ccm waliomfunga gerezani, samia aliyesema ni gaidi, leo atumike kweli kuiua chadema aliyoirithi toka kwa wazee wake?? sometimes JF members ina utoto mwingi and one might abandon writing on JF! kuna watu wengi wameiacha JF maana hakuna great thinker tena ni utoto utotoHili la mbowe kutumika na mfumo yaani CCM lina ukweli wowote?
Chawa wa Sultan Mbowe mnahangaika sana .Sidhani kama wewe ni tishio kubwa kasi hicho, sidhani aslani! common sense negates that ! Ana njia nyingi za kuku silence, si kupitia Wenje na Abdul!
Kwa maoni yangu kama anakuona ni threat, a big threat, atatumia all arsenal at her disposal to silence you! siyo mtoto wake! siyo Wenje.........
Wabongo wengi kutojua haki zetu, kunatufanya tuwaone viongozi kama miungu watu, na wajibu wao kwetu ni kama hisani.Hajawahi muita Amiri Jeshi Mkuu Bali Huwa anadai Haki zake Kwa Samia.
Embu sahihisha wewe, ungeandikaje hapo?π€Mkuu kimalkia hakipo sawa huko juu ukiona mimi na EGM yangu nimeona makosa wakija watu wa literature ndio kabisaa..
uko sahihi, samia anajivunia watanzania kuwa maiti...hana wasiwasi wowote..tu waoga and one takes advantage of thisKama ni threat na aka be eliminated by any means mbona wengine radical kuliko yeye wataibuka na kuwa threat mara tatu. Daima upinzani huwa upo tu
Lissu tshio gani?Sidhani kama wewe ni tishio kubwa kasi hicho, sidhani aslani! common sense negates that ! Ana njia nyingi za kuku silence, si kupitia Wenje na Abdul!
Kwa maoni yangu kama anakuona ni threat, a big threat, atatumia all arsenal at her disposal to silence you! siyo mtoto wake! siyo Wenje.........
Hakika wewe ni Fal.a. sana. Sasa unataka kusemaje? Kwamba Abduli hakuenda nyumbani kwake wakati Wenje amekiri alimpeleka? Abduli alienda kufanya nini nyumbani kwa Lissu? Ni Mjomba ake? Kama siyo tishio alienda kufanya nini nyumbani kwake?Sidhani kama wewe ni tishio kubwa kasi hicho, sidhani aslani! common sense negates that ! Ana njia nyingi za kuku silence, si kupitia Wenje na Abdul!
Kwa maoni yangu kama anakuona ni threat, a big threat, atatumia all arsenal at her disposal to silence you! siyo mtoto wake! siyo Wenje.........
Heko Greater Thinker ambaye unashindwa kutambua nyakati. Kutokutumika juzi haimaanishi huwezi kutumika leo. Hata hiyo akili ndogo huna?ccm waliomfunga gerezani, samia aliyesema ni gaidi, leo atumike kweli kuiua chadema aliyoirithi toka kwa wazee wake?? sometimes JF members ina utoto mwingi and one might abandon writing on JF! kuna watu wengi wameiacha JF maana hakuna great thinker tena ni utoto utoto
Hii mijitu inayojua tu kujaza matumbo na kwenda chooni haijui kufikiri ni ya kupuuza tu.Jamaa anahangaika kama kuku mtetea anataka kutaga, kwa siku nyuzi 8 analilia Lissu. Hizo hela za Abdul mtazitoa kupitia matundu yenu yote ya mwili.
Kama wewe siyo Samia basi endelea na madhania yako.Sidhani kama wewe ni tishio kubwa kasi hicho, sidhani aslani! common sense negates that ! Ana njia nyingi za kuku silence, si kupitia Wenje na Abdul!
Kwa maoni yangu kama anakuona ni threat, a big threat, atatumia all arsenal at her disposal to silence you! siyo mtoto wake! siyo Wenje.........
Huenda yalikuwa maigizo kuwatia watu upofuccm waliomfunga gerezani, samia aliyesema ni gaidi, leo atumike kweli kuiua chadema aliyoirithi toka kwa wazee wake?? sometimes JF members ina utoto mwingi and one might abandon writing on JF! kuna watu wengi wameiacha JF maana hakuna great thinker tena ni utoto utoto
Wananiogopa hakuna muislamu huni vamia hapa JF chunguza na sababu wanazijua ...wanajua kuwa nina akili nyingi hivyo wanaogopa kuumbuka katika dini yao watakapo nivaaa ....waislamu ni wajanja kuliko wakristo wakigundua una akili wanajificha haswa.ngoja akina jingalao waje
Elaborate please πSidhani kama wewe ni tishio kubwa kasi hicho, sidhani aslani! common sense negates that ! Ana njia nyingi za kuku silence, si kupitia Wenje na Abdul!
Kwa maoni yangu kama anakuona ni threat, a big threat, atatumia all arsenal at her disposal to silence you! siyo mtoto wake! siyo Wenje.........
Vilevile ukumbuke kuna watu wamefanywa walemavu wa maisha na wengine wamepoteza maisha mfano mawazo sembuse kufungwa gerezani Tu?ccm waliomfunga gerezani, samia aliyesema ni gaidi, leo atumike kweli kuiua chadema aliyoirithi toka kwa wazee wake?? sometimes JF members ina utoto mwingi and one might abandon writing on JF! kuna watu wengi wameiacha JF maana hakuna great thinker tena ni utoto utoto