Na wafuasi wao kila mtu ana tafsiri yake ya no reform no election. Sijawai kuona duniani slogan ya kisiasa inabidi ukae chini ueleweshwe ndio uielewe.
Kitengo cha communication kina mengi ya kujifunza bado, Lissu alitakiwa akutane na wanahabari awape nguvu ya kuchukua matangazo wenyewe ili wayaweke kwenye media zao lakini mfumo uliotumika ni kama wanatoa habari za msiba wa kitaifa.
Mapema tu mmeanza habari za kutembeza bakuli, labda kama amuwajui watanzania kwenye michango ππ
Ni wazi Chadema is too big for Lissu and Heche. Wakae chini na watu wenye hekma za uongozi na uzoefu wafundishwe kuongoza. Watanzania wanawatazama if mnaweza kuongoza au ni wapiga kelele wazuri. Na wameanza kuwapuuza sababu hawaelewi nini mnachofanya.
Ulitakiwa umuulize sasa kama hukumuelewa, badala ya kupiga tu kelele zisizo na maana yoyote ile.Lissu wewe unaelewa anachokitaka? No reform no election lakini tutashiriki uchaguzi
Ukiongea pumba kama hivi jamii inaendelea kudharau walimu mashuleni kuwa wote ni mburula.Uropokaji kukataa kukosolewa kwa CCM na machawa wote ie. Diamond platinum na chawa wake hapa JF Kina sinza pabaya.
"""Ukikosea na ukakataa kukosolewa ni sawa sawa na kumpitisha panya njia za paka""
Pole Sana chawa wa diamond platinum muda huu jitahidi kunywa maji kwa wingi Sanaa.
Wangapi watamfikia Lissu na kuulizia? Kama haieleweki maana yake amefeli big time.Ulitakiwa umuulize sasa kama hukumuelewa, badala ya kupiga tu kelele zisizo na maana yoyote ile.
Ulitaka akubunie mikao mizuri ya kusomea habari uzipendazo?Kwenye social media Lissu sio habari tena hana jipya sio mbunifu.
Chadema mpya tenki limekata wese mapema sana.Wewe na Babu yako mzee wa kupiga mbonji hamuwezi kuwaelewa CDM.
Mkuu naona unaanza kuongea tabia za mama yako hadharani.Ulitaka akubunie mikao mizuri ya kusomea habari uzipendazo?
Roho mbaya INAUA.View attachment 3235309
Uongozi ni kalama na zawadi hii anaigawa mwenyezi Mungu pekee.
Lissu alitumia nguvu, matusi, kejeli, dhiaka na kila aina ya uchafu ili awe mwenyekiti wa Chadema.
Alipata alichokitaka.
Amekuwa mwenyekiti ila hakuna jipya analofanya. Tuliambiwa tumpe muda anaenda chimbo akirudi nchi itasimama.
Naomba niongelee press yake ya jana ambayo matarajio yalikuwa makubwa sana kwa wafuasi wake lakini amewaangusha mno hawakupata walichotegemea.
Jana ilikuwa iwe siku ya kimkakati ya kuonesha uelekeo wa uongozi wa Lissu katika miaka yake mitano, alitakiwa aoneshe energy, aoneshe dira na mikakati inayoeleweka kwa wafuasi wake.
Matokeo yake.
Mwenyekiti anafanya exclusive press conference na makamu mwenyekiti nae anafanya exclusive yake mkoani. Watu hawajui wamsikilize nani. Press ikakosa mvuto hakuna anaeangaika kuijadili.
Ujumbe waliokuwa wanauleta kwa watanzania haieleweki wanachotaka ni nini.
No reform no election ni kama fumbo la imani. Uku wanasema hakutakuwa na uchaguzi kama hakuna reform hapo hapo wanasema hawajasusia uchaguzi. Wao wenyewe hawajui nini haswa wanataka kukifanya. Na wafuasi wao kila mtu ana tafsiri yake ya no reform no election. Sijawai kuona duniani slogan ya kisiasa inabidi ukae chini ueleweshwe ndio uielewe.
