Lissu: Dola za Kimarekani Milioni 42 (takribani Tsh. Bilioni 100) zilikutwa nyumbani kwa Magufuli baada ya kufariki

Hujui wewe. Na hujui zilikuwa wapi. Baki na kutojua kwako.
 
Dah!...
 
kitu ambacho huwezi kukielewa Mpaka sasa hata hao walinzi wake wanaweza kutoa siri za magufuri, kwa hiyo usi panic mkuu
 
Kwahiyo tukubaliane hoja ya Lissu kusema Rais samia kagawa bandari bure kwa waarabu ni ya uwongo?
Kwani huo ni mjadala wa Lissu..?mbona ye kaukuta..hujui kuna watu hadi wamefungua kesi?? Kuna watu wameshikiliwa hadi sasa kwa ajili ya hiyo ishu.

Lissu kadandia tu kutafuta political mileage.
 
Shida Lissu ukimbana kwa chochote kesho yake unasikia karudi Ubelgiji na stori nyingi za kuitwa na daktari wake au katishiwa kuawa
 
Hiki hakina tofauti na kile kisa cha mko vitani halafu askari mwenzenu anawasaliti alichosimulia Magu.

Huyu amekuwa msaliti siku zote..
 
Kwani huo ni mjadala wa Lissu..?mbona ye kaukuta..hujui kuna watu hadi wamefungua kesi?? Kuna watu wameshikiliwa hadi sasa kwa ajili ya hiyo ishu.

Lissu kadandia tu kutafuta political mileage.
Hujajibu swali Lissu anaaminika au haaminiki?
 
Radio mbao usema baada ya tangazo la msiba walinzi walijisevia mabunda.
Walibomoa wakachomoa wakajenga Tena.
Uenda zilizokutwa ni chache baada ya kuchotwa zingine na walinzi
 
Tupate mwingine Bhasi kama Yeye aisee ambae atakuwa hata Nusu ya Magufuliii... !! Maana nchi imeenda kombooo ni mwendo wa kulaliana tuuu.. huku bandari inauzwaa hukuu dola inapoteaa hatujakaa sawa mafuta beii Juu..!
 
Unajua Watanzania wengi wanajua Magufuli ni malaika na hakuwa na tamaa...
Ilipofika tarehe 6 March 2021 kulianza uvumi Magufuli mbona hajaonekana kanisani... Watu hawakufikiri kwa undani hii taarifa..
Wengi wanafikiri Mkuu aliondoka tarehe 17... Ila kabla ya hiyo tarehe yalifanyika mengi sana...

Kuhusu hela .. Ni hivi kulikuwa na hela kweli ndani ya nyumba ya Mkuu pale Chato kujua ni kiasi gani.. Ni siri ya wahusika.. (Lissu kusema ni 42 millions USD inawezekana ni kidogo au zilikuwa zaidi)

Lakini hela nyingi zilikuwa zinahusisha project za ujenzi na zilipitia kwa marafiki zake wa Tanroads..

Boss wa Tanroads alikuwa kwenye misukosuko na pressure kali sana ili kutoa ushirikiano kwa namna pesa ilivyokuwa inapitia kwao kwenda sehemu mbalimbali hasa kwa mambo ambayo hayahusu Tanroads

Wakandarasi waliofahamiana naye walijipendekeza kumpelekea rupia mkuu..
Pesa za wafanyabiashara wa beural de change nyingi hazikuingia BOT..
Na mbaya hazijulikaniki nyingi zimepotelea wapi... (Kwanini tusifikirie aliyewatuma na yeye hakujigawia?)

Mbaya zaidi waliotumwa task force wengine sasa hivi ni mamilionea.. Na bado kuna watu walikuwa wanasifia haya yatokee ili watu wawe maskini..
 
Lissu ameanza kupotea njia...atuletee jinsi ya kupambana na hawa walio hai wanaolihujumu taifa.
Marehemu hajitetei.
Billioni 100 mtu unaweka chumbani?! Huu ni ulafi mkubwa!
 
Njaaa kali inakus
 
Billioni 100 mtu unaweka chumbani?! Huu ni ulafi mkubwa!
Kweli ni ulafi mkubwa, je anaweza kujibu?
Btw, kuna watu walio hai wanaotuhumiwa kushirikiana na marehemu kutorosha mabilion mengine kupeleka nje ya nchi, serikali au hata upinzani wamewachukulia hatua gani?

Siku zote wanasiasa ni kuwa nao makini sana maana wanachosema mara nyingi 'sii hasa'.
 
tundu lisu haekeweki huenda hata hoja za bandari ni zakufikrika! huyo jamaa kumbe akili haziko sawa unatoa tuhuma nzito kama hizo kama nyumba ya raisi ilipekuliwa tena chato duuh huyo jamaa haa!iniki kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…