Lissu: Dola za Kimarekani Milioni 42 (takribani Tsh. Bilioni 100) zilikutwa nyumbani kwa Magufuli baada ya kufariki

Harafu Serikali ikazichukua au mataga wakagawana? Simon
 
Nani na Nani walioziona hizo pesa ??!!
 
Ajabu sana, maswali yangu niliyouliza yanayohusu mada iliyoko mezani unayaita ya kitoto, huku wewe uliyeuliza maswali yaliyopo nje ya mada kuhusu kifo cha Magufuli ndio unajiona mjanja, Ok.
 
Hili lilisemwa sana wakati Magufuli amezikwa. Watanzania ni ama wasahaulifu sana au hawataki kufuatilia mambo. Kwa kifupi Magufuli alikuwa na fedha nyingi ameziweka nyumbani na hii habari ilizungumzwa sana.
Na mke wake akaamua kumuumbua mume wake. ??!!
Hii kitu haiingii akilini kwa watu wenye kufikiri vizuri !!

Au Mahakama ilitoa search warrant ndio baada ya upekuzi zikagundulika hizo pesa ??!!
Lazima ujiulize maswali mengi walishindwaje kuzificha hizo fedha familia yake ??!! Fake news !!!
 
Moja ya sifa kubwa ya Lissu ni kusema ukweli. Hana tabia ya kusingizia uongo mtu hata kama ni mbaya wake.
Lakini hili jambo nilisikia likisemwa na watu wenye dhamana wa ndani zaidi.
Kusikia peke yake hakutoshi kuthibitisha..
 
The main contention hapa ni kuwa magufuli 42,000,000 US$ zilikutwa kwake na alizitoa wapi! That is what was pleaded by Lisu, we should stick to our pleadings! Zilikwenda wapi that is another independent inquiry!
 
Hii kitu ya kuambiwa halafu anatangaza kisha anaonekana mpinzani jasiri naona ilianzia kwa Dr. Slaa, nae alikuwa akipenyezewa taarifa na TISS na kuzitangaza, lakini mwisho wa siku akaja kufanya alichofanya 2015 nikiamini kabisa, maamuzi yake yaliingiliwa na ushauri wa TISS.
 
Hivi bilioni 100 zinafanya nn nyumbani kwa mtu? Tutumie akili basi😂😂
Halafu jumba lote lile pakosekane mahali salama pa kuziweka hizo pesa ili watu wengine wasiohusika wasizione ??!! ??!!
Ndio maana tunauliza Ilitolewa search warrant ili nyumba ya Rais ipekuliwe 😅😅 !! Fake news !!
 
Mwizi mwizi tu hata akifa tutalisema jina na kabuli lake kwakua aliezikwa humo alikua muuaji pia mwizi magufuli alikua mwizi Huku akitangaza mtakatifu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…