Lissu: Dola za Kimarekani Milioni 42 (takribani Tsh. Bilioni 100) zilikutwa nyumbani kwa Magufuli baada ya kufariki

Lissu: Dola za Kimarekani Milioni 42 (takribani Tsh. Bilioni 100) zilikutwa nyumbani kwa Magufuli baada ya kufariki

Kiasi chote hicho cha pesa kilikutwa nyumbani kwa Magufuli, ina maana alikiweka kwa siri hata mke wake na wengine wa familia yake hawakujua?

Ina maana baada ya msiba wa Magufuli kutokea, kuna watu waliokwenda nyumbani kwake, wasio wanafamilia waliopekuwa nyumba yake na kukuta kiasi hicho cha pesa?

Kama jibu ni ndio, kuna watu waliingia nyumbani kwa Magufuli na kupekuwa, tujiulize, hawa walifanya upekuzi kwa malengo yapi? walikuwa wanapekuwa nyumbani kwa Magufuli kutafuta nini? alikuwa mtuhumiwa? wanafamilia walikuwa na taarifa ya huo upekuzi?

Kama wanafamilia hawakuwa na taarifa juu ya huo upekuzi, kuna ubaya gani nikisema hao wapekuaji ndio waliokuwa na nia mbaya, kwa kuweka kiasi hicho cha pesa ili kumchafua marehemu Magufuli? [ hii ni tabia ya polisi wetu wengi].

Naandika hivyo hasa nikizingatia hali iliyojitokeza baada ya msiba wa marehemu Magufuli, wapo walioshangilia kwa namna tofauti, wengine wakadai nchi inapumua, mwingine akadai Mungu ameamua kesi, na mwingine akasema wazuri hawafi, je, hawa hawawezi kutengeneza tukio ili ku justify madai yao dhidi ya marehemu?

Sijui Lissu amezungumza hivyo kwa nia ipi, lakini nikizingatia heshima yake, nafasi yake, na chama anachotoka, siwezi kusema moja kwa moja Lissu anasema uongo, inawezekana ana taarifa za ndani zaidi ambazo wengi wetu hatuna, hasa nikizingatia informers waliokuwa wakimjuza juu ya unyama ambao angeweza kufanyiwa mpaka kukimbia nchi. Naona asibezwe, wala kuaminiwa 100% kwa hii taarifa yake.
Mm hata niambiwe Mzee Magufuli alikua jambazi wa kutupa bado nitakua upande pmj na kwamba hatunae tena, naamini mzee alikua na nia njema na uchungu juu ya Taifa hili lenye viongozi wezi na mafisa
 
Niliwahi kushauri, threads za tuhuma za kuchafua watu humu, kwa hearsay ziendane na uthibitisho usiotia shaka, usikute mtoa tuhuma anatafuta a honorary exit ili akiitwa kuthibitisha, huyooo... kurejea kwake na kusingizia anatafutwa!. Hongera JF kwa Whistleblow, JF tubadilike, tusichafue majina ya Watu kwa tuhuma za Hearsay zisizo na Uthibitisho, Ukituhumu, Weka Uthibitisho

Why umtuhumu tuhuma nzito hivi zisizo na uthibitisho al marhum asiyeweza kujitetea?.

Kanuni ya tuhuma ni he who alleges, must proves!.

Kwa msiojua Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

P
Mkuu Pascal Mayalla ushahidi wa nini kwa watu wasioshitakika? Ili uupeleke wapi? Ukaufanyie nini?
Wakati mwingine hiyo ndiyo gharama ya kuwa na kinga kubwa za ajabu ajabu.
 
Wewe namba gani huko kubeba mabox na kubaguliwa na hao mabwana zako mabeberu unaona sifaaa!! Shithole
Thubutu! Hayo ni maneno ya kijiweni na wapumbavu kama wewe ndiyo mnakariri. Nimesema Magufili ameondoka na utakiona cha moto uchaguzi wa 2025 ukipita. Sasa hivi mnapakwa mafuta kwa mgongo wa chupa ili 2025 msilete longolongo.
 
