Lissu: Dola za Kimarekani Milioni 42 (takribani Tsh. Bilioni 100) zilikutwa nyumbani kwa Magufuli baada ya kufariki

Lissu: Dola za Kimarekani Milioni 42 (takribani Tsh. Bilioni 100) zilikutwa nyumbani kwa Magufuli baada ya kufariki


Akiongea na wananchi wa Bugarama Halmashauri ya Geita Vijijini, Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Antipas Lissu leo Jumamosi ya Agosti 5, 2023 amesema kuwa, aliyekuwa Rais wa Tanzania Hayati John Magufuli baada ya kufariki kiasi cha Dola za Kimarekani Milioni 42 (zaidi ya Tsh. Bilioni 100), zilikutwa nyumbani kwake Chato.

Kiasi hicho cha fedha ni nyingi hasa ukilinganisha na mshahara wa Rais. Lissu aliyasema hayo alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara, wakati akiwasilisha mada ya uuzwaji na uwekezaji wa bandari.

Lengo la kuweka habari hii hapa ni mshtuko nilioupata.
Kuna ubaya gani kama zilikuwa fedha zake halali, lakini kwa nn Lisu anamsema mtu ambaye ni mfu? Huko ni kuishiwa na Sera.
 
Kiasi chote hicho cha pesa kilikutwa nyumbani kwa Magufuli, ina maana alikiweka kwa siri hata mke wake na wengine wa familia yake hawakujua?
Kwa kauli hii inatosha kusema Tundu Lissu alishiriki kumwua JPM. Ni nani aliruhusu mtu kwenda kupekua nyumbani kwa raisi kana kwamba alikuwa mtuhumiwa wa kosa la jinai? Je aliyeingia madarakani ndio alituma polisi au usalama wa taifa kupekua nyumbani kwa JPM bila idhini ya familia?

Tuhuma hii itaaminikaje kama walioenda kupekua hawakwenda na hizo pesa wakiwa na nia ovu ya kumchafua JPM kwa maslahi ya kisiasa?
Hii taarifa ilisikika tangu mwaka 2021 baada ya kifo cha JPM na watu pekee waliofungua chumba cha siri ni wa usalama kwa hiyo ndio wamemlisha Tundu Lissu tango pori!!!

Wakati hizo pesa zinawekwa kwenye chumba hicho usalama wa taifa walikuwa wapi wakati raisi naisha yake binafsi wanayadhibiti asilimia 90%?

Kuna kesi yoyote imefunguliwa kuhusiana na pesa hizo?

Hizo pesa zipko wapi kwa sasa baada ya kuzikuta?

Ni nkina nani waliingia kwenye chumba hicho na kwa madhumuni gani?

Kwa tuhuma hizi kwanini wananchi wasiamini kwamba kuna watu wamo ndani na nje ya mfumo wa serikali walishiriki kuondoa uhai wa JPM kupitia ugonjwa pandikizi?


WITO: Uchunguzi ufanyike haraka vinginevyo sasa yafuatayo yatawekwa bayana
1. Aliyempiga Tundu Lissu risasi
2. Nani alikuwa nyuma ya kusudio la kujenga bandari Bagamoyo baada ya kuhongwa kiasi gani na wapi
3. Nani mshirika kwenye mktaba wa uwekezaji na kampuni ya DPW
4. Nani anashinikiza wananchi kuporwa ardhi yao eneo la Sanzaga Bagamoyo
5. Nani mmiliki wa hoteli ya Kiroho ambayo ilifilika baada ya kugundulika ilikuwa inaendeshwa bila kulipa kodi kwa zaidi ya miaka mitano
6. Nani mmiliki wa Kiromo zoo ya wanayama pori huko Bagamoyo
7. Nani wamiliki wa mashamba makubwa ya mpunga (kilimo) na mifugo huko Rudewa, Kilosa-Morogoro
8. Nani mmiliki wa eneo kubwa la ardhi lililopo kati ya Mbopo, Bunju na Nyakasangwa karibu wanapochimba madini mawe magharibi mwa eneo la kiwanda cha simenti Wazo
8. Nani ana ushirika ummiliki wa eneo alilopewa Dangote kuwekeza ujenzi kiwanda cha simenti na matumizi mengine ya rdhi huko Mikindani Mtwara
9. Siri iliyofichwa na serikali huko Ifakara, Malinyi na Ulanga
10. Kinachoendelea nishati, madini, ardhi na utalii

Viongozi wasitishe wananchi kupitia wapinzani uchwara wanaotafuta kuinuka kwa kutumia gharama za mgongo wa mtu mwingine
 