Kitengo cha communication kina mengi ya kujifunza bado, Lissu alitakiwa akutane na wanahabari awape nguvu ya kuchukua matangazo wenyewe ili wayaweke kwenye media zao lakini mfumo uliotumika ni kama wanatoa habari za msiba wa kitaifa.
Mapema tu mmeanza habari za kutembeza bakuli, labda kama amuwajui watanzania kwenye michango ππ
Ni wazi Chadema is too big for Lissu and Heche. Wakae chini na watu wenye hekma za uongozi na uzoefu wafundishwe kuongoza. Watanzania wanawatazama if mnaweza kuongoza au ni wapiga kelele wazuri. Na wameanza kuwapuuza sababu hawaelewi nini mnachofanya.
Kwa hiyo kila ukiambiwa usilolipenda unahisi kumuona mama yako mzazi kabisa?Haifai hiyo kwa umri wako.Mkuu naona unaanza kuongea tabia za mama yako hadharani.
Kwako na wanao tu.Kwenye social media Lissu sio habari tena hana jipya sio mbunifu.
Jana kafanya exclusive lakini nobody cares.Kwako na wanao tu.
Lissu ni hatari sana.
View attachment 3235309
Uongozi ni kalama na zawadi hii anaigawa mwenyezi Mungu pekee.
Lissu alitumia nguvu, matusi, kejeli, dhiaka na kila aina ya uchafu ili awe mwenyekiti wa Chadema.
Alipata alichokitaka.
Amekuwa mwenyekiti ila hakuna jipya analofanya. Tuliambiwa tumpe muda anaenda chimbo akirudi nchi itasimama.
Naomba niongelee press yake ya jana ambayo matarajio yalikuwa makubwa sana kwa wafuasi wake lakini amewaangusha mno hawakupata walichotegemea.
Jana ilikuwa iwe siku ya kimkakati ya kuonesha uelekeo wa uongozi wa Lissu katika miaka yake mitano, alitakiwa aoneshe energy, aoneshe dira na mikakati inayoeleweka kwa wafuasi wake.
Matokeo yake.
Mwenyekiti anafanya exclusive press conference na makamu mwenyekiti nae anafanya exclusive yake mkoani. Watu hawajui wamsikilize nani. Press ikakosa mvuto hakuna anaeangaika kuijadili.
Ujumbe waliokuwa wanauleta kwa watanzania haieleweki wanachotaka ni nini.
No reform no election ni kama fumbo la imani. Uku wanasema hakutakuwa na uchaguzi kama hakuna reform hapo hapo wanasema hawajasusia uchaguzi. Wao wenyewe hawajui nini haswa wanataka kukifanya. Na wafuasi wao kila mtu ana tafsiri yake ya no reform no election. Sijawai kuona duniani slogan ya kisiasa inabidi ukae chini ueleweshwe ndio uielewe.
Kitengo cha communication kina mengi ya kujifunza bado, Lissu alitakiwa akutane na wanahabari awape nguvu ya kuchukua matangazo wenyewe ili wayaweke kwenye media zao lakini mfumo uliotumika ni kama wanatoa habari za msiba wa kitaifa.
Mapema tu mmeanza habari za kutembeza bakuli, labda kama amuwajui watanzania kwenye michango ππ
Ni wazi Chadema is too big for Lissu and Heche. Wakae chini na watu wenye hekma za uongozi na uzoefu wafundishwe kuongoza. Watanzania wanawatazama if mnaweza kuongoza au ni wapiga kelele wazuri. Na wameanza kuwapuuza sababu hawaelewi nini mnachofanya.
Roho mbaya anayo mvaa bullet proof ili amchafue mwenzie.Roho mbaya INAUA.
Acha roho mbaya.
Utakuja kustuka pameshakucha !Kama ww tu