Asubuhi yote hii unaanza kulialia? Leo tupo MbeyaNimetembea wilaya ishiririni za mikoa ya kanda ya nyanda za juu kusini na mikoa ya kusini vijijini kuuliza kama wnamjua mtu anaitwa Tundu Lisu wamesema hawamjui kabisa
Vijijini hana chake hata akienda kufanya kampeni ana kazi kubwa ya kujitambulisha yeye ni nani.
Asubuhi yote hii unaanza kulialia? Leo tupo Mbeya
Mi naona mgombea wa Chadema anafanya kampeni mijini,sasa wapiga kura wako town tuu? Halafu utegemee kushinda duuSema Mko mbeya mjini sio Mbeya kazi yenu kuzurura tu mijini tena miji michache .Sogeeni vijijini muone mziki wake
Naamini huko kote watafika sasa wanazindua kampeni zao kwa kanda mabadiliko yoyote huwa yanaanzia mjini na vijijini watafuataSema Mko mbeya mjini sio Mbeya kazi yenu kuzurura tu mijini tena miji michache .Sogeeni vijijini muone mziki wake
Si kweli nenda vijijini uone si bongo lala Kama unavyodhaniaNimetembea wilaya ishiririni za mikoa ya kanda ya nyanda za juu kusini na mikoa ya kusini vijijini kuuliza kama wnamjua mtu anaitwa Tundu Lisu wamesema hawamjui kabisa
Vijijini hana chake hata akienda kufanya kampeni ana kazi kubwa ya kujitambulisha yeye ni nani.
Kweli kabisa aisee,maana mkoa wa Mbeya wote walipata jimbo hilo la Sugu.Kwa Songwe ndio walishinda kwa Mwakajoka,Silinde na Haonga.Lisu anafanya utalii wa mijini yaani Town tourism
Pole lisu ndio rais wakoSema Mko mbeya mjini sio Mbeya kazi yenu kuzurura tu mijini tena miji michache .Sogeeni vijijini muone mziki wake
Mpuuzi na Lofa pekee ndiye anaweza kusema na kuamini hilo.Nimetembea wilaya ishiririni za mikoa ya kanda ya nyanda za juu kusini na mikoa ya kusini vijijini kuuliza kama wnamjua mtu anaitwa Tundu Lisu wamesema hawamjui kabisa
Vijijini hana chake hata akienda kufanya kampeni ana kazi kubwa ya kujitambulisha yeye ni nani.
Itakuwa kamuota Lisu huyu. Si bureAsubuhi yote hii unaanza kulialia? Leo tupo Mbeya
Hongera sana ila hujasema hizo wilaya zina vijiji vingapi na wapiga kura wangapi.na kati ya hao umeongea na wangapi.Nimetembea wilaya ishirini za mikoa ya kanda ya nyanda za juu kusini na mikoa ya kusini vijijini kuuliza kama wanamjua mtu anaitwa Tundu Lissu wamesema hawamjui kabisa
Vijijini hana chake hata akienda kufanya kampeni ana kazi kubwa ya kujitambulisha yeye ni nani.
Population ya huko interior ni kiduchu Sana.Vijijini hana chake hata akienda kufanya kampeni ana kazi kubwa ya kujitambulisha yeye ni nani.