Lissu: Dola za Kimarekani Milioni 42 (takribani Tsh. Bilioni 100) zilikutwa nyumbani kwa Magufuli baada ya kufariki

Ajabu sana, maswali yangu niliyouliza yanayohusu mada iliyoko mezani unayaita ya kitoto, huku wewe uliyeuliza maswali yaliyopo nje ya mada kuhusu kifo cha Magufuli ndio unajiona mjanja, Ok.
Hata niliyokuandikia yanahusu mada pia na sijaribu kujifanya najua bali nimekuambia ninayojua...

Nilikuwa najaribu kukuambia, ujaribu tu kufikiri kwa frequency za masafa marefu zaidi badala ya kujiuliza maswali madogo, rahisi na ya kiwango cha chini kama hayo ya "wamejuaje kuwa ana pesa hizo? au waliingiaje ndani mwake? na mengine yanayofanana haya..

Kama hujanielewa, basi hiyo ni shida yako lakini nakuhakikishia ukijaribu kunisoma tena kwa upya na umakini, utanielewa..
 
Mfano na mlinganisho sahihi kabisa.

Hofu kubwa sasa ni kwa Lissu kutumiwa kama kifaa. Ni lazima awe mwangalifu sana.
 
Kwani Magufuli hakuwa na miradi yake ya kumuingizia pesa⁉️ zingine ni propaganda tu
 
Magufuli alikuwa jizi hilo halina ubishi
 
Vita kambi Sukuma Gang vs Chawa Mama ....
Kazi ipo sanaa
 
Hayo maswali kawaulize ndugu zake Magufuli, kilicho dhahiri Magufuli alikuwa mwizi, jambazi, mwuaji, period!
 
Magufuli alikuwa mwizi mzee, wewe mwenyewe si alikunyoosha kwa kumwuliza tu swali?
 
Yuko sahihi kabisa
Huyu amefariki natamani wakampekue na Kikwete kwake watuambie watamkuta na ngapi ili atueleze akiwa hai tusisubiri mtu afe nafikiri itafaa zaidi.
 
Tafuteni kiki nyingine
 
Kuna siku moja niliandika kuwa mtu yeyote wa Upinzani anaweza kuwa Rais mzuri isipokuwa Lissu. Ni mtu mtu mropokaji sana anayetoa tuhuma bila ushahidi. Zilikutwa dola kiasi hicho na hajasema zilikuwa na nani na zilipelekwa wapi, naa yeye alijuaje kama kweli zilikutwa ilhali hakuwapo. Hata kama aliambiwa, basi ni kiongozi anayetaka kusikia anayotaka tu, yaani ukimwambia analotaka kusikia hata kama ni ya uwongo basi yeye atayachukuwa kuwa ni ya kweli bila hata kuyahoji. Ukimwambia ukweli ambao hataku kusikia atasema huo ni uwongo.
 
Mkuu wewe huwa ni mtu unayejinasibu kama mtu with "an ear to the ground".
No sijinasibu, ila both parents walikuwa huko, hivyo unajikuta umezaliwa with an average intel lakini sio mtu wa kule!.
Usitutapeli kuwa hili uikuwa hulijui.
By nature ya professional yangu, kuna mengi tunasikia, but sio kila unachosikia ni kweli!, vitu vingine ni too much exaggerated, hivyo you have to use your natural intel to make sense of it!. $ 42 m, is not a joke!, it just doesn't make sense!.
Kwamba a large amount of solid, hard cash, zilikutwa nyumbani wa Magufuli, that is common knowledge.
Tunafunika kombe ili wanaharamu gani wapite?
Duh...!
Otherwise hata Magufuli aliwahi kusema msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Kiukweli kabisa JPM alikuwa mkweli daima and sometimes mkweli too much!.
Ile issue nilioitiwa Bungeni, ni yeye aliisema!.
Hata zile pyu pyu alizisema!.

Hii issue ya mimi kuwa na sniffing nose kuhusu baadhi ya watu or issues ni kweli niko vizuri, na sio najisifu!.

Kuhusu hili la kupoteza watu, ... angalia tarehe ya bandiko hili Nimetishwa, kushitushwa na kuogopeshwa na kauli hii ya Rais Magufuli. Alimaanisha nini?
P
 
Mkuu, sasa hapa unatetea nini!? Kwamba JPM hakuwa fisadi au hizo USD 40 million hazikuwepo!?
Kuna wengi tuu hawajui the volume of US $ 42m!. It doesn't make sense mtu awenazo cash, nyumbani!.
Hata kama ni kickbacks za grand corruption, inamaana hizo fedha zimeletwa nchini in cash!. Who would bring such bulk undetected?, inamaanisha zimeletwa kwa diplomatic bag!, ukifikiria hayo yote!, it really doesn't make sense!.

Acheni kusingizia marehemu vitu vya ajabu! Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani
P
 
I can't belive this lie without reliable evidence.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…