Uchaguzi 2020 Lissu hafahamiki kabisa vijijini kwenye wapiga kura wengi

Uchaguzi 2020 Lissu hafahamiki kabisa vijijini kwenye wapiga kura wengi

Watamfahamu tu hao akishakuapshwa. Sheria hailazimishi kuwa Rais lazima ufahamike vijijini ndio uweze kushinda. Hata mgombea wenu hafahamiki mijini pia. Na kwa sababu mgombea wenu anafahamika vijijini na ndio maana anataka na sisi wa mjini tuishi kama tuko vijijini.
 
Hamjua kutengeneza propaganda!Kila siku umekomaa humu JF halafu unasema umezunguka wilaya 20 kuuliza kama wanamjua Lissu,seriously?Kiwanda chenu cha kupika uongi kinakwama sana siku hizi😂😂😂
 
‪#‎kurayandiokwamagufuli‬
‪#‎kurayandiokwamagufuli‬
‪#‎kurayandiokwamagufuli‬
 
Nimetembea wilaya ishirini za mikoa ya kanda ya nyanda za juu kusini na mikoa ya kusini vijijini kuuliza kama wanamjua mtu anaitwa Tundu Lissu wamesema hawamjui kabisa

Vijijini hana chake hata akienda kufanya kampeni ana kazi kubwa ya kujitambulisha yeye ni nani.
Kubwa jinga, sikia nliendaga vijijin ndani ndani, nlikutana na wanakijiji wanatumia tecno kitochi yenye memory card, wanasikiza hotuba za lissu kwenye kijtochi,


Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
 
Nani kakwambia nchi za Afrika, Rais anachaguliwa na wapiga kura.
Nchi zisizo za kidemokrasia, Rais anachaguliwa na wapiga kura.
Nchi zisizo na Tume huru ya uchaguzi, Rais anachaguliwa na wapiga kura.
Nchi ambazo Raisi ni kila kitu, Rais anachaguliwa na wapiga kura
Nchi zilizo wajinga na wapumbavu, Rais anachaguliwa na wapiga kura.
ILI UWE RAIS WA NCHI HIZI NI KUKUBALIKA KWA MABEBERU. MABEBERU WANAJUA BILA KUINGILIA KATI HATUWEZI KUWATOA WATAWALA WETU MADARAKANI.
Hata ushinde kwa 100% kama Rais wa Malawi. Watakutoa tu
Hata wananchi wako uwape maji na umeme bure kama Ghadafi, watakutoa tu.
Hata uwagawie wananchi wako aridhi bure kama Mugabe, watakutoa tu.
Hata nchi iwe na maflyover kama Misri, watakutoa tu.
Hata utoe elimu bure hadi chuo kikuu, watakutoa tu.
 
Nimetembea wilaya ishirini za mikoa ya kanda ya nyanda za juu kusini na mikoa ya kusini vijijini kuuliza kama wanamjua mtu anaitwa Tundu Lissu wamesema hawamjui kabisa

Vijijini hana chake hata akienda kufanya kampeni ana kazi kubwa ya kujitambulisha yeye ni nani.
Kwanza mhuni ananyoa kihuni kiduku
 
Nimetembea wilaya ishirini za mikoa ya kanda ya nyanda za juu kusini na mikoa ya kusini vijijini kuuliza kama wanamjua mtu anaitwa Tundu Lissu wamesema hawamjui kabisa

Vijijini hana chake hata akienda kufanya kampeni ana kazi kubwa ya kujitambulisha yeye ni nani.
vijijini kuna wapiga kura wengi kuliko mjini..??? acheni utani
 
Na inawezekana wewe ndio unaonekana una akili Kijijini kwenu kumbe umebeba furushi la makamasi kichwani.
 