Niliwahi kushauri, threads za tuhuma za kuchafua watu humu, kwa hearsay ziendane na uthibitisho usiotia shaka, usikute mtoa tuhuma anatafuta a honorary exit ili akitakiwa kuthibitisha, huyooo... anajitimkia zake kurejea kule kwake na kusingizia ametafutwa ili... Hongera JF kwa Whistleblow, JF tubadilike, tusichafue majina ya Watu kwa tuhuma za Hearsay zisizo na Uthibitisho, Ukituhumu, Weka Uthibitisho

Why umtuhumu tuhuma nzito hivi zisizo na uthibitisho al marhum asiyeweza kujitetea?

Kanuni ya tuhuma ni "he who alleges, must proves!".

Kwa msiojua Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

P
Hakuna mtu anayepumzika wala lolote ni kuoza tu hakuna cha mbinguni wala nn
 
Niliwahi kushauri, threads za tuhuma za kuchafua watu humu, kwa hearsay ziendane na uthibitisho usiotia shaka, usikute mtoa tuhuma anatafuta a honorary exit ili akitakiwa kuthibitisha, huyooo... anajitimkia zake kurejea kule kwake na kusingizia ametafutwa ili... Hongera JF kwa Whistleblow, JF tubadilike, tusichafue majina ya Watu kwa tuhuma za Hearsay zisizo na Uthibitisho, Ukituhumu, Weka Uthibitisho

Why umtuhumu tuhuma nzito hivi zisizo na uthibitisho al marhum asiyeweza kujitetea?

Kanuni ya tuhuma ni "he who alleges, must proves!".

Kwa msiojua Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

P
Anyway naona unapata taabu sana
 
Niliwahi kushauri, threads za tuhuma za kuchafua watu humu, kwa hearsay ziendane na uthibitisho usiotia shaka, usikute mtoa tuhuma anatafuta a honorary exit ili akitakiwa kuthibitisha, huyooo... anajitimkia zake kurejea kule kwake na kusingizia ametafutwa ili... Hongera JF kwa Whistleblow, JF tubadilike, tusichafue majina ya Watu kwa tuhuma za Hearsay zisizo na Uthibitisho, Ukituhumu, Weka Uthibitisho

Why umtuhumu tuhuma nzito hivi zisizo na uthibitisho al marhum asiyeweza kujitetea?

Kanuni ya tuhuma ni "he who alleges, must proves!".

Kwa msiojua Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

P
Wewe P ni mwandishi wa habari lakini nasikitika wewe kushindwa kugundua kwamba mtoa taarifa emenukuu maneno ya Lissu kwa kuweka video, sasa unamtuhumu mtoa mada au aliyenukuliwa akiyaongea hayo?
 
Waliotaka kumchomoa roho jamaa Mwenyezimungu awazidi kuwadhalilisha ila Mwamba aachane na magu kwani sio poa kumsema mwendazake hasa kwa mabaya eidha aliyatenda au la.
 
Wewe P ni mwandishi wa habari lakini nasikitika wewe kushindwa kugundua kwamba mtoa taarifa emenukuu maneno ya Lissu kwa kuweka video, sasa unamtuhumu mtoa mada au aliyenukuliwa akiyaongea hayo?
Huwezi kumnukuu mwana siasa bila ya kuzingatia uthibitisho wa taarifa husika kupitia mlolongo wa kitaaluma uitwao

1. Credibility of the allegations
2. Reliability of the information
3. Confirmation of the allegation by the authority in power

paschal Mayalla yuko sahihi asimilia 100%
 

Akiongea na wananchi wa Bugarama Halmashauri ya Geita Vijijini, Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Antipas Lissu leo Jumamosi ya Agosti 5, 2023 amesema kuwa, aliyekuwa Rais wa Tanzania Hayati John Magufuli baada ya kufariki kiasi cha Dola za Kimarekani Milioni 42 (zaidi ya Tsh. Bilioni 100), zilikutwa nyumbani kwake Chato.

Kiasi hicho cha fedha ni nyingi hasa ukilinganisha na mshahara wa Rais. Lissu aliyasema hayo alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara, wakati akiwasilisha mada ya uuzwaji na uwekezaji wa bandari.

Lengo la kuweka habari hii hapa ni mshtuko nilioupata.
Magufuli alikuwa mwizi mkubwa wa pesa za umma na kama asingekufa mapema angeifilisi hazina kwa kushirikiana na mpwa wake, Dotto James. Alaaniwe na kuadhibiwa adhabu ya kaburi huko anakooza.
 
