Lissu: Dola za Kimarekani Milioni 42 (takribani Tsh. Bilioni 100) zilikutwa nyumbani kwa Magufuli baada ya kufariki

we unafikiri ni nani mwingine anayeweza kuingia nyumbani kwake, vyombo vya serikali, na bado tutasikia mengi kuhusu huyo mtetezi wenu wa wanaoitwa wanyonge. Mtu mwenye afya njema utakubalije kuitwa mnyonge na we unakubali km zuzu, sema wapambanaji
Mbona wewe umekubali kubatizwa CHAWA!
 
Umeandika point kubwa mkuu
 
Kwamba kuna upekuzi ulianza mara moja nyumbani kwake baada ya kifo cha Magufuri?

Hapo ndiyo anaenda kuwakera wasukuma sasa! Anapambana na mfu anayependwa kwao.
Ajabu sana hii, so na wewe unaamini Jiwe alikuwa msukuma , [emoji848]
 
Hiyo bilion 100 Hata Diamond wa Wasafi anayo ndio ushangae kwa kidume Shujaa Magufuli Waziri miaka 20 Rais miaka 6?

Bavicha mnawaza kimaskini Sana[emoji23][emoji23]
Mkuu unajua zamani nilikuwa najua wewe ni me
 
Nikiwa rais kila Mtanzania lazima anilipe Tshs 300 kila mwezi tuko 60M X 300 = 18,000,000,000 kwa mwezi.
216,00,000,000 kwa mwaka.
1,080,000,000,000 Miaka mitano.
Kama ni 100B tu Magufuli alijimegea pesa kidogo sana,Unayo kinga ya kutoshtakiwa kwanini uogope kupiga pesa za Mafala.
 
Utasikia tozo, tozo.

Kumbe watu wanapiga.
 
Mkuu kumbe na wewe ni Sukuma gang?
Sipo huko kwenye mabishano yenu ya kisiasa wala sijawahi kuwepo,nimehoji tu kama mchangiaji huru,Kila kiumbe chenye uhai kitaonja umauti,sasa unapomuona mtu anayemdhihaki binadamu mwenzake aliyetangulia,linakua sio jambo la kawaida.
 
Uyu mzee hakuuza bandari ila alikua mwizi
 
Mkuu, sasa hapa unatetea nini!? Kwamba JPM hakuwa fisadi au hizo USD 40 million hazikuwepo!?

Anyway, kwenye ufisadi hilo halina ubishi. Viashiria vyote vinainyesha kuwa JPM alikuwa fisadi kama watangulizi wake..... Kuanzia Hekalu lake Chato, Tausi toka Ikulu. Hotel yake ya 4 Stars Chato, Uwanja wake wa ndege na Bageshi wake na zile Tshs 2.5 Trillion zilizomuondoa kazini Prof Assadi.
 
Mkuu ahsante sana kwa hoja fikirishi. Lakini kwa kuwa Chadema hakuna mwenye akili, hawatakuelewa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…