Rashidi Jololo
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 1,704
- 2,858
Umeambiwa alijenga HANDAKI na kuficha pesa huko, unashindwaje kuelewa? Shule za kata zimeathiri sana vijanaNyumba yoyote anayokwenda raisi iwe yake binafsi au ya serikali; walinzi wake lazima waikague kila chumba kuhakikisha ipo secure.
Sasa hizo hela alikuwa anazificha wapi, anapokuwa akienda huko. Tena wanaenda kabla yeye mwenyewe ajafika, $42m sio hela unazoweza zificha zisionekane.
Porojo tu, raisi ata anapoenda ata nje ya nchi kuna watu wanatangulia kukagua anapofikia siku kadhaa kabla ya yeye kufika.
watu wanafunguliwa mashitaka kwa kesi za kijinga tu, haya madai ni makubwa sana kuachwa hivihivi, Lissu afunguliwe mashtaka tujue ukweli uko wapi.Kabisa ndugu, anayepingana na hoja ya Lissu na atangulie Mahakamani ili akapatiwe ushahidi huko. Kwa bahati nzuri Mahakama zimewekwa mfukoni na maccm, kwahivi hakuna kitakachofichwa
Jikono Jandama alikuwa Fisadi/Mwizi ,tusipepese macho Bwashee.Kwamba Tundu Antipas Lisu anatuambia baada ya kufa Nyumba ya Shujaa Magufuli ikasachiwa na fedha hizo zikakutwa?
Kwanini alisachiwa kama ndivyo?
Tundu Antipas Lisu ana habari gani kwa Watanzania ambazo hawazijui? Tamaduni za misiba ya kitanzania zinajulikana mambo ya kusachiana hayapo
Niishie hapo
Mlale Unono 😀
Umejuaje mimi ni kijana kwako?Aaah kijana hebu achia watu watumbue pesa bhana. Mbona una nongwa kijana!
Halafu kuna watu wanajidai eti Magufuli anasingiziwa wakati tuu katika ziara zake mabarabarani alikuwa anagawa fedha akitembea nazo kukutwa nazo nyumbani kwake ndio wanasema anasingiziwa.Nilisema hili humu nikatukanwa tena zilikua zimewekwa kwenye majaba na viroba mwendazake bhana[emoji23][emoji23][emoji23]
Nakumbuka hivyohivyo walinitukana na kunikejeli kupitia post hii leo hii lissu kaprove[emoji1314][emoji1314]Leo ni miaka 2 tokea kifo cha Hayati MagufuliHalafu kuna watu wanajidai eti Magufuli anasingiziwa wakati tuu katika ziara zake mabarabarani alikuwa anagawa fedha akitembea nazo kukutwa nazo nyumbani kwake ndio wanasema anasingiziwa.
Kuna waziri yoyote wa awamu ya nne ambaye hakuwahi kunufaika binafsi na uwaziri wake?Mbona hii taarifa wala sio ngeni ?
Nafikiri kuna waandishi Kati ya Maloto au Ansbert Ngurumo walishawahi kuripoti...hii taarifa....
Nashangaa wanaostuka kama mpya
Na nashangaa na wanachadema nao wanamuona Lissu kama kapotoshwa. ...
UPDATES.........Kwamba Tundu Antipas Lisu anatuambia baada ya kufa Nyumba ya Shujaa Magufuli ikasachiwa na fedha hizo zikakutwa?
Kwanini alisachiwa kama ndivyo?
Tundu Antipas Lisu ana habari gani kwa Watanzania ambazo hawazijui? Tamaduni za misiba ya kitanzania zinajulikana mambo ya kusachiana hayapo
Niishie hapo
Mlale Unono [emoji3]
Dah,That’s only because I have time to waste today. Otherwise I wouldn’t even bother.
Sukuma gang wanafurahi Lissu akimtukana Samia tu...akimgusa Tu mtu wao anageuka muongo na mzushi...Nililisema hili humu nikatukanwa haya muko wapi mloniita Muongo??
Inahusiana vipi na suala hili la kukutwa na hela nyumbani kwake?Kuna waziri yoyote wa awamu ya nne ambaye hakuwahi kunufaika binafsi na uwaziri wake?
Je ndani ya ccm yupo asiyechukua chochote kupitia nafasi yake ?
Hata mimi nilimuona na kumsikia "live" kupitia YouTube online TVs..View attachment 2709505
Akiongea na wananchi wa Bugarama Halmashauri ya Geita Vijijini Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Antipas Lissu leo Jumamosi ya Agosti 5, 2023 amesema kuwa aliyekuwa Rais wa Tanzania The Late, John Magufuli baada ya Kufariki kiasi Cha Dolla za Kimarekani milioni 42 (zaidi ya Sh. Bilioni 100), zilikutwa nyumbani kwake Chato.
Kiasi hicho cha fedha ni nyingi hasa ukilinganisha na mshahara wa Rais, Lissu aliyasema hayo alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara, wakati akiwasilisha mada ya uuzwaji na uwekezaji wa bandari.
Lengo la kuweka habari hii hapa ni mstuko nilioupata.
Hizo ndiyo zenyewe sema nini olya omukaya yalishibhi ulunijaja pemba.Humo zimo za wale waliokiri makosa ya uhujumu ,wakalipa mamilioni.
Diamond ni kwa jasho lake, lakini Magufuli ameipataje hela nyote hiyo ...ndio swali?Hiyo bilion 100 Hata Diamond wa Wasafi anayo ndio ushangae kwa kidume Shujaa Magufuli Waziri miaka 20 Rais miaka 6?
Bavicha mnawaza kimaskini Sana😂😂
Kinana mbona huwa wanasema ana manini huko lakini sijawahi kumsikia kamshitaki mtu.watu wanafunguliwa mashitaka kwa kesi za kijinga tu, haya madai ni makubwa sana kuachwa hivihivi, Lissu afunguliwe mashtaka tujue ukweli uko wapi.
Raia wengi (wavuvi) walipoteza maisha yao huko, JPM alikua MHALIFU sanaAliyeua wavuvi zaidi ya 60 kwenye kisiwa cha Rubondo aliuwa chama gani ?
Lissu kazeeka, muonekano wake sasa kawa mzee kabisa.
Akiongea na wananchi wa Bugarama Halmashauri ya Geita Vijijini Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Antipas Lissu leo Jumamosi ya Agosti 5, 2023 amesema kuwa aliyekuwa Rais wa Tanzania The Late, John Magufuli baada ya Kufariki kiasi Cha Dolla za Kimarekani milioni 42 (zaidi ya Sh. Bilioni 100), zilikutwa nyumbani kwake Chato.
Kiasi hicho cha fedha ni nyingi hasa ukilinganisha na mshahara wa Rais, Lissu aliyasema hayo alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara, wakati akiwasilisha mada ya uuzwaji na uwekezaji wa bandari.
Lengo la kuweka habari hii hapa ni mstuko nilioupata.
Kama hatuna, hiyo ndiyo inaweza kuwa sababu zaidi kutufanya tuanze.Kinana mbona huwa wanasema ana manini huko lakini sijawahi kumsikia kamshitaki mtu.
Tanzania hatuna litigious culture