Magufuli alikuwa mwizi mkubwa wa pesa za umma na kama asingekufa mapema angeifilisi hazina kwa kushirikiana na mpwa wake, Dotto James. Alaaniwe na kuadhibiwa adhabu ya kaburi huko anakooza.
Alikuwa akiiba benki gani ambayo haina watu yeye tu ndiye mwenye nafasi ya kwenda kuchota bila kuonekana na mtu mwingine?
 

Akiongea na wananchi wa Bugarama Halmashauri ya Geita Vijijini, Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Antipas Lissu leo Jumamosi ya Agosti 5, 2023 amesema kuwa, aliyekuwa Rais wa Tanzania Hayati John Magufuli baada ya kufariki kiasi cha Dola za Kimarekani Milioni 42 (zaidi ya Tsh. Bilioni 100), zilikutwa nyumbani kwake Chato.

Kiasi hicho cha fedha ni nyingi hasa ukilinganisha na mshahara wa Rais. Lissu aliyasema hayo alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara, wakati akiwasilisha mada ya uuzwaji na uwekezaji wa bandari.

Lengo la kuweka habari hii hapa ni mshtuko nilioupata.
Nimemdharau huyu mnyaturu analeta visasi badala ya kutafuta uungwaji mkono kisiasa kwa mstakbari mwema wa nchi
 
Kuna siku moja niliandika kuwa mtu yeyote wa Upinzani anaweza kuwa Rais mzuri isipokuwa Lissu. Ni mtu mtu mropokaji sana anayetoa tuhuma bila ushahidi. Zilikutwa dola kiasi hicho na hajasema zilikuwa na nani na zilipelekwa wapi, naa yeye alijuaje kama kweli zilikutwa ilhali hakuwapo. Hata kama aliambiwa, basi ni kiongozi anayetaka kusikia anayotaka tu, yaani ukimwambia analotaka kusikia hata kama ni ya uwongo basi yeye atayachukuwa kuwa ni ya kweli bila hata kuyahoji. Ukimwambia ukweli ambao hataku kusikia atasema huo ni uwongo.
1691451715912.png
... 'ata mzoga ya simba inatoanga asali siku zingine bhaaheebhu!
 
No sijinasibu, ila both parents walikuwa huko, hivyo unajikuta umezaliwa with an average intel lakini sio mtu wa kule!.

By nature ya professional yangu, kuna mengi tunasikia, but sio kila unachosikia ni kweli!, vitu vingine ni too much exaggerated, hivyo you have to use your natural intel to make sense of it!. $ 42 m, is not a joke!, it just doesn't make sense!.

Duh...!

Kiukweli kabisa JPM alikuwa mkweli daima and sometimes mkweli too much!.
Ile issue nilioitiwa Bungeni, ni yeye aliisema!.
Hata zile pyu pyu alizisema!.

Hii issue ya mimi kuwa na sniffing nose kuhusu baadhi ya watu or issues ni kweli niko vizuri, na sio najisifu!.

Kuhusu kupoteza ... angalia tarehe ya bandiko hili
1691452493094.png
MAYALA! MAYALA! MAYALA ndugu yangu! ... USISHANGAE UKAKUTA MBONGO ANAMILIKI 'A NUCLEAR WARHEAD' KWA NYUMBA YAKE! ... WE'RE STILL DUMB ENOUGH TO KEEP FILLING OUR STOMACHES, WITH BOOZE AND FOOD, EVEN WHEN FULL!
 
Kiasi chote hicho cha pesa kilikutwa nyumbani kwa Magufuli, ina maana alikiweka kwa siri hata mke wake na wengine wa familia yake hawakujua?

Ina maana baada ya msiba wa Magufuli kutokea, kuna watu waliokwenda nyumbani kwake, wasio wanafamilia waliopekuwa nyumba yake na kukuta kiasi hicho cha pesa?

Kama jibu ni ndio, kuna watu waliingia nyumbani kwa Magufuli na kupekuwa, tujiulize; hawa walifanya upekuzi kwa malengo yapi? walikuwa wanapekuwa nyumbani kwa Magufuli kutafuta nini? alikuwa mtuhumiwa? wanafamilia walikuwa na taarifa juu ya huo upekuzi?

Kama wanafamilia hawakuwa na taarifa juu ya huo upekuzi, kuna ubaya gani nikisema hao wapekuaji ndio waliokuwa na nia mbaya, kwa kuweka kiasi hicho cha pesa ili kumchafua marehemu Magufuli? [ hii ni tabia ya polisi wetu wengi].

