Lissu: Dola za Kimarekani Milioni 42 (takribani Tsh. Bilioni 100) zilikutwa nyumbani kwa Magufuli baada ya kufariki

Mimi binafsi nakiadhimisha kifo cha magufuli kila mwaka kama sherehe ya ushindi wa amani dhidi ya chuki ! Huwa naweka sherehe kabisa nyumbani.
 
CCM wote wamekubali kumsikiliza KIKWETE na ROSTAM AZIZ ilikuwaumiza watanzania
 
Watanzania wengi hayupendi kuaoma tusiyoyapenda hilo ni tatizo.

Shutuma hizi azitoazo Lissu ni vile yeye anajulikana sana ndio maana anaonekana yeye ndio kazianzisha ila taharifa za kukutwa mahela chato zilikuwepo muda tuu kabla hata hajazikwa..
 
Zilikutwa na nani?
we unafikiri ni nani mwingine anayeweza kuingia nyumbani kwake, vyombo vya serikali, na bado tutasikia mengi kuhusu huyo mtetezi wenu wa wanaoitwa wanyonge. Mtu mwenye afya njema utakubalije kuitwa mnyonge na we unakubali km zuzu, sema wapambanaji
 
mbona hukujiuliza hayo maswali wakati anasemwa vibaya Mkapa? Nyie ni makenge yasiyo na akili, we Magufuli ulimwonaje, malaika? lile lilikuwa jizi lililojificha ndani ya joho la kutetea wanyonge. Yule alikuwa rais wakati anafanya kazi alikuwa na vyombo vya dola, na hivyo vyombo vinajua siri zake zote, kwa uzalendo wao ndio waliotoa taarifa hizo kwa serikali mpya na upekuzi ukafanyika, sawa we zuzu la marehemu?
 
Lissu ameanza kupotea njia...atuletee jinsi ya kupambana na hawa walio hai wanaolihujumu taifa.
Marehemu hajitetei.
Mpaka siye marehemu? wakati anasemwa mnaona raha siyo? wote wacha wasemwe au kwa vile nyie sukuma gang mna midomo sana ya kutetea lile jizi lenu?
 
matusi yako wapi we kima. tuliza hilo tako lako mmezoea uzushi.
 
Nimesema ni kijana, si kijana wangu. Kijana una husda mno... acha watu tutumbue mahela bhana, mambo ya mahakamani ya nini tena?
Wewe guluguja jifunze kusoma kwa ufahamu kwanza ujue tofauti ya kwangu na wangu.

Sitaki shombo za guluguja wasiojua kusoma kwa ufahamu.
 
subirini uchaguzi mkuu wa 2025 upite, upupu wote wa Magu utaanza kutoka hadharani
 
Jpm kakaaa kwenye uwaziri toka enzi za Mkapa, Magufuli hakuwa mwanasiasa mchanga na pia alikuwa na mali zake binafsi.

Hizo pesa hazitoshi kumuita fisadi labda angekutwa na trillion 2 hivi.
hujui unachoongea, yule alikuwa mwiizi wa mali za umma
 
hana cha kusifiwa alikuwa mwovu na ukweli lazima usemwe
 
Walinzi wa wakubwa wana siri nyingi sana. Nakumbuka Marekani waliomba wasiitwe kutoa ushahidi kwenye kesi ya Bill Clinton kuhusu Monica Lewinsky. Walisema maraisi hawatakuwa na amani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…