atasema uongo kama ule wa V8 amehongwa Mbowe while kazinunua kwenye mnada.... with concrete evidence...Lisu akaomba radhi kwenye kamati kuuUnarukia train kwa mbele.....tulia TL atasema yoote mbona una pressure ?? Muda mwalim mzurii....
Your instinct inakuongoza vipi?Wewe ni mbowe?
Adui wa CHADEMA wapo CHADEMA.Point yako kubwa ni ipi?
Naanza kuamini sasa kwamba maadui wakubwa wa Lisu wako chadema
Mbowe anakivuruga chamaYour instinct inakuongoza vipi?
Lissu kudemand haki zake kwa amiri jeshi mkuu, kwako ni hisani?Nyie wapambe mtamdanganya huyo bimdogo wa Amsterdam Kama atawasikiliza .Kama anajua sio hisani ya Samia Kwa nini amtake Samia ku guarantee usalama wake? Hapo Samia anashindwa kumrudisha Kwa Amsterdam?
dunia isimame kwa ajii ya Lisu? Dunia ya Trump, Putin, Uk, EU.......Scandinavian countries....Sidhani...zitatokea blame za hapa na pale na maisha yataendelea kama kawaidaI think if it happens dunia itasimama!
How?Mbowe anakivuruga chama
Hajawahi muita Amiri Jeshi Mkuu Bali Huwa anadai Haki zake Kwa Samia.Lissu kudemand haki zake kwa amiri jeshi mkuu, kwako ni hisani?
ACHA UTOTO.
Common sense sio common kama unavyoamini.Sidhani kama wewe ni tishio kubwa kasi hicho, sidhani aslani! common sense negates that ! Ana njia nyingi za kuku silence, si kupitia Wenje na Abdul!
Kwa maoni yangu kama anakuona ni threat, a big threat, atatumia all arsenal at her disposal to silence you! siyo mtoto wake! siyo Wenje.........
Si hisani na haipashwi kuwa hisani. Ni obligation ya Sami as head of all world of Tanzania kumlinda including you and me!Lissu kudemand haki zake kwa amiri jeshi mkuu, kwako ni hisani?
ACHA UTOTO.
Ok Sawa, kwanini SASA mbowe hataki mabadiliko na anajiona yeye ndiye MTU sahihi kushinda wanachadema wote?How?
The problem ni kuwa domo la Lisu linabwabwaja sana na watu hawakai kufikiri kwa kina.....zaidi ya kumfuata.
Unadhani Samia amhonge lisu ili kuzuia nini ambacho TISS, JWTZ, polisi hawawezi kukizuia?
Nchi zetu ni za ki-imla Rais ni Mungu atakufanya lolote analotaka and that is the end of a story
Wapi kasema yeye ni bora zadi ya wote? yale yale ya Lisu kusingizia watuOk Sawa, kwanini SASA mbowe hataki mabadiliko na anajiona yeye ndiye MTU sahihi kushinda wanachadema wote?
Hili la mbowe kutumika na mfumo yaani CCM lina ukweli wowote?Wapi kasema yeye ni bora zadi ya wote? yale yale ya Lisu kusingizia watu
Mkuu, kwako wewe mbowe kung'ng'ania madaraka na kuleta mipasuko hii sio tatizo bt lissu kuusema ukweli kwako ndo tatizo?How?
The problem ni kuwa domo la Lisu linabwabwaja sana na watu hawakai kufikiri kwa kina.....zaidi ya kumfuata.
Unadhani Samia amhonge lisu ili kuzuia nini ambacho TISS, JWTZ, polisi hawawezi kukizuia?
Nchi zetu ni za ki-imla Rais ni Mungu atakufanya lolote analotaka and that is the end of a story
Kama unamwona huyo Mama Abdul ni Mungu wako, ambaye ana mamlaka yasiyokuwa na mwanzo wala mwisho, mwambie ayatumie.Mbona kama unahaha ? Utulie tu ? Au ndio zile buku 10 kaziniiiii
Muisiharamu 👆yoyote kuwa na akili ni ndoto...samia bushiri anaishi kwa hofu kuu ...ndiyo maana vitendo vyake viovu vitaongezeka kwa sababu ya kujilinda...hofu yake imetokana na udhalimu na ufilauni anaofanya huku kakalia kiti kitakatifu...Samia bushiri kalaaniwa ni CHUKIZO LA UHALIFU LILILO KETI PATAKATIFUSidhani kama wewe ni tishio kubwa kasi hicho, sidhani aslani! common sense negates that ! Ana njia nyingi za kuku silence, si kupitia Wenje na Abdul!
Kwa maoni yangu kama anakuona ni threat, a big threat, atatumia all arsenal at her disposal to silence you! siyo mtoto wake! siyo Wenje.........
Busara nadhani, nasema nadhani maaa sina uhakika, inawaogoza kumpotezea....kwenye utandawazi utawapeleka wangapi? Unangalia sensitive issues za kupeleka mahakaman mengine unayaacha....Mkuu kwa nini serikali ya Mama yetu isimpeleke Lissu Mahakamani akathibitishe madai yake kuhusu rushwa aliyoletewa na Mtoto wa Mama?
Ni kweli ana hofu...lakini si ana means za kuwadhibiti asiowapensa/wapinzi wake...kwa hongo sidhani....ili asisema?Muisiharamu 👆yoyote kuwa na akili ni ndoto...samia bushiri anaishi kwa hofu kuu ...ndiyo maana vitendo vyake viovu vitaongezeka kwa sababu ya kujiulinda...hofu yake imetokana na udhalimu na ufilauni anaofanya huku kakalia kiti kitakatifu...Samia bushiri kalaaniwa ni CHUKIZO LA UHALIFU LILILO KETI PATAKATIFU
ngoja akina jingalao wajeMuisiharamu