Mm hata niambiwe Mzee Magufuli alikua jambazi wa kutupa bado nitakua upande pmj na kwamba hatunae tena, naamini mzee alikua na nia njema na uchungu juu ya Taifa hili lenye viongozi wezi na mafisa
Najiuliza kwa hiyo walipozikuta walizichukua? Wakazipeleka kwa nini? Aliyewatuma ni nani? Kwa lengo gani?
 
Niliwahi kushauri, threads za tuhuma za kuchafua watu humu, kwa hearsay ziendane na uthibitisho usiotia shaka, usikute mtoa tuhuma anatafuta a honorary exit ili akiitwa kuthibitisha, huyooo... kurejea kwake na kusingizia anatafutwa!. Hongera JF kwa Whistleblow, JF tubadilike, tusichafue majina ya Watu kwa tuhuma za Hearsay zisizo na Uthibitisho, Ukituhumu, Weka Uthibitisho

Why umtuhumu tuhuma nzito hivi zisizo na uthibitisho al marhum asiyeweza kujitetea?.

Kanuni ya tuhuma ni he who alleges, must proves!.

Kwa msiojua Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

P
Tundu lisu ziku zote huwa anatoa taarifa zenye uhakika sina shaka katika hili makinikia alishashauri lakini watu walimuita kibaraka leo hii kweli tunashitakiwa
 
Lissu anajimaliza kisiasa na kuiua CDM

hajui nini aseme wapi na nini asiseme wapi,,
Muambieni Lissu JPM ndio mfalme wa Kanda ya ziwa.
Hiki ndio hata mie nimeongelea na wao hawataki kukaa kuwaza kwa nini tunasema hivi.

Ni kwamba Magu bado yupo mioyoni mwa watu wengi wa kanda ya ziwa na legacy yake kwao ni pride yao kwamba walitoa mwamba. Unapoenda na story ya kumkandia ni kweli hao jamaa watakusikiliza ila watakunyamazia tu ndio maana hao watu na watu wa iringa njombe makete wanataka kufanana. Utawasema watakuangalia tu halafu njoo siku ya kura ndio utaisoma.

Wao wangeiongelea CCM na ufisadi wake na mambo ya bandari nk ila kuja kumuattack mtu ambaye kwanza ni role model wao na ni marehemu hii nk strategy mbovu kwangu mie.
 
Moja ya sifa kubwa ya Lissu ni kusema ukweli. Hana tabia ya kusingizia uongo mtu hata kama ni mbaya wake.
Lakini hili jambo nilisikia likisemwa na watu wenye dhamana wa ndani zaidi.

Hizo hela kwa kusikia kwako zilichukuliwa na serikali au walipewa familia baada ya kuzikuta? Maana kama hawakupewa isije siku moja ata mjukuu wa magufuli kuzidai
 
Lissu ameanza kupotea njia...atuletee jinsi ya kupambana na hawa walio hai wanaolihujumu taifa.
Marehemu hajitetei.
Hivi unadhani Marehemu alikuwa anaiba peke yake kama kibaka wa mtaani?
Ukiona Rais anafanya wizi ujue ni chain ndefu inayowahusu wengi, anachofanya Lissu ni kutufahamisha kuwa wenzake walio wezesha wizi huo wapo ofisini bado.
 
Hakuna siri yoyote ile chini ya mbingu endapo "third party" akishirikishwa katika kutekeleza mchakato ama mpango wowote ule wa siri. Hata Rais wa Àfrika Kusini naye ana kisanga kama hicho.
 
Niliwahi kushauri, threads za tuhuma za kuchafua watu humu, kwa hearsay ziendane na uthibitisho usiotia shaka, usikute mtoa tuhuma anatafuta a honorary exit ili akiitwa kuthibitisha, huyooo... kurejea kwake na kusingizia anatafutwa!. Hongera JF kwa Whistleblow, JF tubadilike, tusichafue majina ya Watu kwa tuhuma za Hearsay zisizo na Uthibitisho, Ukituhumu, Weka Uthibitisho

Why umtuhumu tuhuma nzito hivi zisizo na uthibitisho al marhum asiyeweza kujitetea?.

Kanuni ya tuhuma ni he who alleges, must proves!.

Kwa msiojua Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

P
Hata gold alikutwa nazo!
 
Back
Top Bottom