Naandika hivyo hasa nikizingatia hali iliyojitokeza baada ya msiba wa marehemu Magufuli, wapo walioshangilia kwa namna tofauti, wengine wakadai nchi inapumua, mwingine akadai Mungu ameamua kesi, na mwingine akasema wazuri hawafi, je, hawa hawawezi kutengeneza tukio ili ku justify madai yao dhidi ya marehemu?

Sijui Lissu amezungumza hivyo kwa nia ipi, lakini nikizingatia heshima yake, nafasi yake, na chama anachotoka, siwezi kusema moja kwa moja Lissu anasema uongo, inawezekana ana taarifa za ndani zaidi ambazo wengi wetu hatuna, hasa nikizingatia informers waliokuwa wakimjuza juu ya unyama ambao angeweza kufanyiwa mpaka kukimbia nchi. Naona asibezwe, wala kuaminiwa 100% kwa hii taarifa yake.

N.B:
Lissu asisahau kuwauliza hao informers waliomwambia kuhusu uwepo wa kiasi hicho cha pesa nyumbani kwa Magufuli, je, wao baada ya kuzikuta hizo pesa walizipeleka wapi? isijekuwa nao wakagawana, halafu wanamnyooshea kidole Magufuli peke yake na kumuita mwizi wakitaka kuonekana wazalendo.
Alibaba alihamishia ofisi yake kwa nyumba, unajua 'what was actually cooking?' 😅
 
Kiasi chote hicho cha pesa kilikutwa nyumbani kwa Magufuli, ina maana alikiweka kwa siri hata mke wake na wengine wa familia yake hawakujua?

Ina maana baada ya msiba wa Magufuli kutokea, kuna watu waliokwenda nyumbani kwake, wasio wanafamilia waliopekuwa nyumba yake na kukuta kiasi hicho cha pesa?

Kama jibu ni ndio, kuna watu waliingia nyumbani kwa Magufuli na kupekuwa, tujiulize; hawa walifanya upekuzi kwa malengo yapi? walikuwa wanapekuwa nyumbani kwa Magufuli kutafuta nini? alikuwa mtuhumiwa? wanafamilia walikuwa na taarifa juu ya huo upekuzi?

Kama wanafamilia hawakuwa na taarifa juu ya huo upekuzi, kuna ubaya gani nikisema hao wapekuaji ndio waliokuwa na nia mbaya, kwa kuweka kiasi hicho cha pesa ili kumchafua marehemu Magufuli? [ hii ni tabia ya polisi wetu wengi].

Naandika hivyo hasa nikizingatia hali iliyojitokeza baada ya msiba wa marehemu Magufuli, wapo walioshangilia kwa namna tofauti, wengine wakadai nchi inapumua, mwingine akadai Mungu ameamua kesi, na mwingine akasema wazuri hawafi, je, hawa hawawezi kutengeneza tukio ili ku justify madai yao dhidi ya marehemu?

Sijui Lissu amezungumza hivyo kwa nia ipi, lakini nikizingatia heshima yake, nafasi yake, na chama anachotoka, siwezi kusema moja kwa moja Lissu anasema uongo, inawezekana ana taarifa za ndani zaidi ambazo wengi wetu hatuna, hasa nikizingatia informers waliokuwa wakimjuza juu ya unyama ambao angeweza kufanyiwa mpaka kukimbia nchi. Naona asibezwe, wala kuaminiwa 100% kwa hii taarifa yake.

N.B:
Lissu asisahau kuwauliza hao informers waliomwambia kuhusu uwepo wa kiasi hicho cha pesa nyumbani kwa Magufuli, je, wao baada ya kuzikuta hizo pesa walizipeleka wapi? isijekuwa nao wakagawana, halafu wanamnyooshea kidole Magufuli peke yake na kumuita mwizi wakitaka kuonekana wazalendo.
1691453672813.png
WEYE NI INSIDE JOB!
 
Mimi hata sipotezi muda kufikiria hiyo hoja isiyo na mashiko Ila nawaza ikitokea bahati mbaya watu wakashawishiwa kitapeli na kuwaweka madarakani watu wa hovyo namna hii au wanaofanana nao amini nawaambia miaka mitano itapita na hawatafanya jambo lolote la maana zaidi ya visasi,chuki na uzandiki kwasababu sijawahi kuwasikia wakipanga namna bora ya kuiondoa nchi hii ilipokwama.
 
Back
Top Bottom