Mkuu kwa nini serikali ya Mama yetu isimpeleke Lissu Mahakamani akathibitishe madai yake kuhusu rushwa aliyoletewa na Mtoto wa Mama?
Kwa Upande mwingine,siyo kila mwanachama wa Chadema ni mwanachama HALISI wa Chadema! Wengine ni Mamluki au Mapandikizi kutoka nje na ndani ya Chadema!
Sasa Mkuu kwa maandishi yako unashauri Simba asiyetulia aendelee kuvaa Bullet proof?
I think if it happens dunia itasimama!
Kwa Upande mwingine,siyo kila mwanachama wa Chadema ni mwanachama HALISI wa Chadema! Wengine ni Mamluki au Mapandikizi kutoka nje na ndani ya Chadema!
Sasa Mkuu kwa maandishi yako unashauri Simba asiyetulia aendelee kuvaa Bullet proof?
I think if it happens dunia itasimama!