Nimetembea wilaya ishirini za mikoa ya kanda ya nyanda za juu kusini na mikoa ya kusini vijijini kuuliza kama wanamjua mtu anaitwa Tundu Lissu wamesema hawamjui kabisa

Vijijini hana chake hata akienda kufanya kampeni ana kazi kubwa ya kujitambulisha yeye ni nani.
Kampeni ni gharama sana ukizingatia li nchi lenyewe ni kubwa kuliko.

Unaona hata strategy ya Chama tawala ni kuwa na multi-pronged approach ambapo makada na viongozi wakuu wametawanywa na wanazunguka sehemu mbalimbali kwa wakati mmoja. Naona vyama vya upinzani wanataka kuzunguka nchi nzima wakiwa ktk group moja.this will not work out nice for them. Tanzania ni kubwa mno halafu ukata nao unasumbua.
 
Nimetembea wilaya ishirini za mikoa ya kanda ya nyanda za juu kusini na mikoa ya kusini vijijini kuuliza kama wanamjua mtu anaitwa Tundu Lissu wamesema hawamjui kabisa

Vijijini hana chake hata akienda kufanya kampeni ana kazi kubwa ya kujitambulisha yeye ni nani.
Mtaongea mengi sana utafikiri hivyo vijiji sisi hatuvijui eti?
 
Nimetembea wilaya ishirini za mikoa ya kanda ya nyanda za juu kusini na mikoa ya kusini vijijini kuuliza kama wanamjua mtu anaitwa Tundu Lissu wamesema hawamjui kabisa

Vijijini hana chake hata akienda kufanya kampeni ana kazi kubwa ya kujitambulisha yeye ni nani.
Ni kweli hawamjui ila anafahamika hata na watoto
Na chama chake kipo vijiji vyote Tanzania
 
Nimetembea wilaya ishirini za mikoa ya kanda ya nyanda za juu kusini na mikoa ya kusini vijijini kuuliza kama wanamjua mtu anaitwa Tundu Lissu wamesema hawamjui kabisa

Vijijini hana chake hata akienda kufanya kampeni ana kazi kubwa ya kujitambulisha yeye ni nani.
kabla hajarejea nchini singeli yenu mliimba "hakuna Mtanzania atakayehudhuria mkutano wa Lissu kwa jinsi alivyoidhalilisha na kuisema vibaya nchi yetu kwa mabeberu".

kilichofuata......

1. maelfu walimpokea airport

2. maelfu kwa maelfu wanamiminika kuhudhuria mikutano yake ya kampeni ambayo haina promo ya na tv wala radio au kuburudishwa na wasanii au wahudhuriaji kusombwa na magari.

singeli yenu mpya "Lissu hafahamiki vijijini kabisa".

tunasubiri kifuatacho.... don't go away!
 
Naamini huko kote watafika sasa wanazindua kampeni zao kwa kanda mabadiliko yoyote huwa yanaanzia mjini na vijijini watafuata
Kimsingi vijijini kampeni huwa hazipigwi wakati wa uchaguzi, ni uwekezaji wa muda mrefu.
 
Bibie....ongea vzr, tukupe namba ya lisu? Maana si kwa kuwashwa huku duh! Hua unamuota Nini?
 
Nimetembea wilaya ishirini za mikoa ya kanda ya nyanda za juu kusini na mikoa ya kusini vijijini kuuliza kama wanamjua mtu anaitwa Tundu Lissu wamesema hawamjui kabisa

Vijijini hana chake hata akienda kufanya kampeni ana kazi kubwa ya kujitambulisha yeye ni nani.
Kwa taarifa yako Hali ya maisha vijiji ni mbaya kuliko unavyo dhani. Ugumu wa maisha umewafanya watu vijijini kujiuliza chanzo chake na wamegundua tatizo ni CCM. Kupitia ugumu huo huo wameanza kuuliza Kama Kuna njia mbadala na kupitia huko wamemtambua Lisu. Watanzania wanafanya mzaha na ccm ,chama kimetawala miaka mingi Ila watu wanalia kila kukicha. Ccm inatakiwa iwe KANU October,.
 
Back
Top Bottom